Mnyika ataka bajeti ya Maji isisomwe leo
MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika ameshauri bajeti ya Wizara ya Maji isisomwe leo bungeni, badala yake irudishwe kwenye kamati ya bajeti waifumue kwa kuiongezea fedha.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima30 Jan
Mnyika ataka majibu kero ya barabara
MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amesema amemtumia ujumbe Waziri wa Ujenzi, John Magufuli, ili atoe kauli ya serikali juu ya ujenzi wa Barabara ya Morogoro, ambao umegeuka kuwa kero...
11 years ago
Tanzania Daima15 Jul
Mnyika ataka matokeo ya uchunguzi Ruvu Juu
MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika, ameitaka Wizara ya Maji kuueleza umma juu ya matokeo ya uchunguzi wa kubaini kama tatizo linalojirudia kwenye mtambo wa maji wa Ruvu Juu ni masuala...
11 years ago
Mwananchi08 Feb
Mbunge Mnyika ataka kusitishwa kwa uwindaji
11 years ago
Tanzania Daima04 May
Maji yazidi kumliza Mnyika
MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amesema ufumbuzi wa tatizo la maji katika Jiji la Dar es Salaam hautapatikana kwa kuchimba visima bali kuboresha miundombinu. Mbali na hilo, mbunge huyo...
10 years ago
Dewji Blog24 Sep
Mnyika azindua mradi wa maji
Mbunge wa jimbo la Ubungo, John Mnyika (Chadema).
Na Mwandishi wetu
MBUNGE Ubungo, John Mnyika (Chadema) amezindua mradi wa maji ya kisima katika kata ya Mbezi Luis jijini Dar es salaam.
Mradi huo wa maji unatokana na mchango na nguvu ya wananchi wa kikundi cha maendeleo cha ‘great 12 development group’ kinachotarajia kuchimba visima ambavyo vitasambaza maji kwa wananchi wanaowazunguka.
Akizunguma jana jijini Dar es Salaam, katika uzinduzi huo Mnyika alisema mradi huo umegharimu milioni 40...
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Mnyika ataka vuguvugu la mageuzi lijikite Moshi Mjini
9 years ago
Dewji Blog24 Dec
Mradi wa maji wa sh Milioni 343 wazinduliwa kijiji cha Mabogini, RC Makalla ataka vyanzo vya maji vitunzwe
![](http://1.bp.blogspot.com/-sq8hYuBdAsQ/VnqQ4oM226I/AAAAAAAAJWU/RsmzTklLDGg/s640/1.jpg)
Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro Amos Makalla mwenye miwani akizindua huduma ya maji katika kijiji cha Mabogini, mkoani Kilimanjaro wenye thamani ya Sh Milioni 343.
Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro
ZAIDI ya wananchi 3000 wa kijiji cha Mabogini, kitongoji cha Shabaha, mkoani Kilimanjaro, watanufaika na huduma ya maji safi na salama, baada ya kupelekewa mradi wenye thamani ya Sh Milioni 343. Mradi huo uliozinduliwa jana na Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro, Amos Makalla, umesimamiwa na Mamlaka ya Maji Safi...
10 years ago
Tanzania Daima25 Oct
Mnyika ataka haki ugawaji nafasi kituo cha simu 2000
MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), ameitaka Manispaa ya Kinondoni kugawa nafasi za kufanyia biashara katika kituo kipya cha Daladala Simu 2000 kwa kuzingatia haki ili kuepuka misuguano. Mnyika, aliyasema...
10 years ago
Mwananchi04 Nov
Mnyika ‘amvaa’ Kikwete kilio cha maji Ubungo