Zitto kuliaga rasmi Bunge?
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto (Chadema) jana aliteta faragha na Spika wa Bunge, Anne Makinda kushauriana naye kama ajiondoe kwenye ubunge baada ya chama chake kutangaza kumvua uanachama.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo21 Mar
ZITTO AAGA BUNGE RASMI
HATIMAYE Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto amekubali yaishe na kuamua kuaga wananchi wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, Watanzania, wabunge wenzake na wajumbe wa Kamati wa Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) kabla ya kutangaza kuachia ubunge wake.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Rqi9IohuuwA/VQxnFYpKYGI/AAAAAAAHLug/UlUTzFCA8J8/s72-c/6.jpg)
Breaking newzzzz: Mhe Zitto Zuberi Kabwe aaga rasmi Bunge usiku huu dodoma
![](http://4.bp.blogspot.com/-Rqi9IohuuwA/VQxnFYpKYGI/AAAAAAAHLug/UlUTzFCA8J8/s1600/6.jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 Aug
Bunge la Afrika Mashariki kufanya kikao chake cha Bunge Karimjee Dar, JK kuufungua rasmi kesho
![](http://1.bp.blogspot.com/-lPaEKjtZcnk/U_skgxBVWdI/AAAAAAAAWO4/Fm39Kj66Jvs/s1600/2.jpg)
Spika wa Bunge la Jumuia ya Afrika Mashariki (EALA) Dk. Margaret Nantongo Zziwa akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari katika ofisi za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dar es Salaam juu ya mkutano wa kwanza wa Bunge la tatu ulioanza jana katika ukumbi wa Karimjee na kufunguliwa rasmi na Rais Jakaya Kikwete kesho.
Spika wa Bunge la Jumuia ya Afrika Mashariki (EALA) Dk. Margaret Nantongo Zziwa akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari katika ofisi za Bunge la...
5 years ago
Mwananchi27 Feb
Malasusa aongoza ibada kuliaga kanisa litakalokumbwa na bomoabomoa
10 years ago
Habarileo20 Mar
Zitto kuutema rasmi ubunge
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto anatarajia kuaga wabunge wenzake na kubainisha mbele ya Bunge hilo, kuwa anaachia rasmi madaraka yake ya ubunge baada ya kuhitilafiana na Chama chake cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
10 years ago
Mtanzania11 Mar
Chadema wamtimua rasmi Zitto
Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimemvua rasmi uanachama Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe.
Hatua hiyo ya Chadema imekuja baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kutupa kesi iliyofunguliwa na Zitto dhidi ya Bodi ya Udhamini ya chama hicho na Katibu wake, Dk. Willibrod Slaa.
Kesi hiyo ilitupwa jana na Jaji Richard Mziray baada ya kupitia hoja za mapingamizi matano yaliyowasilishwa na mawakili wa Chadema.
Baada ya kutolewa kwa uamuzi huo...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-BuynWn8MXPY/VP67CPOBb4I/AAAAAAAAfP4/vO1fN6G0wFY/s72-c/zitto.jpg)
ZITTO AVULIWA RASMI UANACHAMA CHADEMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-BuynWn8MXPY/VP67CPOBb4I/AAAAAAAAfP4/vO1fN6G0wFY/s640/zitto.jpg)
Katika maamuzi hayo ya Mahakama kuu ya Tanzania leo...
10 years ago
Mwananchi10 Mar
Zitto Kabwe avuliwa rasmi uanachama chadema
11 years ago
Tanzania Daima17 Apr
Zitto atikisa Bunge
MJUMBE wa Bunge la Katiba, Zitto Zuberi Kabwe, amesema Tanzania ina uwezo wa kugharimia idadi yoyote ya serikali zitakazoridhiwa na Watanzania kwakuwa ina uwezo mkubwa kifedha. Zitto amesema hakuna uhusiano...