Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wamachinga ‘waitupia’ ombi Serikali ijayo

Wafanyabiashara ndogondogo maarufu kama wamachinga, wameomba viongozi watakaochaguliwa kuwaandalia eneo la kudumu la kufanyia biashara ili kuondokana na vurugu za mara kwa mara kati yao na Serikali.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Tatizo si wamachinga, ni serikali

HIVI karibuni Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) ilitangaza kuanzisha Operesheni Safisha Jiji ya kuwaondoa wamachinga wote walio katika maeneo yasiyo rasmi jijini Dar es...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali itafute muafaka wa Wamachinga

TUNAPENDA kulaani kwa nguvu zote vitendo vya matumizi makubwa ya nguvu za dola kuwabughudhi wafanyabiashara ndogo ndogo mitaani, maarufu kama Wamachinga. Hata hivyo, hatuungi mkono hatua ya wafanyabiashara hao kukiuka...

 

10 years ago

CloudsFM

SERIKALI KUJADILI HATMA YA WAMACHINGA NCHINI

SERIKALI imeingilia kati manyanyaso wanayopata wafanyabiashara ndogo na mamalishe nchini, kwa kuamua kuunda kikosi cha kiofisi, kitakachohusisha wajasiriamali hao kwa lengo la kukubaliana juu ya maeneo na muda mwafaka wa kuendesha shughuli zao.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda aliliambia Bunge jana kwamba Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), imewasilisha mapendekezo hayo kwake, juu ya hatua za kutatua tatizo hilo.

Pinda alisisitiza kwamba wazo hilo la Tamisemi ni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali haina nia ya dhati na ‘Wamachinga’

MAMLAKA za miji nchini zimekuwa katika harakati za kusafisha miji, majiji na mitaa mbalimbali kwa lengo la kuboresha mandhari ya maeneo husika yaweze kuendana na hadhi zao. Waathirika wakubwa wa...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI MKOA WA ARUSHA YAIMARISHA ULINZI NA USALAMA ZOEZI LA WAMACHINGA SAMUNGE


Wamachinga wakiwa kwenye eneo la Soko la Samunge wakijiandaa kuanza Ujenzi wa vibanda vyao Mara baada ya zoezi la kugawa maeneo lilipoanza picha Zote na Ahmed Mahmoud Arusha


Michoro ya mgao wa maeneo ya vibanda vya soko la Samunge kama vinavyoonekana Leo Mara baada ya zoezi hilo la ugawaji kuanza Jana na Leo huku wengine wakianza kama walivyokutwa na kamera ya matukio jijini Arusha.













Ujenzi ukiendelea kama unavyoonekana pichani leo ndani ya eneo la soko la Samunge hilo ni eneo la Mashariki...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali ifanyie kazi ombi la Watoto wa Mitaani Mwanza

TIMU ya soka ya taifa inayoundwa na watoto wa mitaani, Jumapili iliyopita iliiweka Tanzania katika medani ya kimataifa, baada ya kubeba ubingwa wa dunia kwa kuifunga Burundi katika mashindano hayo...

 

9 years ago

GPL

DK. CHENI AIPASUKIA SERIKALI IJAYO

Muigizaji nguli nchini, Mahsein Awadh Said ‘Dk Cheni’. Boniphace Ngumije
MUIGIZAJI nguli nchini,Mahsein Awadh Said ‘Dk Cheni’ hivi karibuni ametoa ya moyoni kwa kusema kuwa serikali
ijayo iache mambo ya blabla bali itimize ahadi ambazo imekuwa ikitoa kwa wasanii ikiwa ni pamoja na kulinda haki
na masilahi yao. Akizungumzia jinsi alivyouona uchaguzi, Dk Cheni alisema ameridhika na matokeo lakini akatoa rai kwa wale...

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali ijayo ije na tiba ya elimu ya awali

Mwaka huu Watanzania tunafanya uamuzi wa kikatiba wa kuwachagua wawakilishi wetu katika ngazi mbalimbali

 

10 years ago

Mwananchi

Huyu ndiye rais nimtakaye Serikali ijayo

Miezi michache imebaki kabla ya Watanzania kuwachagua viongozi wa Serikali ya awamu ya tano.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani