Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ardhi igeuke laana kwa wanaoimiliki

SEKTA ya ardhi nchini imekuwa ikukumbwa migogoro mingi ambayo imesababisha vifo vya watu, mifugo, majeruhi, ulemavu, upotevu wa mali na watu kuyakimbia makazi yao. Kutokana na hali hiyo, baadhi ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KWA NINI UNGOJE ANAYEKUPENDA AKUTOLEE CHOZI LA LAANA?

Mapenzi yanachukua nafasi kubwa katika maisha yetu. Mimi na wewe tunahitaji kuwa na wapenzi tena wenye mapenzi ya dhati ili maisha yawe ni yenye furaha na amani. Lakini wakati ukweli ukiwa hivyo, wapo wanaochukulia mapenzi kama kitu rahisi. Hapa namaanisha hivi, mtaani kuna watu wa aina mbili. Kuna ambao wanajua kweli kupenda. Akisema anampenda fulani, anamaanisha na kuna wale ambao wanaweza kusema wamependa kumbe hamna lolote....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Baraka na laana — 3

“KISEBUSEBU na kiroho papo” au “huku wataka na kule wataka”, yote hii ni misemo inayoashiria kutokuwa na msimamo sahihi ama kutokuwa na uhakika wa lile ulitakalo. Pia si mtu makini;...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Baraka na laana — 10

HADAA na roho mbaya, usengenyaji, fitina, ayari, unafiki na uongo; hizi ni tabia zinazoendana sambamba na laana au kujizolea balaa kwa baadhi ya wanadamu wanaojihusisha nazo. Upo msemo usemao: “Mwenyezi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Baraka na laana

WANADAMU wote naamini tunaishi katika kivuli cha Mwenyezi Mungu wa kweli kilichojaa baraka tele zenye imani kamili ya upendo. Baraka maana yake ni mambo mema kwa jumla, heri, neema na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Baraka na laana — 2

ZIMWI likujualo halikuli likakwisha. Pia upo msemo usemao kuuma na kupulizia. Misemo yote hii haina mwisho mzuri. Niseme balaa na laana huandamana navyo na havileti matumaini ya utukufu wa Mwenyezi Mungu....

 

11 years ago

GPL

DIAMOND LAANA HIYOOO!

Stori: Erick Evarist na Gladness Mallya
Oooh! Nooh! Wakati akimpa mama yake, Sanura Kassim ‘Sandra’ gari la Sh. milioni 38 huku akitawanya mamilioni ya fedha kwenye matukio mbalimbali, staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ anadaiwa kunyemelewa na laana kufuatia baba yake, Abdul Jumaa kuugua na kuvimba miguu bila msaada wowote. Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond...

 

11 years ago

Habarileo

‘Watoto mfanano si laana, wasitengwe’

JAMII imeaswa kutambua matatizo yanayowakumba watoto mfanano (mtindio wa ubongo) na kushauriwa kutokuwabagua. Aidha, wametakiwa kuachana na imani za kishirikina, kwamba watoto hao ni laana kutoka kwa Mungu na kuwaua, badala ya kutoa elimu kwa wanaowatenga watoto hao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Faraja ya serikali na laana ya walimu

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda alinukuliwa bungeni Alhamisi iliyopita akisema; “Sasa ni faraja kwa walimu, maana juzi tulikaa katika Baraza la Mawaziri na tumekubali kuanzisha chombo maalumu kitakachoshughulika na nidhamu na...

 

9 years ago

Michuzi

Taarifa kwa Umma kutoka kwa Angellah Kairuki, Naibu Waziri wa Ardhi, nyumba na Maendeleo ya Makazi

Angellah Jasmine Kairuki
Tarehe 14 Septemba 2015 ulisambazwa ujumbe kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii ukidai kuonyesha mawasiliano ya Makada wa Chama cha Mapinduzi nikiwamo mimi (Angellah Kairuki), Nd. January Makamba, Nd.Mwigu Nchemba na Nd.Livingstone Lusinde.  Wakati ujumbe huo umeanza kusambazwa nilikuwa kwenye mikutano ya Kampeni ya Mgombea Mwenza wa CCM Mhe.Samia Suluhu Hassan Wilayani Nachingwea na Liwale hivyo kupelekea kuchelewa kutoa taarifa yangu hii.
Napenda kuufahamisha umma...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani