Mgomo wa EFD waisha
 >Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT) imetangaza kusitisha mgomo wa wafanyabiashara uliodumu kwa takriban siku tano kupinga notisi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ya kuwapa siku 14 za kufunga Mashine za Elektroniki za Kutoza Kodi (EFD).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi12 Apr
VIFO: Mgomo waisha, ajali zarejea
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YbEpVVztUro/VUjcbIJ9WII/AAAAAAAHVi0/aTb7s3giIIM/s72-c/unnamed%2B(41).jpg)
MGOMO WA MADEREVA WAISHA KWA MUAFAKA WA MADAI YAO KUSHUGHULIKIWA NA SERIKALI
![](http://2.bp.blogspot.com/-YbEpVVztUro/VUjcbIJ9WII/AAAAAAAHVi0/aTb7s3giIIM/s1600/unnamed%2B(41).jpg)
Na Bakari Issa MajeshiMgomo wa Madereva uliodumu kwa takriban siku moja na ushee, hatimaye umepata muafaka baada ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Paul Makonda (pichani) kufanikiwa kuusuluhisha kwa kusaini makubaliano na Uongozi wa Chama cha Madereva.Makubaliano hayo yaliitaka Serikali kuboresha Mikataba kwa Madereva, malipo kwa madereva hao, pamoja na tatizo la ukaguzi wa magari ili kuondoa usumbufu kwa madereva hao, na kuiomba Serikali kufanya ukaguzi huo kwa siku moja tu.Akizungumza...
11 years ago
Mwananchi13 Feb
Mgomo matumizi ya EFD waendelea
10 years ago
BBCSwahili05 Mar
Mvutano kuhamia Digitali waisha Kenya
10 years ago
Habarileo02 Jun
Mgogoro wa Mji Mpya Kigamboni waisha
HATIMAYE mgogoro wa ardhi uliokuwepo kwa muda mrefu baina ya serikali na wakazi wa Kigamboni, umefikia tamati baada ya serikali kukubaliana na wananchi kuhusu uendelezaji wa ardhi kupitia mpango wa Mji Mpya.
10 years ago
Mwananchi22 Dec
Uandikishaji BVR waisha kwa changamoto
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wj02qYjk1Uk/VcDGztwjGlI/AAAAAAAHuCE/0dhNBevUjw0/s72-c/372.jpg)
MGOGORO WA MAENEO YA KILIMO YA VIJIJI VYA ZANZABAR WAISHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-wj02qYjk1Uk/VcDGztwjGlI/AAAAAAAHuCE/0dhNBevUjw0/s640/372.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-goA94rKGcl8/VcDGzYaI1AI/AAAAAAAHuCA/MldY5sN7h98/s640/378.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-tv3ESZ6WlCY/VcDGzzOcnGI/AAAAAAAHuCI/CkTWsM15doE/s640/384.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima02 Sep
Wagomea EFD’s Dar
SIKU chache baada ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi kutangaza kuanza uhakiki wa matumizi ya mashine za EFDs, wafanyabiashara wa maduka Kariakoo Dar es...
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
TRA: Mashine za EFD haziepukiki
WAKATI wafanyabiashara maeneo mbalimbali nchini wakiendelea na mgomo kupinga kununua mashine za EFDs, Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato nchini, (TRA), Rished Bade, amesisitiza kuwa mashine hizo haziepukiki na...