Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MHE.MTANDA AKONGA NYOYO ZA WATANZANIA SHEREHE YA UHURU MIAKA 53 CALIFORNIA

Balozi wa heshima Mhe. Ahmed Issa (watatu toka kushoto) akibadilishana mawili matatu na mgeni rasmi wa sherehe za miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara Mhe. Dr. Saidi Mohamed Mtanda (wapili toka kushoto), mbunge wa Afrika Mashariki na mwenyekiti kamati ya kudumu ya huduma za jamii katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mhe. Mtanda pia ni Mbunge wa jimbo la Mchinga Mkoani Lindi. Kulia ni Cherry Mke wa Mhe. Ahmed Issa.Balozi wa Heshima Mhe. Ahmed Issa akitoa salamu za miaka 53 ya Uhuru...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Watanzania washerehekea miaka 53 ya Uhuru Oakland California

Balozi wa heshima Mhe. Ahmed Issa (watatu toka kushoto) akibadilishana mawili matatu na mgeni rasmi wa sherehe za miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara Mhe. Dr. Saidi Mohamed Mtanda (wapili toka kushoto), mbunge wa Afrika Mashariki na mwenyekiti kamati ya kudumu ya huduma za jamii katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mhe. Mtanda pia ni Mbunge wa jimbo la Mchinga Mkoani Lindi. Kulia ni Cherry Mke wa Mhe. Ahmed Issa.

Balozi wa Heshima Mhe. Ahmed Issa akitoa salamu za miaka 53 ya...

 

9 years ago

Vijimambo

MAMA JANETH MAGUFULI AKONGA NYOYO ZA WATANZANIA

 Mke wa Mgombea Urais wa CCM,Mama Janeth John Magufuli akiwasalimia wananchi wa Chato na kuwaomba ridhaa ya kumchagua mumewe Dkt John Pombe Magufuli kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika awamu ya tano,kwenye  uchaguzi mkuu unaotarajiwa wa Oktoba 25 mwaka huu. Mara bada ya kuhutubia chumba chetu cha habari kilihemewa na simu za wadau mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi kuelezea furaha yao sio tu kwa kumuona jukwaani bali pia kwa kuongea kwa kujiamini. Mama Magufuli amekuwa...

 

9 years ago

Michuzi

Mama janeth magufuli akonga nyoyo za watanzania ndani na nje ya nchi

 Mke wa Mgombea Urais wa CCM,Mama Janeth John Magufuli akiwasalimia wananchi wa Chato na kuwaomba ridhaa ya kumchagua mumewe Dkt John Pombe Magufuli kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika awamu ya tano,kwenye  uchaguzi mkuu unaotarajiwa wa Oktoba 25 mwaka huu. Mara bada ya kuhutubia chumba chetu cha habari kilihemewa na simu za wadau mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi kuelezea furaha yao sio tu kwa kumuona jukwaani bali pia kwa kuongea kwa kujiamini. Mama Magufuli amekuwa...

 

11 years ago

GPL

KWETU FASHION YAPAGAWISHA CALIFORNIA SHEREHE ZA UHURU

Nuthing Makes a Woman more beautiful than the Belief that She is Beautiful..Trust Kwetu Fashion Design to Compliment your Beauty
Juu na chini Kwetu fashion ilivyo pepea…

 

11 years ago

Habarileo

JK akonga nyoyo za wasomi, wanasiasa

WASOMI, wanasiasa pamoja na viongozi mbalimbali vya dini wamepongeza hotuba iliyotolewa juzi na Rais Jakaya Kikwete wakati akizindua Bunge Maalum la Katiba huku wajumbe wa bunge hilo wakitakiwa kuzingatia maoni ya Rais wanapojadili Rasimu ya pili ya Katiba hiyo.

 

10 years ago

GPL

2O PERCENT AIBUKIA MORO, AKONGA NYOYO ZA MASHABIKI WAKE!

Mkali wa Bongo Fleva, Abbas Kinzasa a.k.a 20 Percent akitoa burudani. Mkali wa Bongo Fleva, Abbas Kinzasa a.k.a 20 Percent akiwa na bendi yake ya Mwakaulwi Sound.…

 

10 years ago

GPL

DC MAKONDA AKONGA NYOYO ZA MAMIA KATIKA SEMINA YA GWT

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akijiandaa kwa mahojiano. Makonda (wa kwanza kushoto) akiwa na Mkurugenzi wa Global Publishers, Eric Shigongo na mkewe Bi. Veneranda Ephraimu Kavishe wakimfutailia MC Pilipili. Shigongo akizungumza na wahudhuriaji.…

 

11 years ago

GPL

RAS INNOCENT NGANYAGWA AKONGA NYOYO ZA WANZIBARI TAMASHA LA ZIFF

Mkali wa muziki wa rege nchini, Innocent Nyanyagwa na bendi yake wakitumbuiza kwenye tamasha la 17 la ZIFF 2014 linaloendelea kwenye viunga vya Ngome Kongwe visiwani Zanzibar. Akijibu swali kuhusu mahadhi ya muziki wake na imani yake ya kirastafarian amesema kwamba muziki wa rege japo upo ndani ya imani ya kirasta, unasimama wenyewe ndio maana mtu kama yeye hapigi rege ya Jamaica kama ilivyokuwa kwa Jimmy Clief, Burning...

 

9 years ago

Vijimambo

MISSY TEMEKE AKONGA NYOYO ZA MASHABIKI SWAHILI FEST BLADENSBURG WATER FRONT, MARYLAND

Missy T wa Kwetu fashion akinesanesa kwenye Jukwaa siku ya Jumapili Septemba 20, 2015 siku ya kuadhimisha Swahili Fest iliyoshirikisha nchi zote Afrika Mashariki chini ya wanaandaaji Patrick, Seif Ndossa, Amri Mariatabu na Frank Kajale.Missy Temeke na Patrick Kajale (kati) wakiwa katika picha ya pamoja na walimbwende waliovaa nguo zilizobuniwa na Kwetu Fashion.




 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani