Colombia:Serikali,FARC kupata muafaka
Serikali ya Colombia na Wapiganaji wa FARC wanatarajia kufanya mazungumzo kumaliza mzozo baina yao
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili16 Dec
Serikali,FARC kumaliza mzozo wa Colombia
Rais wa Colombia Juan Manuel Santos ana matumaini kuwa makubaliano yaliyotiwa saini yataleta amani
10 years ago
BBCSwahili22 May
Wanachama 18 wa FARC wauawa Colombia
Zaidi ya wanachama 18 wa kundi la waasi la FARC wameuawa katika shambulio la angani nchini Colombia.
10 years ago
BBCSwahili24 Nov
Farc wagoma kumuachia Jenerali Colombia
Waasi wa Farc nchini Colombia wamesema wamesitisha zoezi la kumuachia Jenerali Alzate
11 years ago
Tanzania Daima15 Jun
Serikali itafute muafaka wa Wamachinga
TUNAPENDA kulaani kwa nguvu zote vitendo vya matumizi makubwa ya nguvu za dola kuwabughudhi wafanyabiashara ndogo ndogo mitaani, maarufu kama Wamachinga. Hata hivyo, hatuungi mkono hatua ya wafanyabiashara hao kukiuka...
10 years ago
Mwananchi10 Nov
Dk Shein:Serikali mbili muafaka
>Makamu mwenyekiti wa CCM na Rais wa Zanzibar, DK Ali Mohamed Shein amesema Muungano wa Tanganyika na Zanzibar hauwezi kuvunjwa kwa maneno na kuongeza kuwa mfumo wa Muungano wa serikali mbili ndiyo mwafaka katika kuimarisha ulinzi na usalama wa Taifa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NfZBQ8g66NRFTs2S5GA9*l3ROILKLaUzq6BP5heGGYmo3RP9oikrTTKkzxQb-yvYz-dBGcQlsA6cZLUupGIZIuewa0845s59/bokoharamu1.jpg?width=650)
HATIMAYE BOKO HARAM NA SERIKALI ZAFIKIA MUAFAKA
Wasichana waliotekwa na kundi la Boko Haram tarehe 14 Februari mwaka huu. Serikali ya Nigeria na wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram, wamefikia makubaliano ya usitishaji mapigano na kuachiliwa huru wanafunzi wa kike wanaoshikiliwa na kundi hilo. Hayo yameelezwa na mkuu wa vikosi vya jeshi la Nigeria, Meja Jenerali Alex Sabundu Badeh na Hassan Tukur, Katibu wa ikulu ya rais ya nchi hiyo na mshauri wa karibu...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YbEpVVztUro/VUjcbIJ9WII/AAAAAAAHVi0/aTb7s3giIIM/s72-c/unnamed%2B(41).jpg)
MGOMO WA MADEREVA WAISHA KWA MUAFAKA WA MADAI YAO KUSHUGHULIKIWA NA SERIKALI
![](http://2.bp.blogspot.com/-YbEpVVztUro/VUjcbIJ9WII/AAAAAAAHVi0/aTb7s3giIIM/s1600/unnamed%2B(41).jpg)
Na Bakari Issa MajeshiMgomo wa Madereva uliodumu kwa takriban siku moja na ushee, hatimaye umepata muafaka baada ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Paul Makonda (pichani) kufanikiwa kuusuluhisha kwa kusaini makubaliano na Uongozi wa Chama cha Madereva.Makubaliano hayo yaliitaka Serikali kuboresha Mikataba kwa Madereva, malipo kwa madereva hao, pamoja na tatizo la ukaguzi wa magari ili kuondoa usumbufu kwa madereva hao, na kuiomba Serikali kufanya ukaguzi huo kwa siku moja tu.Akizungumza...
11 years ago
Mwananchi14 Feb
Serikali sasa kupata unafuu wa mikopo
Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe, amesema Serikali itapunguza gharama za kukopa fedha kwa riba katika taasisi za fedha na benki nchini, baada ya Benki ya Rasilimali (TIB) kuingia makubaliano na Benki ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika, katika kutoa mikopo isiyokuwa na riba kwa miradi yote ya maendeleo ikiwamo ya sekta ya uchukuzi.
9 years ago
Mwananchi17 Sep
Ukawa Mtwara hakuna muafaka
Vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), vya NCCR-Mageuzi, Chadema, CUF na NLD, vimeshindwa kufikia makubaliano ya kusimamisha mgombea mmoja wa ubunge Jimbo la Mtwara Mjini.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania