HOJA YA HAJA: Je kuna nia ya dhati ya kuwaondolea watanzania umaskini?
Tunapoelekea kwenye kipindi hiki cha uchaguzi wagombea urais watarajiwa wanajaribu kuwaeleza watu mambo yenye mvuto kwao na kuonyesha kuwa wataifanya Tanzania iwe nchi ya maziwa na asali. Nafahamu watatupa ahadi nyingi zaidi wakati wa kampeni.Lakini kinachonisikitisha zaidi ni pale wanasiasa wanaposema wanakerwa na umaskini wa watanzania na nia yao ni kuondoa umaskini.
Lakini hapo hapo anahamasisha maelfu ya vijana na watu wengine kuacha kazi zao kumsindikiza kwenda kuchukua fomu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nWWDu4q07f8/U0qzoiKfvGI/AAAAAAAFaeo/-lVVkE0AeJA/s72-c/578b05b586da72cb24792c914c30f437+(2).jpg)
9 years ago
Michuzi04 Sep
HOJA YA HAJA: BARUA YA WAZI KWA WATANZANIA NA VIONGOZI WA VYAMA SIASA
Tanzania ya leo ina wananchi...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Y3Hmig3Fkvw/UwueaVgQ5QI/AAAAAAAFPUA/Vyt4Kz-DFH8/s72-c/2318784-flag-of-tanzania-waving-in-the-wind.jpg)
Hoja ya haja ya Mwenyekiti wa Watanzania wa Washington-Seattle kuhusu uraia pacha
![](http://4.bp.blogspot.com/-Y3Hmig3Fkvw/UwueaVgQ5QI/AAAAAAAFPUA/Vyt4Kz-DFH8/s1600/2318784-flag-of-tanzania-waving-in-the-wind.jpg)
10 years ago
Michuzi20 Aug
HOJA YA HAJA: BARUA YA WAZI KWA GAZETI LA MWANANCHI NA BWANA HUMPHREY POLEPOLE KUHUSU URAIA PACHA KWA WATANZANIA.
1.kwa watanzania wote walio na wazazi wenye...
11 years ago
Tanzania Daima03 Jul
Serikali haina nia ya dhati na ‘Wamachinga’
MAMLAKA za miji nchini zimekuwa katika harakati za kusafisha miji, majiji na mitaa mbalimbali kwa lengo la kuboresha mandhari ya maeneo husika yaweze kuendana na hadhi zao. Waathirika wakubwa wa...
11 years ago
Tanzania Daima15 Jul
Serikali haina nia ya dhati katiba mpya
HIVI sasa taifa liko kwenye hofu ya kushindwa kupata katiba mpya, baada ya mchakato wake kuingia dosari kutokana na wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kususia Bunge. Kitendo...
11 years ago
Michuzi09 Apr
hoja ya haja: ............ la Uraia Pacha
naomba pia uniruhusu kusema machache kuhusu mwanazuoni John Mashaka kwa sababu ametugusa kwa mamilioni. na hapana shaka wasomaji wote wa hii blog watakubaliana na mimi kuhusiana na...
10 years ago
Michuzi29 Jun
HOJA YA HAJA TOKA KWA MDAU
Nimeenda kwenye maonesho hayo lakini nilichoshuhudia jana nikwamba maonesho hayo yamewalenga wenye kipato cha juu tu na si watanzania wakawaida asilani, kwa sababu inashangaza sana kwa serikali...
11 years ago
Michuzi18 Feb
HOJA YA HAJA KUTOKA KWA WADAU WA UGHAIBUNI
Mnhomo Gwa Nzunzu ni Mtanzania aliyezaliwa Sengerema, Mwanza. Baada ya kuzaliwa wazazi wake walifariki wakati yeye akiwa na miaka mitatu tu kutokana na ajali ya gari. Baada ya kufariki wazazi wake Nhomo Gwa Nzuzu alilelewa na bibi yake ambaye alimsisitizia sana apate elimu ili ajikombowe kimaisha. Kwa vile Nhomo Gwa Nzuzu hakutaka kumsikitisha bibiye aliamua maisha yake ni kitabu na kitabu na yeye.
Kutokana na juhudi zake za kujisomea Nhomo Gwa Nzuzu alifaulu darasa...