MGOMO WA MADEREVA WAISHA KWA MUAFAKA WA MADAI YAO KUSHUGHULIKIWA NA SERIKALI
![](http://2.bp.blogspot.com/-YbEpVVztUro/VUjcbIJ9WII/AAAAAAAHVi0/aTb7s3giIIM/s72-c/unnamed%2B(41).jpg)
Na Bakari Issa MajeshiMgomo wa Madereva uliodumu kwa takriban siku moja na ushee, hatimaye umepata muafaka baada ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Paul Makonda (pichani) kufanikiwa kuusuluhisha kwa kusaini makubaliano na Uongozi wa Chama cha Madereva.Makubaliano hayo yaliitaka Serikali kuboresha Mikataba kwa Madereva, malipo kwa madereva hao, pamoja na tatizo la ukaguzi wa magari ili kuondoa usumbufu kwa madereva hao, na kuiomba Serikali kufanya ukaguzi huo kwa siku moja tu.Akizungumza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-qHN6Gx1K98w/VX8Y4iDAyOI/AAAAAAAAQ9U/rc-G6F277-Y/s72-c/E86A0136%2B%2528800x533%2529.jpg)
VYAMA VYA WAONGOZA WATALII NA WAPAGAZI TANZANIA WATOA SIKU 30 KWA SERIKALI KUSHUGHULIKIA MADAI YAO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-qHN6Gx1K98w/VX8Y4iDAyOI/AAAAAAAAQ9U/rc-G6F277-Y/s640/E86A0136%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-AC_cH8VtVuY/VX8YvGo1ESI/AAAAAAAAQ8U/l8zR8jAyPH8/s640/E86A0087%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-DkeFH6D1ptw/VX8YvE3MJHI/AAAAAAAAQ8Q/isUo1IEA28A/s640/E86A0089%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-y8i6j1tdc90/VX8Y45iFglI/AAAAAAAAQ9k/ndKVAmP1SJE/s640/E86A0144%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Hk0tVmG49d4/VX8YuhNwjrI/AAAAAAAAQ8M/j-xEODVsSfE/s640/E86A0090%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-axN4AEVKS1k/VX8Yxjmwy_I/AAAAAAAAQ8k/R-ye4CnEvb4/s640/E86A0091%2B%2528800x533%2529.jpg)
11 years ago
Mwananchi14 Feb
Mgomo wa EFD waisha
10 years ago
Mwananchi12 Apr
VIFO: Mgomo waisha, ajali zarejea
9 years ago
StarTV27 Nov
Wafanyakazi wa TRL waiomba Serikali kuingilia kati madai yao ya malimbikizo
Wafanyakazi wa Kampuni ya Reli Tanzania TRL wameiomba Serikali kuingilia kati mgogoro wa malipo ya malimbikizo ya mshahara wao wa miezi mitano wanaoudai uongozi wa kampuni hiyo.
Wafanyakazi wa kampuni hiyo wametishia kwenda Ikulu kumuona Rais John Magufuli iwapo hawatolipwa malimbikizo ya jumla ya Shilingi Bilioni 2.4 ya kuanzia Julai hadi Novemba 2014.
Wafanyakazi hao wa Kampuni ya Reli nchini waliimba wimbo wa mshikamano baada ya uongozi wa kampuni kuondoka katika mkutano baina yao...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-zgkNptFx19A/Vb71jxUufMI/AAAAAAABTEo/Vn98NeYoA_Y/s72-c/Bwana%2BRashidi%2BSalehe.jpg)
CHAMA CHA MADEREVA KIMETANGAZA MGOMO WA MADEREVA NCHI NZIMA KUANZIA AGOSTI TISA MWAKA HUU.
![](http://3.bp.blogspot.com/-zgkNptFx19A/Vb71jxUufMI/AAAAAAABTEo/Vn98NeYoA_Y/s640/Bwana%2BRashidi%2BSalehe.jpg)
10 years ago
GPLCHAMA CHA MADEREVA TANZANIA CHATOA TAMKO KUHUSU MIKATABA YAO NA SERIKALI
9 years ago
StarTV06 Jan
Watoto waporwa nyumba Mbarali kwa madai ya deni la baba yao
Watoto watano wa familia moja wilayani Mbarali mkoani Mbeya wanaiomba Serikali kuingilia kati mgogoro kati yao na mfanyabiashara mmoja anayemdai baba yao shilingi Milioni 1.2 kwa kupora nyumba na kuisambaratisha familia hiyo.
Tukio hilo limetokea katika kijiji cha Mpakani kata ya Ubariku ambapo baba na mama wa familia hiyo walitengana mwaka 2008 na mahakama kuamuru nyumba hiyo kubaki mikononi mwa watoto.
Wakizungumza kijijini hapo watoto hao hussein mwataga na Zaveria Mwataga wameomba...
10 years ago
Habarileo24 Dec
Madereva waaswa, ulevi ni hatari kwa maisha yao
MADEREVA nchini wametakiwa kuzingatia sheria, kutotumia vinywaji vyenye ulevi na kuacha tabia ya kuongea na simu kwa kutuma au kupokea ujumbe wa maneno wanapokuwa wanaendesha vyombo vya moto.
11 years ago
Tanzania Daima15 Jun
Serikali itafute muafaka wa Wamachinga
TUNAPENDA kulaani kwa nguvu zote vitendo vya matumizi makubwa ya nguvu za dola kuwabughudhi wafanyabiashara ndogo ndogo mitaani, maarufu kama Wamachinga. Hata hivyo, hatuungi mkono hatua ya wafanyabiashara hao kukiuka...