PROFESA KABUDI APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO KUTOKA UN, UNHCR
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) amepokea hati za utambulisho kutoka kwa Mratibu Mkazi wa Shughuli za Umoja wa Mataifa (UN) Bw. Zlatan Milisic Pamoja na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi Duniani (UNHCR) Bw. Antonio Canhandula Jijini Dar es Salaam.
Waziri Kabudi amewaeleza Bw. Milisic na Bw. Canhandula kuwa UN pamoja na UNHCR zimekuwa na mchango mkubwa kwa kuiunga mkono Serikali ya Jamhuri ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kyOfYiu5sxE/U7bWLvj-TRI/AAAAAAAFu9s/ODhRJlnwFP0/s72-c/unnamed+(10).jpg)
JK apokea hati za utambulisho ikulu kutoka kwa mabalozi wanne
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/JK.jpg)
RAIS KIKWETE APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO KUTOKA KWA MABALOZI
9 years ago
VijimamboRais Kikwete apokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi wa Misri
9 years ago
VijimamboRais Kikwete apokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi wa Ufilipino
9 years ago
VijimamboRais Kikwete apokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi wa Israel
9 years ago
VijimamboRais Kikwete apokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi wa Singapore
10 years ago
Vijimambo25 Apr
Waziri Membe apokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka Balozi Mteule wa Algeria
10 years ago
Vijimambo25 Apr
Waziri Membe apokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka Balozi Mteule wa Urusi
10 years ago
MichuziWaziri Membe apokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka Mabalozi Wateule wa Urusi na Algeria
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI