DHAMBI YA KUMLIZA, KUMTESA ANAYEKUPENDA KWA DHATI!
![](http://api.ning.com:80/files/pUv0rT5h6PJudGMbsP3Xz3Ukc6NhNZ6JhzrUDyEJx1elRqQ12Q3GxTAHm5H17yKlLBs9avtH4bUtNPSbIddTwJ7XGvS3RwNS/Love.jpg?width=650)
Mpenzi msomaji wangu, hakuna ubishi mapenzi yanachukua nafasi kubwa katika maisha yetu. Mimi na wewe tunahitaji kuwa na wapenzi tena wenye mapenzi ya dhati ili maisha yetu yaweze kukamilika. Bila kuwa na mtu ambaye kuna wakati unammis, ukiwa naye unajiona ni mwenye bahati kwa faraja anayokupa, ni lazima utahisi umepungukiwa kitu muhimu.Lakini wakati ukweli ukiwa hivyo, wapo wanaochukulia mapenzi kama kitu rahisirahisi. Kitu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/D*jRkBJZGXWQRLwPQrUh*euU5A*rRBvmhv2XDzDpHnM4AHDlef9ydq5wHaVHEgLKzExy3aUgN8zRmD34mO5pGQ8oHeiJ-Vlh/GGH.jpg?width=650)
KWA NINI UNGOJE ANAYEKUPENDA AKUTOLEE CHOZI LA LAANA?
10 years ago
GPL![](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2015/01/Nzigilwa-bishop.png?width=650)
ASKOFU NZIGIRWA ASICHUME DHAMBI JUU YA DHAMBI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uFCQvH3jdgCvcISMRwKBYRWtbmeQKy-9orMnPSK1Fg84zaOB16BcUE3fE0-*hz7iZf3sK0WOnP7Ty6MBIyNzF6V4qQ9jACGX/baba.jpg)
BABA APIGWA PINGU KWA KUMTESA MTOTO
11 years ago
Tanzania Daima04 May
Maji yazidi kumliza Mnyika
MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amesema ufumbuzi wa tatizo la maji katika Jiji la Dar es Salaam hautapatikana kwa kuchimba visima bali kuboresha miundombinu. Mbali na hilo, mbunge huyo...
10 years ago
Vijimambo12 Apr
DALILI 20 ZA MWANAMKE ASIYEKUPENDA KWA DHATI!
![](http://karibumbeya.com/wp-content/uploads/2015/04/51a734de010fa38494-200x113.jpg)
Dalili 20 za mwanamke asiyekupenda kwa dhati!
1 : Hataki kuambata na wewe katika matembezi na ikitokea anakuwa mtu wa masharti mara akuambie tangulia nakuja au pengine kutembea nawe kwa umbali.
2 : Anapata kigugumizi kukutambulisha kwa rafiki zake na ndugu na inapotokea amebanwa hafikishi ujumbe kwa kiwango timilifu.
3 : Haoneshi kubana matumizi kwa ajili ya maendeleao, kwake ni kufuja mali na anapokosa kupewa pesa ni mwepesi kulalamika na wakati mwingine kununa kabisa.
4 : Anaahilisha mara kwa...
9 years ago
Raia Mwema14 Oct
Tumuenzi Mwalimu Nyerere kwa dhati
LEO Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatimiza miaka 16 kamili bila kuwa na mwasisi wake Baba wa T
Mwandishi Wetu
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KmL7iy3TJag/U-fwvGUhd_I/AAAAAAAF-Qw/K6YfDRzrG2o/s72-c/png;base64c5152851411af50e.png)
SHUKRANI ZA DHATI KWA WANA-DMV
![](http://4.bp.blogspot.com/-KmL7iy3TJag/U-fwvGUhd_I/AAAAAAAF-Qw/K6YfDRzrG2o/s1600/png;base64c5152851411af50e.png)
Ushirikiano na Upendo mlio onyesha ndio msingi utakaotuletea maendeleo ya kweli.Mbele yetu tuna kazi kubwa, lakini kwa moyo mliyoonyesha nina imani tutaweza.Asanteni saana. Palipo na Umoja pana Ushindi. PS
9 years ago
Mwananchi04 Dec
MSD isimamie kwa dhati maduka ya dawa
10 years ago
Michuzi30 Nov
IBADA YA SHUKRANI za dhati kwenda kwa wadau wote
![kansolele](http://www.8020fashionsblog.com/wp-content/uploads/2014/11/kansolele.jpg)
Inaniwia vingumu sana kutoa shukrani kwa mtu mmoja mmoja au makundi kutokana na ushirikiano wenu katika kipindi kigumu cha msiba na mazishi ya mpendwa mume wangu na mwenyekiti wa Dorka catering na Dorka group of company Marehemu Dr kephas kansolele Ntevi kwaniaba ya familia yangu .Ninapenda kutoa shukrani za dhati kwa wote walio shiriki kwa njia moja au nyingine kwa kipindi chote cha msiba wa mume wangu.Kiukweli tulipatwa na kigugumizi ambacho hakisemeki Ingawa nyote mnastahili kushukuriwa...