Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Alifungwa miaka 40 upweke sasa yuko huru

Albert Woodfox aachiliwa huru baada ya kuwa kizuini bila ruhusa ya kutangamana na watu wengine kwa miaka 40, jimbo la Lousiana.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Alex Masawe yadaiwa yuko huru

 Utata umeibuka kuhusu alipo mfanyabiashara maarufu nchini, Alex Masawe baada ya kuwepo kwa tetesi kuwa ameachiwa huru huko Dubai, Falme za Kiarabu (UAE) alikokuwa akishikiliwa.

 

9 years ago

Mwananchi

UKWELI UTAKUWEKA HURU: Miaka 54 mmeshindwa, miaka mitano mtaweza?

Kwanza kabisa napenda niwaombe radhi wasomaji wangu wa safu  hii ya   ‘Ukweli Utakuweka huru’ kwa kuzikosa  mada zangu kwa takriban  mwezi mmoja. Hali hii ilitokana na sababu ambazo zilikuwa nje ya uwezo wangu.

 

10 years ago

Bongo5

AY akanusha kuwa na mahusiano na Sitti Mtemvu na Victoria Kimani, asema kwa sasa yuko single

Miongoni mwa watu maarufu wa Bongo ambao huwa hawapendi kuweka hadharani mahusiano yao ya kimapenzi ni pamoja na Ambwene Yessaya a.k.a AY. Baada ya kumuweka hadharani mchumba mpenzi wake 2013, AY amesema kwa sasa yupo single tena. AY na aliyekuwa mchumba mwenye mchanganyiko wa Yemeni na Shelisheli, kwenye Red Carpet ya Road to CHOAMVA 2013, […]

 

10 years ago

GPL

MAKADA SITA WALIOFUNGIWA CCM SASA HURU

Mh. Edward Lowassa. Mh. Bernard Membe. Mh. Stephen Wasira. Mh. January…

 

9 years ago

Mtanzania

Miaka 54 ya uhuru, Watanzania hawakuwa huru

NA ELIZABETH HOMBO
ELIZA2.indd

LEO Watanzania  wanasherehekea  miaka 54 baada ya Taifa hili kujinasua kutoka kwenye minyororo ya wakoloni wa Uingereza.

Historia inaonyesha kuwa baada ya Vita Kuu ya Pili ya Dunia, Umoja wa Mataifa(UN) uliwapa dhamana Uingereza kuitawala Tanganyika mpaka hapo wananchi wake watakapopata ufahamu wa kudai uhuru wao.

Kabla ya Uingereza kupewa dhamana ya kuiongoza Tanganyika, nchi hii ilikuwa chini ya himaya ya koloni la Ujerumani.
Uhuru wa Taifa hili umepita katika mapito...

 

11 years ago

BBCSwahili

Afrika Kusini huru yatimiza miaka 20

Sherehe zafanywa kote Afrika Kusini kuadhimisha miaka 20 tangu kumalizika utawala wa ubaguzi wa rangi

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wasomi: Miaka 52 ya uhuru taifa haliko huru

WASOMI wamesema kuwa pamoja na kuadhimisha miaka 52 ya uhuru bado taifa halionyeshi kuwa huru. Wamesema ingawa kuna uhuru wa bendera, lakini ni lazima kuhakikisha kuwa watu wanakuwa huru kiakili,...

 

10 years ago

Mwananchi

Sasa kazi ni moja tu, kudai Tume Huru ya Uchaguzi ili haki itendeke

Tunapouanza mwaka 2015 tujue kwamba huu ni mwaka wa Uchaguzi Mkuu kwa wabunge, madiwani pamoja na rais.

 

5 years ago

BBCSwahili

Bongekile Msibi mwanamke wa Afrika Kusini alifungwa kizazi kwa lazima

Bongekile Msibi ni mmoja wa wanawake 48 waliolazimishwa kufungwa kizazi katika hosptali za taifa nchini Afrika Kusini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani