Alex Masawe yadaiwa yuko huru
 Utata umeibuka kuhusu alipo mfanyabiashara maarufu nchini, Alex Masawe baada ya kuwepo kwa tetesi kuwa ameachiwa huru huko Dubai, Falme za Kiarabu (UAE) alikokuwa akishikiliwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili09 Jun
Alifungwa miaka 40 upweke sasa yuko huru
Albert Woodfox aachiliwa huru baada ya kuwa kizuini bila ruhusa ya kutangamana na watu wengine kwa miaka 40, jimbo la Lousiana.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NNOl3lRXFNg/VA3DkkzLwoI/AAAAAAAGh-8/UG7ItRhJYsY/s72-c/unnamed.jpgh.jpg)
FUJO KATIKA SHOW YA DIAMOND ILIYOFANYIKA NCHINI UJERUMANI YADAIWA KUSABABISHA HASARA YA EURO 300,000,YADAIWA PROMOTA HAKUWA NA BIMA.
PROMOTER BRITTS EVENT MATATANI MJINI STUTTGART,UJERUMANIPolisi wamesema mpaka kieleweke, M-Nigeria Roho Juu
Stuttgart,Ujerumani,
Anayejiita promota Biritts Event - inayomilikiwa na Awin Williams Akpomiemie raia wa Nigeria amejikuta katika mashaka baada ya ripoti ya polisi kuthibitsha jumla ya hasara ya Euro 300,000(Tsh.600 Million) zilizo sababishwa na fujo ya siku ya jumamosi 30 Augost 2014 baada ya msanii wa NASIB ABDUL AKA DIAMOND PLATINUMZ kuchelewa kufika ukumbini mjini...
Stuttgart,Ujerumani,
![](http://2.bp.blogspot.com/-NNOl3lRXFNg/VA3DkkzLwoI/AAAAAAAGh-8/UG7ItRhJYsY/s1600/unnamed.jpgh.jpg)
10 years ago
Bongo506 Feb
New Video: Admo ft Ayler — Masawe
Video mpya kutoka kwa Admo akimshirikisha Ayler wimbo unaitwa “Masawe”
11 years ago
Mwananchi01 Jul
HURU: Washtakiwa Kesi ya Tabata Dampo huru
>Aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa Ilala, John Lubuva na wenzake wanne waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia Serikali hasara, wameibuka kidedea katika kesi hiyo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JYnkfjwVHwo/Xqx5aZc2byI/AAAAAAALozw/wk9wyOGhgrMsAhycT2wdhifEAdAOjrHlQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200501-WA0044.jpg)
MASAWE -WAKULIMA WAJIKITE KATIKA KILIMO CHA TEKNOLOJIA YA KISASA KUINUA KIPATO CHAO
NA MWAMVUA MWINYI,KIBAHA
WAKULIMA nchini wametakiwa watumie soko la Afrika Mashariki kwa kulima kilimo chenye tija na kutumia teknolojia mpya za kisasa huku wakiaswa kuachana na kilimo cha mazoea cha kujikimu ambacho hakiwaletei faida.
Hayo yalisemwa mjini Kibaha na mkurugenzi wa shamba darasa lililopo wilaya Kibaha mkoani Pwani Ephrahim Masawe na kuongeza kuwa soko hilo ndilo litakaloinua uchumi wao kwani linafaida kubwa.
Jambo kubwa ni kutumia mbegu bora na kutumia teknolojia mpya ikiwemo...
WAKULIMA nchini wametakiwa watumie soko la Afrika Mashariki kwa kulima kilimo chenye tija na kutumia teknolojia mpya za kisasa huku wakiaswa kuachana na kilimo cha mazoea cha kujikimu ambacho hakiwaletei faida.
Hayo yalisemwa mjini Kibaha na mkurugenzi wa shamba darasa lililopo wilaya Kibaha mkoani Pwani Ephrahim Masawe na kuongeza kuwa soko hilo ndilo litakaloinua uchumi wao kwani linafaida kubwa.
Jambo kubwa ni kutumia mbegu bora na kutumia teknolojia mpya ikiwemo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Iz3MTnPCiio/Xn3U4ex_exI/AAAAAAAAI6Q/hWhtRWrxAOQwOSphErnYmpIY7HKcbOtIgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200327_114357_848.jpg)
CCM HAKINA BEI YA BINADAMU BALI UTUMISHI KWA WANANCHI NDIO SILAHA MADHUBUTI ASEMA MASAWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-Iz3MTnPCiio/Xn3U4ex_exI/AAAAAAAAI6Q/hWhtRWrxAOQwOSphErnYmpIY7HKcbOtIgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200327_114357_848.jpg)
Kamati ya siasa wilaya ya Arusha mjini ukiendelea na kikao chake pamoja na kuwapokea waliokuwa madiwani wa kata za Ngarenaro na Sakina waliojiunga na chama hicho leo
![](https://1.bp.blogspot.com/--50D2gvqe6w/Xn3U3vmUxEI/AAAAAAAAI6I/8RGQaKMgIgM_SmEA5F0ymNcVqvh5ziATQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200327_114637_691.jpg)
Viongozi wa ccm kata ya Ngarenaro waliomsindikiza aliyekuwa Diwani wa kata hiyo Isaya Doita kujiunga na chama hicho leo jijini Arusha picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha
![](https://1.bp.blogspot.com/-reFXqHv-0eA/Xn3U4PPPrNI/AAAAAAAAI6M/O_TKKSFFoCQsDJERu5qK8BvH2H6DI17tQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200327_115939_024.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-6f_3OeqDzmI/Xn3MoBJeb8I/AAAAAAAAI5g/mlbcyOsheUIh53Fxye6HHj0Lpzw0nPd8wCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200327_114409_950.jpg)
Wajaumbe wa kamati ya siasa CCM ya halmashauri ya Jiji la Arusha kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa UWT wilaya hiyo Merry Kisaka Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CEolNwkaNTo/Xud4p7LQT3I/AAAAAAALt6Q/615-yFRQRP8Jd-nT3_nZc-XS9toxJYbVACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200612_144439_2%2B%25281%2529.jpg)
MASAWE AGUSIA BAJETI 2020/2021 NA KUSISITIZA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA KILIMO ILI KUENDANA NA TEKNOLOJIA YA KILIMO CHA KIDIGITAL
![](https://1.bp.blogspot.com/-CEolNwkaNTo/Xud4p7LQT3I/AAAAAAALt6Q/615-yFRQRP8Jd-nT3_nZc-XS9toxJYbVACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200612_144439_2%2B%25281%2529.jpg)
Aidha upande wa suala la uboreshaji wa kilimo kwa kuweka mazingira ya upatikanaji wa vifaa vya kilimo kwa gharama nafuu ikiwa ni...
10 years ago
Mwananchi25 Jun
Mungu yuko kanisani
Uendapo kanisani, la kwanza magoti chini,
Chini weka kwa imani, akurehemu Manani,
Manani ya kanisani, kusamehe waumini,
Waumini muamini, Mungu yuko kanisani.
Â
10 years ago
Mwananchi12 Aug
Daktari: Mbowe yuko salama
Siku moja baada ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Freeman Mbowe kuugua ghafla akiwa kwenye maandaamano na kuwahishwa hospitali ya Taifa Muhimbili, imebainika kuwa hali hiyo imesababishwa na kufanya kazi kwa muda mrefu bila kupumzika.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania