Walimu Kilolo waichokonoa serikali
DHARAU zinazooneshwa na baadhi ya watu dhidi ya walimu nchini zimeelezwa na Chama cha Walimu (CWT) wilaya ya Kilolo kwamba chanzo chake ni maslahi duni wanayopata kutoka katika chanzo chake kikuu, serikali.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
TATIZO LA MAJI KILOLO NA ISMANI LAISUMBUA SERIKALI WADAI KUTOKUTHAMINIWA NA VIONGOZI

Wakizungumza kwa huzuni mbele ya mkuu wa mkoa wa Iringa aliyefanya ziara ya kugagua miradi ya maji Katika wilaya hizo Mh Amina Masenza wananchi hao walisema kumekuwa na ubabaishaji wa kisiasa juu ya namna ya kupelekewa maji jambo ambalo linawafanya...
11 years ago
Tanzania Daima22 Jun
Faraja ya serikali na laana ya walimu
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda alinukuliwa bungeni Alhamisi iliyopita akisema; “Sasa ni faraja kwa walimu, maana juzi tulikaa katika Baraza la Mawaziri na tumekubali kuanzisha chombo maalumu kitakachoshughulika na nidhamu na...
11 years ago
Mwananchi05 Mar
Serikali inafaidika na migogoro ya walimu?
11 years ago
Tanzania Daima14 Oct
Mkoba: Serikali ikutane na walimu
SERIKALI imetakiwa kuacha kuwaonea walimu na baada yake wakukutana na kujadiliana juu ya makato ya shilingi 10000 ya ujenzi wa maabara wanaokatwa walimu wa jiji la Mwanza. Akizungumza na Tanzania...
11 years ago
Mwananchi10 Jan
Serikali itatue matatizo ya walimu
9 years ago
Mtanzania14 Nov
Serikali yalipa walimu bil 1.9/-
Asifiwe George na Imani Nathaniel (RCT), Dar es Salaam
CHAMA cha Walimu Tanzania Mkoa wa Dar es Salaam, kimesema Serikali imeanza kulipa deni la madai ya walimu kiasi cha Sh 1,936,572,146.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa CWT wa mkoa huo, Amina Kisenge, alisema kwa kipindi cha kuanzia mwaka 2013 hadi Julai 2015 walikuwa wanaidai Serikali kiasi cha Sh 3,916,432,471.
Alisema kwa sasa deni lililobaki ni Sh 1,979,860,325 ambazo bado walimu wanadai.
Alisema pamoja na...
11 years ago
Mwananchi08 Feb
Walimu nchini waishika ‘pabaya’ Serikali
11 years ago
Tanzania Daima01 Aug
Walimu Chunya wapinga kaulimbiu ya serikali
WALIMU wilayani Chunya mkoani Mbeya, wamepinga kaulimbiu ya serikali ya Matokeo Makubwa Sasa (Big Results Now – BRN), kwa madai kuwa serikali haiwathamini. Wakizungumza na Tanzania Daima kwa nyakati tofauti...