Breaking newzzzz: Mhe Zitto Zuberi Kabwe aaga rasmi Bunge usiku huu dodoma
![](http://4.bp.blogspot.com/-Rqi9IohuuwA/VQxnFYpKYGI/AAAAAAAHLug/UlUTzFCA8J8/s72-c/6.jpg)
Mbunge wa Kigoma Kaskazini Mhe Zitto Zuberi Kabwe (pichani) usiku huu ametangaza rasmi Bungeni Dodoma kuachia kiti hicho alichokipata kupitia CHADEMA.Mhe. Kabwe ametangaza kung'atuka nafasi hiyo baada ya Mwenyekiti wa Bunge Mhe Mussa Hassan Zungu Kumruhusu kutoa kauli binafsi mara baada ya wabunge kumaliza kupitia vifungu vya sheria ya Maafa ambayo hata hivyo haikupitishwa kwa kutotimia akidi ya wabunge ambao nusu yao hawakuwepo ukumbini.Mhe Zungu alimtakia kila la heri Mbunge huyo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo21 Mar
ZITTO AAGA BUNGE RASMI
HATIMAYE Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto amekubali yaishe na kuamua kuaga wananchi wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, Watanzania, wabunge wenzake na wajumbe wa Kamati wa Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) kabla ya kutangaza kuachia ubunge wake.
10 years ago
IPPmedia03 Feb
Kigoma legislator, Zitto Zuberi Kabwe (Chadema)
IPPmedia
IPPmedia
Kigoma legislator Zitto Zuberi Kabwe (Chadema) has proposed introduction of digital land titles in a bid to curb persistent land conflicts in the country. Debating the annual report tabled by the Parliamentary Committee on Land, Environment and Natural ...
5 years ago
Zitto Kabwe, MB13 Feb
Tamko la ndg. Kabwe Zuberi Ruyagwa Zitto kuhusu Rasilimali na Madeni
Tamko la ndg. Kabwe Zuberi Ruyagwa Zitto kuhusu Rasilimali na Madeni
Ndugu Watanzania, Kama mnavyofahamu kuwa ibara ya 132(4) na (5) na Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Sheria namba 13 ya mwaka 1995 inataka viongozi wote wa umma kujaza fomu za Tamko la Rasilimali na Madeni. Tamko hilo huwasilishwa Sekretariat ya Maadili ya Viongozi kabla ya mwisho wa kila mwaka. Kama nifanyavyo siku zote, nawajulisha rasmi kwamba nimetimiza matakwa hayo ya katiba na sheria kuhusu Maadili ya...
10 years ago
Zitto Kabwe, MB03 Apr
TAMKO LA RASILIMALI NA MADENI-ZITTO ZUBERI KABWE(KIONGOZI WA CHAMA ACT-WAZALENDO) @ACTWazalendo
TAMKO LA RASILIMALI NA MADENI LA NDUGU ZITTO ZUBERI KABWE (KIONGOZI WA CHAMA ACT-WAZALENDO) KWA MUJIBU WA KATIBA YA ACT-WAZALENDO
WEALTH DECLARATION FORMS FOR ZITTO ZUBERI KABWE-PARTY LEADER ACT-WAZALENDO
View this document on Scribd![](https://pixel.wp.com/b.gif?host=zittokabwe.wordpress.com&blog=12675215&post=3530&subd=zittokabwe&ref=&feed=1)
11 years ago
Zitto Kabwe, MB17 Jun
MCHANGO WA MAANDISHI WA NDG. KABWE ZUBERI ZITTO, MB KUHUSU BAJETI YA SERIKALI YA MWAKA WA FEDHA 2014/2015
MCHANGO WA MAANDISHI WA NDG. KABWE ZUBERI ZITTO, MB KUHUSU BAJETI YA SERIKALI YA MWAKA WA FEDHA 2014/2015
Mheshimiwa Spika, Kwanza kabisa napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunipa nguvu za kuweza kuandika mchango wangu huu mdogo kwenye mjadala wa Bajeti ya Serikali mwaka 2014/15. Kama wengi mnavyofahamu mnamo tarehe 1 Juni mwaka 2014 nilimpoteza mama yangu mzazi na kumsitiri siku iliyofuata tarehe 2 Juni, 2014. Huu ni msiba mkubwa sana kwangu na ndugu zangu wote kwani mama yetu Bi. Shida...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-coQzfs7KyGs/VNVGJndgCwI/AAAAAAAHCTI/fF5otMJy2YY/s72-c/unnamed%2B(14).jpg)
Timu za bunge zapongezwa katika tafrija ya kuukaribisha mwaka mpya usiku huu mjini dodoma
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IR6j1-Mhm*V8dikUnZF6eAeVPWoEOoAmeFT0GCX9r2FTATuOeNx5zoPrVSbHW3sS1vvqhpoTbOISLxQNp4bZQ*sVwr-4ftYF/unnamed14.jpg?width=650)
TIMU ZA BUNGE ZAPONGEZWA KATIKA TAFRIJA YA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA USIKU HUU MJINI DODOMA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WSzoRCdZ2Zw/VFurc3cTfqI/AAAAAAAGv1U/lviIc-smX3c/s72-c/download.jpg)
BREAKING NEWZZZZ: Beatus Kinyaia ateuliwa kuwa Askofu Mkuu wa jimbo kuu Katoliki la Dodoma.
![](http://1.bp.blogspot.com/-WSzoRCdZ2Zw/VFurc3cTfqI/AAAAAAAGv1U/lviIc-smX3c/s400/download.jpg)
Hatimaye leo baba Mtakatifu Papa Francisco amempandisha kutoka askofu hadi kuwa askofu Mkuu askofu Beatus Kinyaiya, O.F.M. Cap (pichani) wa jimbo kuu Katoliki la Dodoma.Askofu Beatus Kinyaiya alizaliwa Mei 9, 1957. Akapata daraja takatifu la Upadre katika shirika la Kimisionari la Wafranciscan Minor tarehe 25 juni, 1989. Aliteuliwa kuwa askofu wa jimbo Katoliki la Mbulu tarehe 22 Aprili, 2006, nakusimikwa/ wekwa wakfu rasmi na Kardinali Polycarp...