Uhuru Kenyatta: Mazungumzo na Marekani hayataathiri makubaliano ya biashara huru Afrika
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta na mwenyeji wake Donald Trump wa Marekani wamekutana na kuratibu majadiliano ya mkataba wa biashara huru kati ya mataifa hayo mawili.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mtanzania06 Aug
Uhuru Kenyatta ang’ara Afrika
![Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Uhuru-Kenyatta.jpg)
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta
WASHINGTON, Marekani
RAIS wa Kenya, Uhuru Kenyatta, amewapiku marais wenzake wa Afrika Mashariki kwa kushika nafasi ya kwanza kwa ufanisi wa kazi, kwa mujibu wa utafiti wa Shirika la Gallup la nchini Marekani.
Utafiti huo ulitolewa jana ambapo licha ya Rais Kenyatta kuwa madarakani kwa kipindi cha mwaka mmoja ameweza kuwapiku wenzake waliodumu madarakani kwa muda mrefu.
Pamoja na Rais Jakaya Kikwete, kuingoza nchi kwa mwaka wa tisa sasa utafiti huo umeshindwa...
10 years ago
BBCSwahili02 Jul
Uhuru Kenyatta ndio rais bora Afrika
10 years ago
BBCSwahili10 Jun
Eneo huru la biashara Afrika kuundwa
11 years ago
Dewji Blog02 May
Mataifa EAC yazingatie ulinzi wa Afrika — Uhuru Kenyatta
Wakuu wa Mataifa ya Jumuiya ya Afrika Mashariki wakizindua kitabu rasmi cha Muongozo wa Majaji wa Jumuiya hiyo kwenye Mkutano wa 12 wa siku moja wa Jumuiya hiyo uliofanyika ukumbi wa Kimataifa wa Arusha { AICC }.
10 years ago
Vijimambo26 Sep
AGALIA LIVE RAIS UHURU KENYATTA ANAONGEA NA WAKENYA KUTOKA NEW YORK NCHINI MAREKANI
Broadcast live streaming video on Ustream
5 years ago
MichuziWAZIRI SIMBACHAWENE AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA MAREKANI, UMOJA WA ULAYA, ASEMA NCHI IPO SALAMA, UCHAGUZI UTAKUWA HURU NA HAKI
Akizungumza na mabalozi hao waliofika kwa wakati tofauti ofisi ndogo ya Wizara, jijini Dar es Salaam, leo, Simbachawene amesema vyombo vyake vinaendelea kufanya kazi kwa weledi katika kuimarisha usalama wa raia na mali...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Yyn5D_GzRRQ/XqGULs6_vWI/AAAAAAALoAo/3pTVL32vWXEEIk6kf11KgvK7uYhcihMIgCLcBGAsYHQ/s72-c/1db0a729-8cda-4463-9779-47f94f29ceb3.jpg)
WABUNGE WAPEWA MAFUNZO MATOKEO YA MKATABA WA ENEO HURU LA BIASHARA BARA LA AFRIKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Yyn5D_GzRRQ/XqGULs6_vWI/AAAAAAALoAo/3pTVL32vWXEEIk6kf11KgvK7uYhcihMIgCLcBGAsYHQ/s640/1db0a729-8cda-4463-9779-47f94f29ceb3.jpg)
Naibu Spika, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (katikati) akifungua mafunzo kwa Waheshimiwa Wabunge kuhusu matokeo ya Mkataba wa eneo huru la biashara la Bara la Afrika katika ukumbi wa Pius Msweka Jijini Dodoma. Kulia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje Ulinzi na Usalama, Mhe. Salum Mwinyi Rehani na kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/ke1.jpg)
JK AKUTANA NA UHURU KENYATTA, AZURU KABURI LA MZEE JOMO KENYATTA
9 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-jB9FWRS1DJQ/VhJSPk0tQmI/AAAAAAAH9AE/wyJqhp2ZyQ8/s640/ke1.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS UHURU KENYATTA, AZURU KABURI LA BABA WA TAIFA LA KENYA MZEE JOMO KENYATTA