Mvutano kuhamia Digitali waisha Kenya
Mvutano kati ya serikali ya Kenya na vyombo vya habari kuhusu kuhamia mfumo wa digitali hivi sasa umeisha.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi14 Feb
Mgomo wa EFD waisha
 >Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT) imetangaza kusitisha mgomo wa wafanyabiashara uliodumu kwa takriban siku tano kupinga notisi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ya kuwapa siku 14 za kufunga Mashine za Elektroniki za Kutoza Kodi (EFD).
10 years ago
Mwananchi12 Apr
VIFO: Mgomo waisha, ajali zarejea
>Watu watano wamefariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa katika mikoa ya Dodoma na Iringa ikiwa ni muda usiozidi saa 24, baada ya kumalizika mgomo wa madereva wa mabasi na malori.
10 years ago
Mwananchi22 Dec
Uandikishaji BVR waisha kwa changamoto
Wakati majaribio ya uandikishaji wa wapigakura kwa kutumia mfumo mpya wa BVR yakiisha leo, wananchi wengi wameshindwa kujiandikisha kutokana na mpango wenyewe kusuasua.
10 years ago
Habarileo02 Jun
Mgogoro wa Mji Mpya Kigamboni waisha
HATIMAYE mgogoro wa ardhi uliokuwepo kwa muda mrefu baina ya serikali na wakazi wa Kigamboni, umefikia tamati baada ya serikali kukubaliana na wananchi kuhusu uendelezaji wa ardhi kupitia mpango wa Mji Mpya.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wj02qYjk1Uk/VcDGztwjGlI/AAAAAAAHuCE/0dhNBevUjw0/s72-c/372.jpg)
MGOGORO WA MAENEO YA KILIMO YA VIJIJI VYA ZANZABAR WAISHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-wj02qYjk1Uk/VcDGztwjGlI/AAAAAAAHuCE/0dhNBevUjw0/s640/372.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-goA94rKGcl8/VcDGzYaI1AI/AAAAAAAHuCA/MldY5sN7h98/s640/378.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-tv3ESZ6WlCY/VcDGzzOcnGI/AAAAAAAHuCI/CkTWsM15doE/s640/384.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YbEpVVztUro/VUjcbIJ9WII/AAAAAAAHVi0/aTb7s3giIIM/s72-c/unnamed%2B(41).jpg)
MGOMO WA MADEREVA WAISHA KWA MUAFAKA WA MADAI YAO KUSHUGHULIKIWA NA SERIKALI
![](http://2.bp.blogspot.com/-YbEpVVztUro/VUjcbIJ9WII/AAAAAAAHVi0/aTb7s3giIIM/s1600/unnamed%2B(41).jpg)
Na Bakari Issa MajeshiMgomo wa Madereva uliodumu kwa takriban siku moja na ushee, hatimaye umepata muafaka baada ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Paul Makonda (pichani) kufanikiwa kuusuluhisha kwa kusaini makubaliano na Uongozi wa Chama cha Madereva.Makubaliano hayo yaliitaka Serikali kuboresha Mikataba kwa Madereva, malipo kwa madereva hao, pamoja na tatizo la ukaguzi wa magari ili kuondoa usumbufu kwa madereva hao, na kuiomba Serikali kufanya ukaguzi huo kwa siku moja tu.Akizungumza...
5 years ago
Ykileo![](https://2.bp.blogspot.com/-5JD_hwm4lUc/WwFIBUT2trI/AAAAAAAACQY/ERth7yYqJPccvVFENvmtgksah2fnLhnoACLcBGAs/s72-c/1.jpg)
MAABARA YA UCHUNGUZI WA MAKOSA YA DIGITALI
![](https://2.bp.blogspot.com/-5JD_hwm4lUc/WwFIBUT2trI/AAAAAAAACQY/ERth7yYqJPccvVFENvmtgksah2fnLhnoACLcBGAs/s640/1.jpg)
KWA UFUPI: Andiko hili litaangazia walau kwa mukhtasari mambo muhimu ya kuzingatia wakati wa kuanzisha/ Kujenga maabara ya uchunguzi wa makossa ya digitali itakayo weza kufanikisha uchunguzi wa makossa hayo.-------------------------------------------
Maabara ya uchunguzi wa makossa ya digitali situ inahitajika katika ngazi ya kitaifa bali pia makampuni yanaweza kuwa nayo ili kuweza kutafuta majibu ya uhalifu mtandao unaoweza kujitokeza.
![](https://1.bp.blogspot.com/-QWlfHxRdJVg/WwFIbZFYuQI/AAAAAAAACQk/HEofgOjkxNgMiZ3TkHT4mmhQWL2M4reaACEwYBhgL/s200/2.jpg)
10 years ago
VijimamboAsilimia 100 ya Tanzania sasa ni digitali
10 years ago
Mwananchi03 Dec
Mtwara, Lindi, Ruvuma kuingia digitali mwakani
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema mikoa yote ya Tanzania itakuwa imeunganishwa kwenye mfumo wa dijitali ifikapo Machi mwakani.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania