DALILI 20 ZA MWANAMKE ASIYEKUPENDA KWA DHATI!
Dalili 20 za mwanamke asiyekupenda kwa dhati!
1 : Hataki kuambata na wewe katika matembezi na ikitokea anakuwa mtu wa masharti mara akuambie tangulia nakuja au pengine kutembea nawe kwa umbali.
2 : Anapata kigugumizi kukutambulisha kwa rafiki zake na ndugu na inapotokea amebanwa hafikishi ujumbe kwa kiwango timilifu.
3 : Haoneshi kubana matumizi kwa ajili ya maendeleao, kwake ni kufuja mali na anapokosa kupewa pesa ni mwepesi kulalamika na wakati mwingine kununa kabisa.
4 : Anaahilisha mara kwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-SDyAhv-LsgU/VMCW9tzSRyI/AAAAAAAAAO4/GdMmiguYC2U/s72-c/mwizi.jpg)
Dalili za mwanamke anayetoka nje ya ndoa
![](http://4.bp.blogspot.com/-SDyAhv-LsgU/VMCW9tzSRyI/AAAAAAAAAO4/GdMmiguYC2U/s640/mwizi.jpg)
Wataalamu wa maswala ya mahusiano wanaamini kwamba, mwanamke anapotoka nje ya ndoa yake, inakuwa rahisi sana kubainika au kufumaniwa kuliko ilivyo kwa mwanaume.
Hii inatokana na ukweli kwamba, hisia zinakuwa na nafasi kubwa sana kwa mwanamke, kwani mwanamke huishi kwa hisia zaidi kuliko mwanaume. Bado nasisitiza kwamba, haipaswi na siyo sahihi mtu kuchukulia dalili hizi kama ushahidi wa mpenzi wake kutoka nje ya ndoa. Uchunguzi wa kina kufuatia dalili hizi ni muhimu sana.
Zifuatazo hapa chini...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KmL7iy3TJag/U-fwvGUhd_I/AAAAAAAF-Qw/K6YfDRzrG2o/s72-c/png;base64c5152851411af50e.png)
SHUKRANI ZA DHATI KWA WANA-DMV
![](http://4.bp.blogspot.com/-KmL7iy3TJag/U-fwvGUhd_I/AAAAAAAF-Qw/K6YfDRzrG2o/s1600/png;base64c5152851411af50e.png)
Ushirikiano na Upendo mlio onyesha ndio msingi utakaotuletea maendeleo ya kweli.Mbele yetu tuna kazi kubwa, lakini kwa moyo mliyoonyesha nina imani tutaweza.Asanteni saana. Palipo na Umoja pana Ushindi. PS
9 years ago
Raia Mwema14 Oct
Tumuenzi Mwalimu Nyerere kwa dhati
LEO Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatimiza miaka 16 kamili bila kuwa na mwasisi wake Baba wa T
Mwandishi Wetu
9 years ago
Mwananchi04 Dec
MSD isimamie kwa dhati maduka ya dawa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pUv0rT5h6PJudGMbsP3Xz3Ukc6NhNZ6JhzrUDyEJx1elRqQ12Q3GxTAHm5H17yKlLBs9avtH4bUtNPSbIddTwJ7XGvS3RwNS/Love.jpg?width=650)
DHAMBI YA KUMLIZA, KUMTESA ANAYEKUPENDA KWA DHATI!
10 years ago
Michuzi30 Nov
IBADA YA SHUKRANI za dhati kwenda kwa wadau wote
![kansolele](http://www.8020fashionsblog.com/wp-content/uploads/2014/11/kansolele.jpg)
Inaniwia vingumu sana kutoa shukrani kwa mtu mmoja mmoja au makundi kutokana na ushirikiano wenu katika kipindi kigumu cha msiba na mazishi ya mpendwa mume wangu na mwenyekiti wa Dorka catering na Dorka group of company Marehemu Dr kephas kansolele Ntevi kwaniaba ya familia yangu .Ninapenda kutoa shukrani za dhati kwa wote walio shiriki kwa njia moja au nyingine kwa kipindi chote cha msiba wa mume wangu.Kiukweli tulipatwa na kigugumizi ambacho hakisemeki Ingawa nyote mnastahili kushukuriwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Wri1xbSz2-6Yn6cOS7K7pZSbnCuwl-fzE278dcWQ9ks1d6DzPgAuWTL-8cGOsPTp3Nu7lnBxmXF3EOtCRVA963THAi4nyIuC/mahaba.jpg?width=650)
KISA ANAKUPENDA KWA DHATI NDIYO UMTESE MPENZI WAKO?
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yLhNIms1C5*9w9FVMKEVcfGTLCbfdJFTMTwhe*QpPDLXLWsOi6Wr97t5WAeKA203WBczK-jtn3Fxed6T26WE1ly/mahaba.jpg)
UTENDEE HAKI MOYO WAKO UNGANA NA UNAYEMPENDA KWA DHATI! - 2
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6LjPLZ8wv3dD0KCqautsEWm2M6YfwR**lucQIueSsHMku*vUv*lFUCkaZjixMfh3beDmKguMffIfsS9MPEHYFiPaYMIU*xTw/mahaba.jpg?width=650)
UTENDEE HAKI MOYO WAKO, UNGANA NA UNAYEMPENDA KWA DHATI!