Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DIAMOND LAANA HIYOOO!

Stori: Erick Evarist na Gladness Mallya
Oooh! Nooh! Wakati akimpa mama yake, Sanura Kassim ‘Sandra’ gari la Sh. milioni 38 huku akitawanya mamilioni ya fedha kwenye matukio mbalimbali, staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ anadaiwa kunyemelewa na laana kufuatia baba yake, Abdul Jumaa kuugua na kuvimba miguu bila msaada wowote. Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

YANGA HIYOOO UTURUKI

Msafara wa watu 33 wakiwemo wachezaji 27 unatarajia kuondoka usiku wa leo kuelekea nchini Uturuki kwa shirika la ndege la Uturki (Turkish Airlines) kuweka kambi ya mafunzo kwa muda wa takribani wiki mbili kujiandaa na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom pamoja na mashindano ya kimataifa. Kikosi cha Young Africans kitafikia katika Hoteli ya kitalii Sueno Beach Side iliyopo km 70 kutoka katika Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa...

 

11 years ago

GPL

DAWA YA UKIMWI HIYOOO

Na Mwandishi Wetu na Mitandao KUMBE inawezekana! Wanasayansi wapatao 30 duniani waliokuna vichwa kutafuta dawa ya kutibu gonjwa hatari la Ukimwi wamesema hatua waliyofikia ni kujipongeza kwa asilimia mia moja.
Wataalam hao walikutana nchini Marekani hivi karibuni na kusema utafiti wao umeweza kutengeneza vidonge vya kudhibiti kasi ya ugonjwa huo kwenye mwili wa mwanadamu. Dk. Kamel Khalili.
Wakiwa chini ya Chama cha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Baraka na laana — 10

HADAA na roho mbaya, usengenyaji, fitina, ayari, unafiki na uongo; hizi ni tabia zinazoendana sambamba na laana au kujizolea balaa kwa baadhi ya wanadamu wanaojihusisha nazo. Upo msemo usemao: “Mwenyezi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Baraka na laana

WANADAMU wote naamini tunaishi katika kivuli cha Mwenyezi Mungu wa kweli kilichojaa baraka tele zenye imani kamili ya upendo. Baraka maana yake ni mambo mema kwa jumla, heri, neema na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Baraka na laana — 3

“KISEBUSEBU na kiroho papo” au “huku wataka na kule wataka”, yote hii ni misemo inayoashiria kutokuwa na msimamo sahihi ama kutokuwa na uhakika wa lile ulitakalo. Pia si mtu makini;...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Baraka na laana — 2

ZIMWI likujualo halikuli likakwisha. Pia upo msemo usemao kuuma na kupulizia. Misemo yote hii haina mwisho mzuri. Niseme balaa na laana huandamana navyo na havileti matumaini ya utukufu wa Mwenyezi Mungu....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Faraja ya serikali na laana ya walimu

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda alinukuliwa bungeni Alhamisi iliyopita akisema; “Sasa ni faraja kwa walimu, maana juzi tulikaa katika Baraza la Mawaziri na tumekubali kuanzisha chombo maalumu kitakachoshughulika na nidhamu na...

 

11 years ago

Habarileo

‘Watoto mfanano si laana, wasitengwe’

JAMII imeaswa kutambua matatizo yanayowakumba watoto mfanano (mtindio wa ubongo) na kushauriwa kutokuwabagua. Aidha, wametakiwa kuachana na imani za kishirikina, kwamba watoto hao ni laana kutoka kwa Mungu na kuwaua, badala ya kutoa elimu kwa wanaowatenga watoto hao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Imani: Wanyama walemavu huleta laana?

Wanyama walemavu wamekuwa wakihusishwa na imani potofu kuwa wanaleta laana kwenye Familia nchini Kenya

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani