Wawili mbaroni tuhuma za ujambazi
JESHI la Polisi mkoani Kilimanjaro linawashikilia watu wawili wanaodaiwa kuwa ni majambazi, baada ya kukutwa na silaha mbalimbali wanazotumia kufanyia uhalifu wilayani Rombo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-u2i2RN9rNfw/VMJnFqCEm2I/AAAAAAAG_LY/IaQD5wuNF60/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
Wawili watiwa mbaroni katika tukio la Ujambazi,Darajani Zanzibar mchana wa leo
Inadaiwa kuwa watuhumiwa hao walikua watatu na walitaka kuiba katika maduka na mawakala wa huduma za pesa yaliyopo eneo la Mnazi,baada ya kushtukiwa walikimbia na kufukuzana na Polisi hadi katika maeneo ya Darajani ndipo wananchi kwa kushirikiana na polisi wakawadhibiti na...
11 years ago
Mwananchi24 Mar
Wawili mbaroni kwa tuhuma za kuwateka watoto
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pLakhoz5yjI/U-IWnkcrNsI/AAAAAAAF9jU/QWPNJvqQZ38/s72-c/unnamed+(51).jpg)
WATU WATANO (5) MBARONI KWA TUHUMA ZA MAUAJI YA MADEREVA WAWILI WA BODABODA MKOANI DODOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-pLakhoz5yjI/U-IWnkcrNsI/AAAAAAAF9jU/QWPNJvqQZ38/s1600/unnamed+(51).jpg)
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikilia watu watano (5) kwa kuhusika na mauaji ya madereva wawili wa bodaboda kwa nyakati tofauti.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema watuhumiwa watatu ambao ni ALEX S/O LETEMA LEWENJE mweye umri wa miaka 20, Mkaguru, ANDREA S/O MAJUTO CHIGUNDULA mwenye umri wa miaka 24, Mkaguru na NABAKI S/O MAUNGO MWIGOE mwnye umri wa miaka 23, Mkaguru wote...
10 years ago
Dewji Blog19 Nov
Auawa na kuchomwa moto kwa tuhuma za ujambazi
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP, Thobias Sedoyeka, akitoa taarifa ya wananchi kumuua kijana Hussein Jumanne Kisuke (31) anayedaiwa kuwa ni jambazi sugu. Baada ya kumshambuliwa kwa silaha za jadi na kufariki dunia na kisha kumchoma moto.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
Mtuhumiwa wa Ujambazi mkazi wa Misuna Hussein Jumanne Kisuke (31) juzi alipigwa na wananchi wa Misuna mjini Singida kwa kutumia silaha za jadi na kuuwawa na kisha kuchomwa moto.
Kamanda wa...
11 years ago
Mwananchi17 Jan
Saba wakamatwa kwa tuhuma za ujambazi Z’bar
9 years ago
Mtanzania15 Sep
Watuhumiwa ujambazi 26 mbaroni Dar
ASIFIWE GEORGE NA LUGOLA CHITAGE (TUDARCO), DAR ES SALAAM
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, linawashikila watu 26 wanaodaiwa kuwa majambazi wanaojihusisha na vitendo mbalimbali vikiwamo vya kuvamia vituo vya polisi.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishina Suleimani Kova, alisema watuhumiwa hao wamekamatwa katika operesheni maalumu iliyoanza Agosti, mwaka huu.
Alisema watuhumiwa hao, walikamatwa na silaha...
9 years ago
Habarileo19 Aug
Watuhumiwa 4 wa ujambazi watiwa mbaroni
POLISI mkoani Katavi inawashikilia watu wanne wanaosadikiwa kuwa majambazi waliokamatwa wakiwa na bunduki mbili aina ya SMG zilizokuwa na risasi 40 za moto.
10 years ago
CloudsFM23 Oct
MCHINA MBARONI KWA UJAMBAZI
Jeshi la Polisi linawashikilia watu watano kwa tuhuma za ujambazi, akiwamo raia mmoja wa China.
Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Pwani, Ulrich Matei alisema watu hao walikamatwa na bastola aina ya shortgun na risasi 98.
Alisema kati ya watu ambao inadaiwa walikuwa wakifanya ujambazi juzi wilayani Mkuranga, kulikuwa na Wachina watatu, lakini wawili walikimbia baada ya polisi kufika eneo la tukio.
Kamanda Matei alidai kuwa Mchina huyo na wenzake walimteka na kumfunga kitambaa usoni raia mmoja wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nMkb-Djjb3ezxrwcFkaFzzKO1UTXksEQJICBJ-a8iJPPVTvhGuCz8bV-76p6j9V-J5dANyY5fuQal5A3aVsBl3pifBVXFFA7/STAKISHARI13.jpg)
WATUHUMIWA WA UJAMBAZI STAKISHARI WATIWA MBARONI