Maji yazidi kumliza Mnyika
MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amesema ufumbuzi wa tatizo la maji katika Jiji la Dar es Salaam hautapatikana kwa kuchimba visima bali kuboresha miundombinu. Mbali na hilo, mbunge huyo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog24 Sep
Mnyika azindua mradi wa maji
Mbunge wa jimbo la Ubungo, John Mnyika (Chadema).
Na Mwandishi wetu
MBUNGE Ubungo, John Mnyika (Chadema) amezindua mradi wa maji ya kisima katika kata ya Mbezi Luis jijini Dar es salaam.
Mradi huo wa maji unatokana na mchango na nguvu ya wananchi wa kikundi cha maendeleo cha ‘great 12 development group’ kinachotarajia kuchimba visima ambavyo vitasambaza maji kwa wananchi wanaowazunguka.
Akizunguma jana jijini Dar es Salaam, katika uzinduzi huo Mnyika alisema mradi huo umegharimu milioni 40...
11 years ago
Habarileo12 May
Mnyika ataka bajeti ya Maji isisomwe leo
MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika ameshauri bajeti ya Wizara ya Maji isisomwe leo bungeni, badala yake irudishwe kwenye kamati ya bajeti waifumue kwa kuiongezea fedha.
10 years ago
Mwananchi04 Nov
Mnyika ‘amvaa’ Kikwete kilio cha maji Ubungo
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-ebl6Ltq13kQ/VnNr-R9gBPI/AAAAAAAAXds/Mp9JP_MiiN0/s72-c/CHADEMADirectorofInformationandUbungolegislatorJohnMnyika1.jpg)
TAARIFA YA JOHN MNYIKA KUHUSU KUTORIDHISHWA NA HATUA ZILIZOCHUKULIWA NA WAZIRI WA MAJI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pUv0rT5h6PJudGMbsP3Xz3Ukc6NhNZ6JhzrUDyEJx1elRqQ12Q3GxTAHm5H17yKlLBs9avtH4bUtNPSbIddTwJ7XGvS3RwNS/Love.jpg?width=650)
DHAMBI YA KUMLIZA, KUMTESA ANAYEKUPENDA KWA DHATI!
9 years ago
MillardAyo24 Dec
Baada ya Danny Mrwanda kusajiliwa na Maji Maji FC na kutowasili, uongozi wa Maji Maji umeamua hivi (+Audio)
Headlines za soka la bongo mtu wangu wa nguvu zimenifikia, safari hii sio kuhusu Simba na Yanga bali ni kuhusu staa wa soka aliyewahi kuvitumikia vilabu hivyo kwa nyakati mbili tofauti Danny Mrwanda, staa huyo ameingia kwenye headlines baada ya kuingia mkataba wa kuitumikia klabu ya Maji Maji FC ya Songea na kupewa malipo yake […]
The post Baada ya Danny Mrwanda kusajiliwa na Maji Maji FC na kutowasili, uongozi wa Maji Maji umeamua hivi (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Michuzi30 Aug
Bodi ya ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASA) yatembelea Eneo la Mradi wa Ujenzi wa Bwawa la Maji Kidunda
![](https://2.bp.blogspot.com/-utueJlLvcrc/VAEFt9bWIqI/AAAAAAAAXXc/60Yejvxm-3s/s1600/Modesta%2BMushi.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-dJAlQfjgYfw/VAEFtuoqMYI/AAAAAAAAXXY/p7ed-tfkWT8/s1600/Mhandishi%2BJohn%2BKirecha.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/g7CYaJh1SvLuGfe*gDKzGkS8WV63zi63mPHP0ygdvsL6YQSLKA0ozti-Qa--5S5foeXaGNOdC9o1ZprSQfrqcTnN1NDiQIGq/d1.jpg?width=650)
BODI YA WAKURUGENZI YA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA MAJI TAKA DAR ES SALAAM (DAWASA) YATEMBELEA ENEO LA MRADI WA UJENZI WA BWAWA LA MAJI KIDUNDA
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-0ku_BmEH1gE/VfpARhEXKUI/AAAAAAABVRg/CA5s4iTlR9A/s72-c/RC%2BDOM%2B%25284%2529.jpg)
CHAMA CHA WASAMBAZA MAJI NCHI (AWAC) CHAWAKUTANISHA WADAU MBALIMBALI WA MAJI ILI KUJADILI NAMNA YA KULINDA NA KUVITUNZA VYANZO VYA MAJI
![](http://1.bp.blogspot.com/-0ku_BmEH1gE/VfpARhEXKUI/AAAAAAABVRg/CA5s4iTlR9A/s640/RC%2BDOM%2B%25284%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nYaTmOUEGwQ/VfpAQkKxCkI/AAAAAAABVRM/fjDpVwB1e74/s640/RC%2BDOM%2B%25282%2529.jpg)