Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Colombia:Serikali,FARC kupata muafaka

Serikali ya Colombia na Wapiganaji wa FARC wanatarajia kufanya mazungumzo kumaliza mzozo baina yao

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Serikali,FARC kumaliza mzozo wa Colombia

Rais wa Colombia Juan Manuel Santos ana matumaini kuwa makubaliano yaliyotiwa saini yataleta amani

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanachama 18 wa FARC wauawa Colombia

Zaidi ya wanachama 18 wa kundi la waasi la FARC wameuawa katika shambulio la angani nchini Colombia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Farc wagoma kumuachia Jenerali Colombia

Waasi wa Farc nchini Colombia wamesema wamesitisha zoezi la kumuachia Jenerali Alzate

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali itafute muafaka wa Wamachinga

TUNAPENDA kulaani kwa nguvu zote vitendo vya matumizi makubwa ya nguvu za dola kuwabughudhi wafanyabiashara ndogo ndogo mitaani, maarufu kama Wamachinga. Hata hivyo, hatuungi mkono hatua ya wafanyabiashara hao kukiuka...

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Shein:Serikali mbili muafaka

>Makamu mwenyekiti wa CCM na Rais wa Zanzibar, DK Ali Mohamed Shein amesema Muungano wa Tanganyika na Zanzibar hauwezi kuvunjwa kwa maneno na  kuongeza kuwa mfumo wa Muungano wa serikali mbili ndiyo mwafaka katika kuimarisha ulinzi na usalama wa Taifa.

 

10 years ago

GPL

HATIMAYE BOKO HARAM NA SERIKALI ZAFIKIA MUAFAKA

Wasichana waliotekwa na kundi la Boko Haram tarehe 14 Februari mwaka huu. Serikali ya Nigeria na wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram, wamefikia makubaliano ya usitishaji mapigano na kuachiliwa huru wanafunzi wa kike wanaoshikiliwa na kundi hilo. Hayo yameelezwa na mkuu wa vikosi vya jeshi la Nigeria, Meja Jenerali Alex Sabundu Badeh na Hassan Tukur, Katibu wa ikulu ya rais ya nchi hiyo na mshauri wa karibu...

 

10 years ago

Michuzi

MGOMO WA MADEREVA WAISHA KWA MUAFAKA WA MADAI YAO KUSHUGHULIKIWA NA SERIKALI


Na Bakari Issa MajeshiMgomo wa Madereva uliodumu  kwa takriban siku moja na ushee, hatimaye umepata muafaka baada ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Paul Makonda (pichani) kufanikiwa kuusuluhisha kwa kusaini makubaliano na Uongozi wa Chama cha Madereva.Makubaliano hayo yaliitaka Serikali kuboresha  Mikataba kwa Madereva, malipo kwa madereva hao, pamoja na tatizo la ukaguzi wa magari ili kuondoa usumbufu kwa madereva hao, na kuiomba Serikali kufanya ukaguzi huo kwa siku moja tu.Akizungumza...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali sasa kupata unafuu wa mikopo

Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe, amesema Serikali itapunguza gharama za kukopa fedha kwa riba katika taasisi za fedha na benki nchini, baada ya Benki ya Rasilimali (TIB) kuingia makubaliano na Benki ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika, katika kutoa mikopo isiyokuwa na riba kwa miradi yote ya maendeleo ikiwamo ya sekta ya uchukuzi.

 

9 years ago

Mwananchi

Ukawa Mtwara hakuna muafaka

Vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), vya NCCR-Mageuzi, Chadema, CUF na NLD, vimeshindwa kufikia makubaliano ya kusimamisha mgombea mmoja wa ubunge Jimbo la Mtwara Mjini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani