Serikali itatue matatizo ya walimu
Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa ametoa kauli ambayo bila shaka imewagusa wengi katika jamii.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima19 Apr
CWT: Serikali itatue kero za walimu
CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT) Manispaa ya Morogoro kimeitaka serikali kuepusha migogoro kati yake na walimu. Rai hiyo imetolewa na Katibu wa CWT, Maswi Munada alipomkaribisha Mkurugenzi wa Manispaa, Jorvis...
10 years ago
Tanzania Daima07 Nov
Pareso: Serikali itatue tatizo la vifaa tiba Muhimbili
MBUNGE wa Viti Maalum, Cecilia Pareso (CHADEMA) ameitaka serikali ieleze ina mikakati gani ya kutatua matatizo ya ukosefu wa vifaa tiba, madawa pamoja na vifungashio ambavyo vinaikabili Hospitali ya Rufaa...
9 years ago
Vijimambo18 Sep
Unadhani nini kifanyike kutatua matatizo ya walimu Tanzania?
![](https://scontent-ord1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtp1/v/t1.0-0/s480x480/12002966_1319356138078801_1346754164539164416_n.png?oh=af41aca4be4e1f4f0d97d87efac59e66&oe=569D29B3)
Mbunge sharobaro kutoka Kenya Mike Mbuvi Sonko na Mwenzake Moses Wetang'ula, wamesema wako tayari wakatwe mishahara yao ili serikali iweze kulipa mishahara ya walimu wanayodai.
Unadhani nini kifanyike kutatua matatizo ya walimu Tanzania?
10 years ago
Tanzania Daima14 Nov
Serikali kumaliza matatizo ya watumishi
SERIKALI imesema inayo dhamira ya dhati ya kumaliza kero ya madai na malimbikizo kwa watumishi wa umma. Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais,Mejimenti ya Utumishi wa Umma Celina Kombani, amesema mpaka...
11 years ago
Habarileo28 Mar
Serikali kutatua matatizo ya marubani
SERIKALI imesema imejipanga kuhakikisha inatatua matatizo yanayowakabili marubani wa kitanzania ikiwa ni pamoja na upendeleo wa ajira kwa marubani wa kigeni na uwazi katika mitihani ya marubani.
10 years ago
Mwananchi18 Nov
Serikali ichukue hatua matatizo ya ardhi
11 years ago
Tanzania Daima29 Jan
Twataka serikali itakayoondoa matatizo ya wananchi
ILI nieleweke, nitaanza makala yangu kwa mfano wa timu ya kandanda na benchi la ufundi likiongozwa na mwalimu ambaye pia huitwa kocha. Kazi ya kocha na benchi lake la ufundi...
10 years ago
Habarileo18 Aug
Serikali itaondoa matatizo miradi ya NSSF - Pinda
SERIKALI i imesema itajipanga kuona namna ya kukabili changamoto zinazokwamisha miradi mikubwa, inayoendeshwa na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa lengo la kubadilisha sura ya Jiji la Dar es Salaam.
9 years ago
Habarileo09 Sep
Samia: Ichagueni CCM itatue kero ya maji
MGOMBEA Mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, amewaahidi wakazi wa wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma, kuwa endapo wataichagua CCM, itahakikisha inatatua changamoto zinazowakabili ikiwemo maji na umeme.