Miaka 54 ya uhuru, Watanzania hawakuwa huru
NA ELIZABETH HOMBO
LEO Watanzania wanasherehekea miaka 54 baada ya Taifa hili kujinasua kutoka kwenye minyororo ya wakoloni wa Uingereza.
Historia inaonyesha kuwa baada ya Vita Kuu ya Pili ya Dunia, Umoja wa Mataifa(UN) uliwapa dhamana Uingereza kuitawala Tanganyika mpaka hapo wananchi wake watakapopata ufahamu wa kudai uhuru wao.
Kabla ya Uingereza kupewa dhamana ya kuiongoza Tanganyika, nchi hii ilikuwa chini ya himaya ya koloni la Ujerumani.
Uhuru wa Taifa hili umepita katika mapito...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima11 Dec
Wasomi: Miaka 52 ya uhuru taifa haliko huru
WASOMI wamesema kuwa pamoja na kuadhimisha miaka 52 ya uhuru bado taifa halionyeshi kuwa huru. Wamesema ingawa kuna uhuru wa bendera, lakini ni lazima kuhakikisha kuwa watu wanakuwa huru kiakili,...
10 years ago
BBCSwahili09 Dec
Watanzania waadhimisha miaka 53 ya uhuru
10 years ago
Dewji Blog16 Dec
Watanzania washerehekea miaka 53 ya Uhuru Oakland California
Balozi wa heshima Mhe. Ahmed Issa (watatu toka kushoto) akibadilishana mawili matatu na mgeni rasmi wa sherehe za miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara Mhe. Dr. Saidi Mohamed Mtanda (wapili toka kushoto), mbunge wa Afrika Mashariki na mwenyekiti kamati ya kudumu ya huduma za jamii katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mhe. Mtanda pia ni Mbunge wa jimbo la Mchinga Mkoani Lindi. Kulia ni Cherry Mke wa Mhe. Ahmed Issa.
![](http://2.bp.blogspot.com/-c1FlvvFOibw/VI7qhdZec4I/AAAAAAADR6c/g7GuT9HodDM/s1600/IMG_3429.jpg)
10 years ago
VijimamboMHE.MTANDA AKONGA NYOYO ZA WATANZANIA SHEREHE YA UHURU MIAKA 53 CALIFORNIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-c1FlvvFOibw/VI7qhdZec4I/AAAAAAADR6c/g7GuT9HodDM/s1600/IMG_3429.jpg)
9 years ago
Mwananchi14 Oct
UKWELI UTAKUWEKA HURU: Miaka 54 mmeshindwa, miaka mitano mtaweza?
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-TI4uM2ffQhFZmrjVFk2v5EQSkvhtOa82tTlzw*SelvIl8Rz4inTGHxStY7qey0KROkbfom3b6w7oSXk-T7i392QZQQX*ytX/jkuhuru.jpg?width=650)
RAIS JK AWASILI UWANJA WA UHURU KUONGOZA MAADHIMISHO YA MIAKA 52 YA UHURU WA TANGANYIKA
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-om561hzSRNY/Vmpl9tFQjXI/AAAAAAAILk8/wpaANuZO4M0/s72-c/AgG3Ui2mwJMoHx2WJlSJJgjIF0KeuZ6_kgEXoCXOc0DP.jpg)
MFUKO WA PENSHENI WA GEPF WAUNGANA NA KAMPUNI YA SARUJI YA DANGOTE KUFANYA USAFI SIKU YA UHURU NA BAADAE BONANZA LA MICHEZO KATIKA KUADHIMISHA MIAKA 54 YA UHURU WA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-om561hzSRNY/Vmpl9tFQjXI/AAAAAAAILk8/wpaANuZO4M0/s640/AgG3Ui2mwJMoHx2WJlSJJgjIF0KeuZ6_kgEXoCXOc0DP.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-_UfMJOEQiIc/Vmpl_lWbDXI/AAAAAAAILlU/__MwgOyGPPQ/s640/AqveZdopwZHFBpiPoepzMj4VLm0Lma6XEp9hMFXY6CdU.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-T6qK-ie3y0U/Vmpl9qcON0I/AAAAAAAILlE/tuC2elMDZk4/s640/AofBcxIlfHHONd4L3WBx3D_DBxJ0YFsX4NHd4jQysETK.jpg)
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Uhuru Kenyatta: Mazungumzo na Marekani hayataathiri makubaliano ya biashara huru Afrika
11 years ago
BBCSwahili27 Apr
Afrika Kusini huru yatimiza miaka 20