CWT: Serikali itatue kero za walimu
CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT) Manispaa ya Morogoro kimeitaka serikali kuepusha migogoro kati yake na walimu. Rai hiyo imetolewa na Katibu wa CWT, Maswi Munada alipomkaribisha Mkurugenzi wa Manispaa, Jorvis...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi10 Jan
Serikali itatue matatizo ya walimu
9 years ago
Mwananchi20 Aug
CWT yaitega Serikali madai ya walimu
10 years ago
Habarileo05 Apr
CWT yaitaka serikali ilipe madeni ya walimu
CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT) kimeitaka Serikali kutekeleza ahadi ya kulipa madeni ya fedha za walimu ambayo yamewasilishwa serikalini ili kuepusha kutokea msuguano katika kipindi cha kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba mwaka huu.
9 years ago
Habarileo09 Sep
Samia: Ichagueni CCM itatue kero ya maji
MGOMBEA Mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, amewaahidi wakazi wa wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma, kuwa endapo wataichagua CCM, itahakikisha inatatua changamoto zinazowakabili ikiwemo maji na umeme.
9 years ago
Dewji Blog11 Nov
Chama cha Walimu (CWT), Mkoa wa Dar es Salaam kinaidai Serikali Tsh.Bilioni 1.1
11 years ago
Habarileo10 Dec
Walimu wanaoipinga CWT kuandamana
KAMATI ya Kitaifa ya wanachama wa chama cha walimu ya kudai mabadiliko ndani ya Chama cha Walimu Tanzania (CWT), ina mpango wa kuandamana na kutoa tamko zito, kuhusiana na mwenendo uliopo kwa viongozi wa CWT.
11 years ago
Habarileo20 Jan
Walimu Nzega wajitoa CWT
WALIMU wa shule za msingi na sekondari wilayani Nzega mkoani Tabora wamesema wamejitoa katika Chama cha Walimu Tanzania (CWT), kwa kuwa hakina faida kwao.
10 years ago
Tanzania Daima19 Sep
CWT yawazawadia walimu wastaafu
CHAMA cha Walimu (CWT) manispaa ya Morogoro kimeanzisha utaratibu mpya wa kuwazawadia walimu wake wastaafu samani mbalimbali kama shukrani ya utendaji wao wa kazi kwa miaka waliotumikia. Akikabidhi zawadi ya...
10 years ago
Tanzania Daima07 Nov
Pareso: Serikali itatue tatizo la vifaa tiba Muhimbili
MBUNGE wa Viti Maalum, Cecilia Pareso (CHADEMA) ameitaka serikali ieleze ina mikakati gani ya kutatua matatizo ya ukosefu wa vifaa tiba, madawa pamoja na vifungashio ambavyo vinaikabili Hospitali ya Rufaa...