NLD Mtwara 'waibipu' Ukawa
UAMUZI wa umoja wa vyama vinne vya upinzani nchini (UKAWA) wa kuachiana majimbo, umezua balaa mkoani Mtwara. Hali hiyo imetokana na uongozi wa Chama cha National League for Democracy (NLD), kudai uongozi wa Ukawa kuanzia wilayani hadi taifa umejawa na viongozi wabinafsi na wenye mizengwe.
habarileo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania