Watanzania wanategemea maajabu Serikali ijayo iwaondolee umaskini
Tangu Watanzania wapate uhuru mwaka 1961, awamu tofauti za Serikali zilizoingia madarakani zilikuwa na mikakati ya kuwaondoa Watanzania zaidi ya asilimia 80 kwenye umaskini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi24 Sep
Gesi asilia inavyofungua njia kwa Watanzania kuagana na umaskini
10 years ago
Michuzi13 Aug
HOJA YA HAJA: Je kuna nia ya dhati ya kuwaondolea watanzania umaskini?
Tunapoelekea kwenye kipindi hiki cha uchaguzi wagombea urais watarajiwa wanajaribu kuwaeleza watu mambo yenye mvuto kwao na kuonyesha kuwa wataifanya Tanzania iwe nchi ya maziwa na asali. Nafahamu watatupa ahadi nyingi zaidi wakati wa kampeni.Lakini kinachonisikitisha zaidi ni pale wanasiasa wanaposema wanakerwa na umaskini wa watanzania na nia yao ni kuondoa umaskini.
Lakini hapo hapo anahamasisha maelfu ya vijana na watu wengine kuacha kazi zao kumsindikiza kwenda kuchukua fomu...
10 years ago
Mtanzania22 Dec
Maajabu uchaguzi Serikali za Mitaa
Na Waandishi Wetu, Dar na Mwanza
HAYA ni maajabu. Ndivyo unavyoweza kusema baada ya wapiga katika kituo cha Shule ya Msingi Mwenge, Kinondoni jijini Dar es Salaam kufika kituoni na kukuta majina yao yakionyesha tayari wamepiga kura.
Hali hiyo, ilisababisha kuibuka vurugu kubwa ambazo zilisababisha upigaji kura katika uchaguzi huo wa marudio, kusitishwa kwa muda.
Msimamizi wa uchaguzi katika kituo hicho, Nasoro Kichuma alisema uchaguzi huo ulianza vizuri, lakini kadrii muda ulivyozidi kwenda...
10 years ago
GPL
DK. CHENI AIPASUKIA SERIKALI IJAYO
5 years ago
Michuzi
KUNDI LA PILI LA WATANZANIA WALIOKWAMA AFRIKA KUSINI LINATARAJIWA KUREJEA NYUMBANI MAPEMA WIKI IJAYO
Kundi la pili la Watanzania waliokwama nchini Afrika Kusini kutokana na Lockdown nchini humo iliyosababishwa na ugonjwa wa Corona linatarajia kurejeshwa nchini mwanzoni mwa wiki ijayo mara tu baada ya taratibu za safari hiyo kukamilika, imefahamika.
Kwa mujibu wa ubalozi wa Tanzania nchini humo, jumla ya Watanzania 63 wamekuwa katika harakati za kutaka kurejea nyumbani lakini wamekwama kutokana na changamoto mbalimbali ikiwemo kuchelewa kwa vibali vya kusafiri nje...
10 years ago
Mwananchi27 Oct
Wamachinga ‘waitupia’ ombi Serikali ijayo
10 years ago
Mwananchi17 Jun
Huyu ndiye rais nimtakaye Serikali ijayo
10 years ago
Mwananchi23 Jun
Serikali ijayo ije na tiba ya elimu ya awali
11 years ago
Mwananchi23 Apr
Maige adai kuwa na Serikali tatu nchi itaingia maajabu ya dunia