Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DK. CHENI AIPASUKIA SERIKALI IJAYO

Muigizaji nguli nchini, Mahsein Awadh Said ‘Dk Cheni’. Boniphace Ngumije
MUIGIZAJI nguli nchini,Mahsein Awadh Said ‘Dk Cheni’ hivi karibuni ametoa ya moyoni kwa kusema kuwa serikali
ijayo iache mambo ya blabla bali itimize ahadi ambazo imekuwa ikitoa kwa wasanii ikiwa ni pamoja na kulinda haki
na masilahi yao. Akizungumzia jinsi alivyouona uchaguzi, Dk Cheni alisema ameridhika na matokeo lakini akatoa rai kwa wale...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wamachinga ‘waitupia’ ombi Serikali ijayo

Wafanyabiashara ndogondogo maarufu kama wamachinga, wameomba viongozi watakaochaguliwa kuwaandalia eneo la kudumu la kufanyia biashara ili kuondokana na vurugu za mara kwa mara kati yao na Serikali.

 

10 years ago

Mwananchi

Huyu ndiye rais nimtakaye Serikali ijayo

Miezi michache imebaki kabla ya Watanzania kuwachagua viongozi wa Serikali ya awamu ya tano.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali ijayo ije na tiba ya elimu ya awali

Mwaka huu Watanzania tunafanya uamuzi wa kikatiba wa kuwachagua wawakilishi wetu katika ngazi mbalimbali

 

10 years ago

Mwananchi

Watanzania wanategemea maajabu Serikali ijayo iwaondolee umaskini

Tangu Watanzania wapate uhuru mwaka 1961, awamu tofauti za Serikali zilizoingia madarakani zilikuwa na mikakati ya kuwaondoa Watanzania zaidi ya asilimia 80 kwenye umaskini.

 

10 years ago

Mwananchi

Mikakati inayopaswa kuzingatiwa na Serikali ijayo ili kujenga uchumi bora

Mwezi wa Oktoba, Watanzania watamchagua Rais mpya Wabunge na Madiwani katika uchaguzi mkuu. Ni vyema Watanzania wakafahamu umuhimu wa uongozi katika maendeleo ya uchumi na jamii.

 

11 years ago

Vijimambo

10 years ago

Bongo Movies

Dr Cheni Ajigeuza Mwanamke!

Staa mkongwe wa Bongo Movies, Mahsein Awadh ‘Dokta Cheni’ kwa mara ya kwanza  ataibuka kama mwanamke katika filamu inayokwenda kwa jina la ‘ Nimekubali kuolewa’ inayotarajiwa kutoka Mei 21 mwaka huu baada ya kucheleweshwa kutoka na bodi ya filamu nchini ambayo ilikuwa na wasiwasi  nayo katika baadhi ya vipengele.

Akizungumza na gazeti la Sani, Dokta Cheni alisema kwamba filamu hiyo ni nzuri na imefanyika katika  ubora wa hali ya juu.

Aidha, alikiri kusimamishwa na bodi ya filamu na kusema...

 

11 years ago

GPL

DK. CHENI: FREEMASON WANANITESA

Stori: Brighton Masalu
MINONG’ONO na uvumi unaotambaa kwa kasi kuwa anajihusisha na taasisi ya wajenzi huru (Freemasons), unazidi kumtesa msanii wa filamu za Kibongo, Mahsein Awadhi Said ‘Dk. Cheni’ kwa madai ya kwamba anajisikia vibaya anaponyoshewa vidole na baadhi ya wadau wa tasnia hiyo. Dk. Cheni. Mwishoni mwa wiki iliyopita, mwandishi wetu alisikia fununu kutoka kwa wadau wengi wa filamu wakiwemo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani