Ukawa Mtwara hakuna muafaka
Vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), vya NCCR-Mageuzi, Chadema, CUF na NLD, vimeshindwa kufikia makubaliano ya kusimamisha mgombea mmoja wa ubunge Jimbo la Mtwara Mjini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi29 Jun
‘Bila Ukawa hakuna Katiba’
10 years ago
Habarileo13 Aug
NLD Mtwara 'waibipu' Ukawa
UAMUZI wa umoja wa vyama vinne vya upinzani nchini (UKAWA) wa kuachiana majimbo, umezua balaa mkoani Mtwara. Hali hiyo imetokana na uongozi wa Chama cha National League for Democracy (NLD), kudai uongozi wa Ukawa kuanzia wilayani hadi taifa umejawa na viongozi wabinafsi na wenye mizengwe.
11 years ago
Mwananchi05 Jul
Katibu: Sijasema bila Ukawa hakuna Katiba
11 years ago
GPL
‘CCM, UKAWA HAKUNA MBABE’
11 years ago
Mwananchi28 Jun
Katibu: Bila Ukawa hakuna Katiba Mpya
11 years ago
Michuzi
MRADI WA HAKUNA WASICHOWEZA WATOA ELIMU NA MISAADA YA VIFAA VYA KUJISITIRI WAKATI WA HEDHI KWA WASICHANA 6000 MKOANI MTWARA

10 years ago
Mtanzania31 Aug
Duni amaliza utata wa mgombea ubunge Ukawa Mtwara
Na Elias Msuya, Mtwara
MGOMBEA mwenza wa urais wa Chadema kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Juma Haji Duni, amemaliza utata wa mgombea ubunge wa umoja huo jimbo la Mtwara baada ya kumtangaza Maftah Hanachuma Mchumo kuwa ndiye atakayepeperusha bendera za vyama vinavyounda umoja huo.
Utata wa mgombea wa Ukawa katika jimbo hilo ulitokana na Chadema kumsimamisha Joel Nanauka, NCCR Mageuzi, Uled Hassan Abdallah na CUF, Maftah Machumo.
Kabla ya Duni kumtangza Maftah, Makamu mwenyekiti...
10 years ago
Mzalendo Zanzibar12 Sep
Tangazo: Hakuna Ukawa wala Sinia, wakitaka tutashinda, wasitake tutashinda
Naam hili ni tangazo lililotolewa kwa niaba niaba ya Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar akiwatangazia wana CCM, wapenda amani na wananchi wote kujitokeza kwa wingi katika ufunguzi wa kampeni za CCM, siku ya Jumapili hapo […]
The post Tangazo: Hakuna Ukawa wala Sinia, wakitaka tutashinda, wasitake tutashinda appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Tanzania Daima15 Jun
Serikali itafute muafaka wa Wamachinga
TUNAPENDA kulaani kwa nguvu zote vitendo vya matumizi makubwa ya nguvu za dola kuwabughudhi wafanyabiashara ndogo ndogo mitaani, maarufu kama Wamachinga. Hata hivyo, hatuungi mkono hatua ya wafanyabiashara hao kukiuka...