Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Imani: Wanyama walemavu huleta laana?

Wanyama walemavu wamekuwa wakihusishwa na imani potofu kuwa wanaleta laana kwenye Familia nchini Kenya

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WATOTO WALEMAVU MAHENGE WANUFAIKA NA MSAADA WA BAISKELI ZA WALEMAVU

MOROGORO,
Kampuni ya Kibaran Resources inayojihusisha na utafiti wa uchimbaji wa madini ya Uno kwenye Kijiji cha Epanko, imetoa msaada wa baiskeli 30 za walemavu kwa watoto wenye ulemavu katika kata ya Mahenge Wilaya ya Ulanga mkoani Morogoro. Baiskeli hizo zimeundwa maalumu kwa watoto wanaoishi vijijini. Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kukabidhi baiskeli hizo, Grant Pierce, ambaye ni mkurugenzi wa Kampuni ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wivu huleta migogoro kazini

WAKATI unapokuwa na mafanikio katika kampuni au eneo la kazi, unaweza kujikuta una marafiki wengi, pamoja na maadui wachache. Hawa maadui mara nyingi wamekuwa wakijaribu kukuangusha au kukufanya ushindwe katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uaminifu, nidhamu huleta mafanikio

KATIKA maisha hakuna njia ya mkato ya mafanikio. Uwezekano wa kufanikiwa upo, thawabu ipo lakini mpaka uwe na uhitaji huo. Ili ufanikiwe, yakupasa ufanye kazi kwa bidii, kwani ni muhimu...

 

10 years ago

Michuzi

KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALEMAVU KITAIFA IRINGA , SERIKALI YA TANZANIA YAPIGA MARUFUKU UJENZI WA MAJENGO YASIYO RAFIKI NA WALEMAVU

 Waziri  Lukuvi  akimkabidhi  mwanafunzi  wa shule ya Msingi Kipera Rahel Mwikonzi cheti  cha ushiriki mzuri wa siku ya  walemavumwenyekiti wa baraza la watu wenye ulemavu Prof Edward BagandashwaKamishina  wa ustawi  wa jamii Bw Dunford Makala akitoa salam zakeWalemavu  nchini  wakiwa katika maandamano  leo  wakati wa kilele  cha siku ya  walemavu duniani kwa Tanzania maadhimisho hayo yamefanyika  mkoa  wa Iringa,kushoto ni mkalimani  wa  kujitolea  ambae ni Mtangazaji wa radio  Nuru Fm Bw ...

 

10 years ago

Mwananchi

Meneno machache huleta usahihi wa Kiswahili

Ni muhimu kwa mwandishi kutumia maneno machache yanayoeleweka kuliko kuiremba lugha yake kwa maneno mengi yasiyokuwa ya lazima. Kwa mfano mtu akisema ‘kutojiandaa katika mpango huo’ ni sawa na kusema ‘kutojiandaa’ au ‘Waapa kumwadhibu mbunge wao’ ni sawa na kusema, ‘Wamtishia mbunge wao’. Sasa angalia sentensi zifuatazo:

 

9 years ago

Michuzi

MICHEZO HULETA AMANI, UPENDO NA KUHESHIMIANA -TANZANIA

Na Mwandishi Maalum, New York  Imeelezwa kwamba michezo ya aina yoyote ile kuanzia mpira wa miguu hadi mchezo wa bao, ikutumiwa vema na kwa uzito unaostahili ni moja ya eneo ambalo linaweza kuchangia katika siyo tu kuchochea kasi ya maendeleo bali hata katika kudumisha Amani, upendo na mshikamano miongoni mwa na baina ya mataifa. Ni kwa sababu hiyo jana ( Jumatatu) Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, limepitisha kwa mara nyingine Azimio ambalo pamoja na mambo mengine...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Baraka na laana

WANADAMU wote naamini tunaishi katika kivuli cha Mwenyezi Mungu wa kweli kilichojaa baraka tele zenye imani kamili ya upendo. Baraka maana yake ni mambo mema kwa jumla, heri, neema na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Baraka na laana — 3

“KISEBUSEBU na kiroho papo” au “huku wataka na kule wataka”, yote hii ni misemo inayoashiria kutokuwa na msimamo sahihi ama kutokuwa na uhakika wa lile ulitakalo. Pia si mtu makini;...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani