Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baraka na laana — 10

HADAA na roho mbaya, usengenyaji, fitina, ayari, unafiki na uongo; hizi ni tabia zinazoendana sambamba na laana au kujizolea balaa kwa baadhi ya wanadamu wanaojihusisha nazo. Upo msemo usemao: “Mwenyezi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Baraka na laana

WANADAMU wote naamini tunaishi katika kivuli cha Mwenyezi Mungu wa kweli kilichojaa baraka tele zenye imani kamili ya upendo. Baraka maana yake ni mambo mema kwa jumla, heri, neema na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Baraka na laana — 2

ZIMWI likujualo halikuli likakwisha. Pia upo msemo usemao kuuma na kupulizia. Misemo yote hii haina mwisho mzuri. Niseme balaa na laana huandamana navyo na havileti matumaini ya utukufu wa Mwenyezi Mungu....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Baraka na laana — 3

“KISEBUSEBU na kiroho papo” au “huku wataka na kule wataka”, yote hii ni misemo inayoashiria kutokuwa na msimamo sahihi ama kutokuwa na uhakika wa lile ulitakalo. Pia si mtu makini;...

 

10 years ago

Michuzi

Update ya msiba wa MAREHEMU REHEMA RAMADHANI BARAKA, mdogo wake mwenyekiti wa ASET BARAKA MSIILWA


Ifuatayo ni update ya msiba wa mdogo wake Mwenyekiti wa African Stars Entertainment (ASET) Baraka Msiilwa, Marehemu Furaha Ramadhani Baraka, kilichotokea wikiendi iliyopita huko Ubelgiji.

Taarifa ni kwamba mwili wa Marehemu mdogo wetu Furaha unaondoka Brussels kesho  usiku kwenda Zurich. Utalala Zuruch na kusafirishwa Jumatano Asubuhi kwa ndege ya shirika la Swiss Air, na unatarajiwa kuwasili Dar es salaam siku  hiyo hiyo ya Jumatano mnamo saa mbili usiku
Mazishi yamepangwa kufanyika siku ya...

 

11 years ago

GPL

DIAMOND LAANA HIYOOO!

Stori: Erick Evarist na Gladness Mallya
Oooh! Nooh! Wakati akimpa mama yake, Sanura Kassim ‘Sandra’ gari la Sh. milioni 38 huku akitawanya mamilioni ya fedha kwenye matukio mbalimbali, staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ anadaiwa kunyemelewa na laana kufuatia baba yake, Abdul Jumaa kuugua na kuvimba miguu bila msaada wowote. Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Faraja ya serikali na laana ya walimu

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda alinukuliwa bungeni Alhamisi iliyopita akisema; “Sasa ni faraja kwa walimu, maana juzi tulikaa katika Baraza la Mawaziri na tumekubali kuanzisha chombo maalumu kitakachoshughulika na nidhamu na...

 

11 years ago

Habarileo

‘Watoto mfanano si laana, wasitengwe’

JAMII imeaswa kutambua matatizo yanayowakumba watoto mfanano (mtindio wa ubongo) na kushauriwa kutokuwabagua. Aidha, wametakiwa kuachana na imani za kishirikina, kwamba watoto hao ni laana kutoka kwa Mungu na kuwaua, badala ya kutoa elimu kwa wanaowatenga watoto hao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ardhi igeuke laana kwa wanaoimiliki

SEKTA ya ardhi nchini imekuwa ikukumbwa migogoro mingi ambayo imesababisha vifo vya watu, mifugo, majeruhi, ulemavu, upotevu wa mali na watu kuyakimbia makazi yao. Kutokana na hali hiyo, baadhi ya...

 

11 years ago

GPL

MZEE SMALL AZIKWA, AACHA LAANA

Ustadhi akimuombea marehemu dua ya mwisho baada ya kuuhifadhi mwili wake kaburini. Stori: MWANDISHI WETU
HATIMAYE aliyekuwa nguli wa sanaa za maigizo Bongo, Said Ngamba ‘Mzee Small’ amezikwa jana katika Makaburi ya Tabata-Segerea jijini Dar es Salaam huku akiacha laana kwa tasnia ya maigizo.
Mzee Small alifariki dunia usiku wa kuamkia Jumapili kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili  (MNH) ambako alilazwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani