KWA NINI UNGOJE ANAYEKUPENDA AKUTOLEE CHOZI LA LAANA?
![](http://api.ning.com:80/files/D*jRkBJZGXWQRLwPQrUh*euU5A*rRBvmhv2XDzDpHnM4AHDlef9ydq5wHaVHEgLKzExy3aUgN8zRmD34mO5pGQ8oHeiJ-Vlh/GGH.jpg?width=650)
Mapenzi yanachukua nafasi kubwa katika maisha yetu. Mimi na wewe tunahitaji kuwa na wapenzi tena wenye mapenzi ya dhati ili maisha yawe ni yenye furaha na amani. Lakini wakati ukweli ukiwa hivyo, wapo wanaochukulia mapenzi kama kitu rahisi. Hapa namaanisha hivi, mtaani kuna watu wa aina mbili. Kuna ambao wanajua kweli kupenda. Akisema anampenda fulani, anamaanisha na kuna wale ambao wanaweza kusema wamependa kumbe hamna lolote....
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pUv0rT5h6PJudGMbsP3Xz3Ukc6NhNZ6JhzrUDyEJx1elRqQ12Q3GxTAHm5H17yKlLBs9avtH4bUtNPSbIddTwJ7XGvS3RwNS/Love.jpg?width=650)
DHAMBI YA KUMLIZA, KUMTESA ANAYEKUPENDA KWA DHATI!
11 years ago
Tanzania Daima01 Jun
Ardhi igeuke laana kwa wanaoimiliki
SEKTA ya ardhi nchini imekuwa ikukumbwa migogoro mingi ambayo imesababisha vifo vya watu, mifugo, majeruhi, ulemavu, upotevu wa mali na watu kuyakimbia makazi yao. Kutokana na hali hiyo, baadhi ya...
10 years ago
Bongo Movies19 May
Mainda: Kamwe Usichoke Kumpenda Anayekupenda.....
Kamwe usichoke kumpenda anayekupenda hasa kwenye ugumu wa maisha, kwani Binadamu shupavu hachoki kupambana na vita ya maisha.Usiwaombee mabaya wale wanaokuchukia yawezekana wakashuhudia mafanikio yako wakiwa hai,mtu akikurushia mawe usimrudishie yakusanye ujengee Daraja kuelekea kwenye mafanikio.
Tambua anae kunyoshea kidole haitaji jibu maana vidole vilivyobaki vimemwelekea yeye. ukijua kanuni hizi huwezi kushindana na mtu kwa jambo lolote lile.
By Mainda on Instagram
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZahK2JNbKSt9u2uuqgUeBWBGcNFmyRY*jbPRMmEvaGy8NJdbjAPoBj547C04u6p2zqvMIVY81LLQ4y47g2NMEmfVgZxZ16hk/wema.jpg?width=650)
WEMA AMWAGA CHOZI KABURINI KWA NYERERE!
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wrFaKHpwpO8/VJBoyi8Nw8I/AAAAAAAG3rs/KhN0YWqu284/s72-c/marcio.jpg)
Kuondoka kwa Maximo, wachezaji Yanga wamwaga chozi!
![](http://4.bp.blogspot.com/-wrFaKHpwpO8/VJBoyi8Nw8I/AAAAAAAG3rs/KhN0YWqu284/s1600/marcio.jpg)
Hata hivyo, tayari Maximo ameaga wachezaji wake kwenye mazoezi ya asubuhi leo ambapo mazoezi hayo yaligeuka shubiri baada ya Maximo...
10 years ago
Bongo Movies26 Mar
Ugumba Wamtesa Wema, Adondosha Chozi Mara kwa Mara!
Tatizo la kutoshika mimba (infertility) au kushindwa kupata mimba (conceive) limekuwa likimtesa staa wa Bongo Movies, Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu na limehusishwa na ugumba.
Akizungumza na gazeti la Amani juu ya ishu hiyo hivi karibuni jijini Dar es Salaam, Wema alisema suala la kutopata mtoto limekuwa likimkosesha amani katika maisha yake ya ukubwani.
Alisema kwamba, amekuwa akishinda akilia kila anapokutana na shosti wake wa sasa, Aunt Ezekiel ambaye ni mjamzito.Wema alitiririka...
10 years ago
GPLKWA NINI BEI YA MAFUTA KWA WALAJI HAISHUKI KWA KASI?
11 years ago
Tanzania Daima14 Jun
Baraka na laana — 10
HADAA na roho mbaya, usengenyaji, fitina, ayari, unafiki na uongo; hizi ni tabia zinazoendana sambamba na laana au kujizolea balaa kwa baadhi ya wanadamu wanaojihusisha nazo. Upo msemo usemao: “Mwenyezi...
11 years ago
Tanzania Daima12 Apr
Baraka na laana — 2
ZIMWI likujualo halikuli likakwisha. Pia upo msemo usemao kuuma na kupulizia. Misemo yote hii haina mwisho mzuri. Niseme balaa na laana huandamana navyo na havileti matumaini ya utukufu wa Mwenyezi Mungu....