MAABARA YA UCHUNGUZI WA MAKOSA YA DIGITALI
![](https://2.bp.blogspot.com/-5JD_hwm4lUc/WwFIBUT2trI/AAAAAAAACQY/ERth7yYqJPccvVFENvmtgksah2fnLhnoACLcBGAs/s72-c/1.jpg)
KWA UFUPI: Andiko hili litaangazia walau kwa mukhtasari mambo muhimu ya kuzingatia wakati wa kuanzisha/ Kujenga maabara ya uchunguzi wa makossa ya digitali itakayo weza kufanikisha uchunguzi wa makossa hayo.
Maabara ya uchunguzi wa makossa ya digitali situ inahitajika katika ngazi ya kitaifa bali pia makampuni yanaweza kuwa nayo ili kuweza kutafuta majibu ya uhalifu mtandao unaoweza kujitokeza.
![](https://1.bp.blogspot.com/-QWlfHxRdJVg/WwFIbZFYuQI/AAAAAAAACQk/HEofgOjkxNgMiZ3TkHT4mmhQWL2M4reaACEwYBhgL/s200/2.jpg)
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-S_DlRykBlSE/XslSLG9Gn_I/AAAAAAALrXs/OgiqMVUAhwQ7p-q4WCYxqs8kAlKMiTftwCLcBGAsYHQ/s72-c/3e9c260a-da8a-4ebd-a43f-609e3b2878f0.jpg)
SERIKALI YATOA RIPOTI YA UCHUNGUZI WA MAABARA YA TAIFA YA AFYA YA JAMII NA KUBAINI UPUNGUFU MBALIMBALI
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/f00d5eb9-296f-420c-bb07-dd6edffa21d2.jpg)
Serikali imetoa ripoti ya uchunguzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii iliyoko ofisi za Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binaadam (NIMR) jijini Dar es Salaam na kubaini mapungufu mbalimbali ya kiutendaji yaliyokuwepo katika maabara hiyo.
Akiwasilisha taarifa ya kamati hiyo leo jijini Dar es Salaam, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mheshimiwa Ummy Mwalimu ametaja mapungufu yaliyobainishwa na kamati hiyo kuwa moja kati ya mashine...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-S_DlRykBlSE/XslSLG9Gn_I/AAAAAAALrXs/OgiqMVUAhwQ7p-q4WCYxqs8kAlKMiTftwCLcBGAsYHQ/s72-c/3e9c260a-da8a-4ebd-a43f-609e3b2878f0.jpg)
SERIKALI YATOA RIPOTI YA UCHUNGUZI WA MAABARA YA TAIFA YA AFYA YA JAMII NA KUBAINI MAPUNGUFU MBALIMBALI
Na WAMJW – Dar es Salaam
Serikali imetoa ripoti ya uchunguzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii iliyoko ofisi za Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binaadam (NIMR) jijini Dar es Salaam na kubaini mapungufu mbalimbali ya kiutendaji yaliyokuwepo katika maabara hiyo.
Akiwasilisha taarifa ya kamati hiyo leo jijini Dar es Salaam, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mheshimiwa Ummy Mwalimu ametaja mapungufu yaliyobainishwa na kamati hiyo kuwa moja kati ya mashine...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-baSezXflmy4/XvBrE-tZeNI/AAAAAAALu3I/5L5VsrrqQw87hI3wa9x6KAUTQ0tmWSWzACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-22%2Bat%2B9.32.34%2BAM.jpeg)
SERIKALI YAJENGA MAABARA YA KISASA YA UCHUNGUZI WA MAGONJWA YA BINADAMU YA KUAMBUKIZWA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI TISA MKOANI KILIMANJARO
Na WAMJW- KILIMANJARO.
SERIKALI kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imejenga Maabara ya Kisasa ya uchunguzi wa magonjwa ya binadamu ya kuambukiza yenye thamani ya shilingi Bilion tisa katika Wilaya ya Siha Mkoani Kilimanjaro.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel alipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Maabara hiyo ikiwa inaelekea kukamilika ili kuanza kutoa huduma za uchunguzi wa...
SERIKALI kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imejenga Maabara ya Kisasa ya uchunguzi wa magonjwa ya binadamu ya kuambukiza yenye thamani ya shilingi Bilion tisa katika Wilaya ya Siha Mkoani Kilimanjaro.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel alipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Maabara hiyo ikiwa inaelekea kukamilika ili kuanza kutoa huduma za uchunguzi wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fQWiMCBisqo/Xu59wDpknJI/AAAAAAAAHVg/Y97kflRidlEWEO_LlX6sEsdbQ6gqvHpOQCLcBGAsYHQ/s72-c/20200619_113202.jpg)
SERIKALI IMEKABIDHIWA VIFAA VYA MAABARA VYA UCHUNGUZI NA UTAMBUZI WA MAGONJWA YA MIFUGO
SERIKALI imekabidhiwa vifaa vya maabara vya uchunguzi na utambuzi wa magonjwa ya mifugo ambavyo vitasaidia kufanikisha juhudi za kupambana na magonjwa yakiwemo yanayotoka kwa wanyama kwenda kwa binadamu.
Vifaa hivyo vimetolewa na Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) kwa kufadhiliwa na Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID) chini ya programu ya Ajenda ya Usalama wa Afya Ulimwenguni (GHSA-ZDAH).
Lengo ni kukuza uwezo wa dunia wa kujilinda dhidi ya hatari za...
Vifaa hivyo vimetolewa na Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) kwa kufadhiliwa na Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID) chini ya programu ya Ajenda ya Usalama wa Afya Ulimwenguni (GHSA-ZDAH).
Lengo ni kukuza uwezo wa dunia wa kujilinda dhidi ya hatari za...
5 years ago
Michuzi10 years ago
Mwananchi07 Jan
Kuna tofauti ya maabara na majengo ya maabara
Desemba 9 mwaka jana ndiyo ulikuwa mwisho wa utekelezaji wa agizo la Rais Jakaya Kikwete kuhusu ujenzi wa maabara katika shule za sekondari za Serikali nchi nzima.
10 years ago
VijimamboAsilimia 100 ya Tanzania sasa ni digitali
10 years ago
BBCSwahili05 Mar
Mvutano kuhamia Digitali waisha Kenya
Mvutano kati ya serikali ya Kenya na vyombo vya habari kuhusu kuhamia mfumo wa digitali hivi sasa umeisha.
10 years ago
Mwananchi03 Dec
Mtwara, Lindi, Ruvuma kuingia digitali mwakani
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema mikoa yote ya Tanzania itakuwa imeunganishwa kwenye mfumo wa dijitali ifikapo Machi mwakani.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania