Bunge: Zitto kulipwa mafao yake yote
Ikiwa ni siku moja tangu Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe kutangaza kung’atuka katika nafasi yake ya ubunge, Bunge limeeleza kuwa mbunge huyo atapata mafao yake yote kama wabunge wengine.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-iQ6E7KpUEew/VQwwur3Vt0I/AAAAAAAHLp0/3QgR5XuY8kY/s72-c/zitto.jpg)
10 years ago
Mwananchi09 Nov
Nahodha: Mikataba yote ipitishwe na Bunge
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Katiba ije na sheria ya Bunge kuidhinisha mikataba yote
5 years ago
CCM BlogNMB YAZINDUA HUDUMA YA BIMA ITAKAYOPATIKANA MATAWI YAKE YOTE NCHINI
9 years ago
Bongo507 Nov
Diddy aachia Mixtape mpya ‘MMM’ bure kama zawadi ya birthday yake (Isikilize yote)
![diddy2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/diddy2-300x194.jpg)
Jumatano ya November 4 ilikuwa ni birthday ya Sean John Combs maarufu kama Diddy ambaye amefikisha miaka 46.
Katika kusheherekea birthday yake, rapper huyo mkongwe aliamua kuwa-surprise mashabiki wake kwa kuachia mixtape mpya ‘MMM’ (Money Making Mitch) ambayo ameitoa bure kwa yeyote anayetaka kudownload.
“Good Afternoon World!! Today is a big day!!! I am releasing a SONIC MOTION PICTURE, which is FREE and AVAILABLE EVERYWHERE. I want to thank everybody that has supported me over the years...
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
Mfahamu vizuri mwigizaji Jacob Steven (JB). Ametoka wapi na historia yake yote kwa ufupi mpaka sasa
Baada ya miaka 13 ya kuwapo katika fani ya sanaa ya maigizo, hakuna shaka kwamba, Steven Jacob maarufu kama JB, kwa sasa ni miongoni mwa watu wenye majina makubwa mno katika fani hiyo nchini. Ni miongoni mwa nyota `Watano’ Bora zaidi wa kiume kwa upande wa fani hiyo, hivyo kumfanya kuwa katika hadhi ya juu, sawa na nyota wengine kama akina Steven Kanumba na Vincent Kigosi `Ray’ na wengine.
Ndiyo maana haishangazi kuona kwamba, hata leo hii ukiingia katika soko la filamu zilizo juu, huwezi...
11 years ago
Tanzania Daima17 Apr
Zitto atikisa Bunge
MJUMBE wa Bunge la Katiba, Zitto Zuberi Kabwe, amesema Tanzania ina uwezo wa kugharimia idadi yoyote ya serikali zitakazoridhiwa na Watanzania kwakuwa ina uwezo mkubwa kifedha. Zitto amesema hakuna uhusiano...
10 years ago
Mwananchi05 Nov
Bunge laigeuka Kamati ya Zitto
10 years ago
Habarileo19 Mar
Zitto kuliaga rasmi Bunge?
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto (Chadema) jana aliteta faragha na Spika wa Bunge, Anne Makinda kushauriana naye kama ajiondoe kwenye ubunge baada ya chama chake kutangaza kumvua uanachama.