Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Faraja ya serikali na laana ya walimu

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda alinukuliwa bungeni Alhamisi iliyopita akisema; “Sasa ni faraja kwa walimu, maana juzi tulikaa katika Baraza la Mawaziri na tumekubali kuanzisha chombo maalumu kitakachoshughulika na nidhamu na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Walimu Kilolo waichokonoa serikali

DHARAU zinazooneshwa na baadhi ya watu dhidi ya walimu nchini zimeelezwa na Chama cha Walimu (CWT) wilaya ya Kilolo kwamba chanzo chake ni maslahi duni wanayopata kutoka katika chanzo chake kikuu, serikali.

 

9 years ago

Mtanzania

Serikali yalipa walimu bil 1.9/-

Asifiwe George na Imani Nathaniel (RCT), Dar es Salaam

CHAMA cha Walimu Tanzania Mkoa wa Dar es Salaam, kimesema Serikali imeanza kulipa deni la madai ya walimu kiasi cha Sh 1,936,572,146.

Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa CWT wa mkoa huo, Amina Kisenge, alisema kwa kipindi cha  kuanzia mwaka 2013 hadi Julai 2015 walikuwa wanaidai Serikali kiasi cha Sh 3,916,432,471.

Alisema kwa sasa deni lililobaki ni Sh  1,979,860,325 ambazo bado walimu wanadai.

Alisema pamoja na...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali itatue matatizo ya walimu

Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa ametoa kauli ambayo bila shaka imewagusa wengi katika jamii.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali inafaidika na migogoro ya walimu?

Chama cha Walimu Tanzania (CWT) kimetangaza mgogoro na Serikali kwa kushindwa kufanyia kazi madai mbalimbali ya walimu yanayofikia Sh61 bilioni, yakiwamo malimbikizo ya mishahara na likizo za walimu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mkoba: Serikali ikutane na walimu

SERIKALI imetakiwa kuacha kuwaonea walimu na baada yake wakukutana na kujadiliana juu ya makato ya shilingi 10000 ya ujenzi wa maabara wanaokatwa walimu wa jiji la Mwanza. Akizungumza na Tanzania...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Walimu Chunya wapinga kaulimbiu ya serikali

WALIMU wilayani Chunya mkoani Mbeya, wamepinga kaulimbiu ya serikali ya Matokeo Makubwa Sasa (Big Results Now – BRN), kwa madai kuwa serikali haiwathamini. Wakizungumza na Tanzania Daima kwa nyakati tofauti...

 

9 years ago

Mwananchi

CWT yaitega Serikali madai ya walimu

Chama cha Walimu Tanzania (CWT), kimeitaka Serikali kutekeleza madai ya ahadi za walimu kama walivyokubaliana na chama hicho.

 

10 years ago

Mwananchi

Sumaye ashauri Serikali kushirikisha walimu

Waziri Mkuu mstaafu Frederick Sumaye ameishauri Serikali kuwashirikisha walimu kwa kujadiliana nao kuhusu matatizo yanayowakabili angalau kutafuta jinsi ya kupunguza makali yake.

 

9 years ago

Michuzi

WALIMU ARUSHA WAIDAI SERIKALI BILIONI 4

Mwenyekiti wa Chama cha Walimu mkoa wa Arusha ,Mwalimu Jovin  Kuyenga akizungumza na waandishi wa habari jana Ofisini kwake  juu ya deni la shilingi bilioni 4 wanalodai  kwa serikali, kushoto ni Katibu wa Chama cha Walimu mkoa wa Arusha, Mwalimu Hassan Saidi.

Na Woinde Shizza,ArushaCHAMA cha Walimu mkoa wa Arusha CWT wamelalamikia serikali na kuitaka kutekeleza kwa wakati madeni yao la zaidi ya billioni 4 kwani yamekuwa kikwazo katika ufanisi wa kazi hali ambayo inapelekea walimu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani