Serikali itafute muafaka wa Wamachinga
TUNAPENDA kulaani kwa nguvu zote vitendo vya matumizi makubwa ya nguvu za dola kuwabughudhi wafanyabiashara ndogo ndogo mitaani, maarufu kama Wamachinga. Hata hivyo, hatuungi mkono hatua ya wafanyabiashara hao kukiuka...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi10 Nov
Dk Shein:Serikali mbili muafaka
10 years ago
BBCSwahili15 Jan
Colombia:Serikali,FARC kupata muafaka
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NfZBQ8g66NRFTs2S5GA9*l3ROILKLaUzq6BP5heGGYmo3RP9oikrTTKkzxQb-yvYz-dBGcQlsA6cZLUupGIZIuewa0845s59/bokoharamu1.jpg?width=650)
HATIMAYE BOKO HARAM NA SERIKALI ZAFIKIA MUAFAKA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YbEpVVztUro/VUjcbIJ9WII/AAAAAAAHVi0/aTb7s3giIIM/s72-c/unnamed%2B(41).jpg)
MGOMO WA MADEREVA WAISHA KWA MUAFAKA WA MADAI YAO KUSHUGHULIKIWA NA SERIKALI
![](http://2.bp.blogspot.com/-YbEpVVztUro/VUjcbIJ9WII/AAAAAAAHVi0/aTb7s3giIIM/s1600/unnamed%2B(41).jpg)
Na Bakari Issa MajeshiMgomo wa Madereva uliodumu kwa takriban siku moja na ushee, hatimaye umepata muafaka baada ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Paul Makonda (pichani) kufanikiwa kuusuluhisha kwa kusaini makubaliano na Uongozi wa Chama cha Madereva.Makubaliano hayo yaliitaka Serikali kuboresha Mikataba kwa Madereva, malipo kwa madereva hao, pamoja na tatizo la ukaguzi wa magari ili kuondoa usumbufu kwa madereva hao, na kuiomba Serikali kufanya ukaguzi huo kwa siku moja tu.Akizungumza...
11 years ago
Tanzania Daima12 Apr
Tatizo si wamachinga, ni serikali
HIVI karibuni Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) ilitangaza kuanzisha Operesheni Safisha Jiji ya kuwaondoa wamachinga wote walio katika maeneo yasiyo rasmi jijini Dar es...
9 years ago
Mwananchi27 Oct
Wamachinga ‘waitupia’ ombi Serikali ijayo
11 years ago
Tanzania Daima03 Jul
Serikali haina nia ya dhati na ‘Wamachinga’
MAMLAKA za miji nchini zimekuwa katika harakati za kusafisha miji, majiji na mitaa mbalimbali kwa lengo la kuboresha mandhari ya maeneo husika yaweze kuendana na hadhi zao. Waathirika wakubwa wa...
10 years ago
CloudsFM06 Feb
SERIKALI KUJADILI HATMA YA WAMACHINGA NCHINI
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda aliliambia Bunge jana kwamba Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), imewasilisha mapendekezo hayo kwake, juu ya hatua za kutatua tatizo hilo.
Pinda alisisitiza kwamba wazo hilo la Tamisemi ni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-h__7x6oczWY/XosNOkuRCNI/AAAAAAAAJCI/rif8s6uvodYwweNZxeWRC8OrHW5EXRDiACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200406_112732_963.jpg)
SERIKALI MKOA WA ARUSHA YAIMARISHA ULINZI NA USALAMA ZOEZI LA WAMACHINGA SAMUNGE
![](https://1.bp.blogspot.com/-h__7x6oczWY/XosNOkuRCNI/AAAAAAAAJCI/rif8s6uvodYwweNZxeWRC8OrHW5EXRDiACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200406_112732_963.jpg)
Wamachinga wakiwa kwenye eneo la Soko la Samunge wakijiandaa kuanza Ujenzi wa vibanda vyao Mara baada ya zoezi la kugawa maeneo lilipoanza picha Zote na Ahmed Mahmoud Arusha
![](https://1.bp.blogspot.com/-aBmHNYUKFfc/XosNPxj5fcI/AAAAAAAAJCQ/635nkyp57a048uHodCyRVJHgdz8Uz_1AgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200406_112734_674.jpg)
Michoro ya mgao wa maeneo ya vibanda vya soko la Samunge kama vinavyoonekana Leo Mara baada ya zoezi hilo la ugawaji kuanza Jana na Leo huku wengine wakianza kama walivyokutwa na kamera ya matukio jijini Arusha.
![](https://1.bp.blogspot.com/-q7gC0RuUlNs/XosNPUfqrMI/AAAAAAAAJCM/AlX6Bu1Byg8MmhrPEprpH3x9HBWpPrBzQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200406_112814_696.jpg)
Ujenzi ukiendelea kama unavyoonekana pichani leo ndani ya eneo la soko la Samunge hilo ni eneo la Mashariki...