Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Meneno machache huleta usahihi wa Kiswahili

Ni muhimu kwa mwandishi kutumia maneno machache yanayoeleweka kuliko kuiremba lugha yake kwa maneno mengi yasiyokuwa ya lazima. Kwa mfano mtu akisema ‘kutojiandaa katika mpango huo’ ni sawa na kusema ‘kutojiandaa’ au ‘Waapa kumwadhibu mbunge wao’ ni sawa na kusema, ‘Wamtishia mbunge wao’. Sasa angalia sentensi zifuatazo:

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Usahihi wa fedha akaunti ya Escrow

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Profesa Mussa Juma AssadWAKATI kukiwa na taarifa zinazochapishwa na vyombo vya habari kuwa akaunti ya Escrow iliyofunguliwa Benki Kuu (BoT), kwa mujibu wa makubaliano yaliyofanyika Julai 5, 2006, zilikuwa Sh bilioni 306.6, kabla ya kutolewa kwa fedha hizo mwaka 2013, taarifa ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), imethibitisha sio kweli.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uaminifu, nidhamu huleta mafanikio

KATIKA maisha hakuna njia ya mkato ya mafanikio. Uwezekano wa kufanikiwa upo, thawabu ipo lakini mpaka uwe na uhitaji huo. Ili ufanikiwe, yakupasa ufanye kazi kwa bidii, kwani ni muhimu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wivu huleta migogoro kazini

WAKATI unapokuwa na mafanikio katika kampuni au eneo la kazi, unaweza kujikuta una marafiki wengi, pamoja na maadui wachache. Hawa maadui mara nyingi wamekuwa wakijaribu kukuangusha au kukufanya ushindwe katika...

 

10 years ago

BBCSwahili

Imani: Wanyama walemavu huleta laana?

Wanyama walemavu wamekuwa wakihusishwa na imani potofu kuwa wanaleta laana kwenye Familia nchini Kenya

 

9 years ago

Michuzi

MICHEZO HULETA AMANI, UPENDO NA KUHESHIMIANA -TANZANIA

Na Mwandishi Maalum, New York  Imeelezwa kwamba michezo ya aina yoyote ile kuanzia mpira wa miguu hadi mchezo wa bao, ikutumiwa vema na kwa uzito unaostahili ni moja ya eneo ambalo linaweza kuchangia katika siyo tu kuchochea kasi ya maendeleo bali hata katika kudumisha Amani, upendo na mshikamano miongoni mwa na baina ya mataifa. Ni kwa sababu hiyo jana ( Jumatatu) Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, limepitisha kwa mara nyingine Azimio ambalo pamoja na mambo mengine...

 

9 years ago

Habarileo

Mkwasa alia mabao machache

KOCHA wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Charles Boniface Mkwasa anasema pamoja na kupata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Malawi, lakini lengo lao halikutimia kwani walitaka kushinda mabao mengi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mkutano wa Syria wazaa matunda, machache

Siku ya pili ya mazungumzo mjini Geneva, imekubaliwa kuwa baadhi ya wakaazi wa Homs waruhusiwe kutoka

 

5 years ago

Michuzi

WAKALA WA VIPIMO TUPO SEHEMU ZOTE, KUHAKIKISHA VIPIMO VINATUMIKA KWA USAHIHI-STELLA

 Na Bakari Madjeshi, Michuzi TVKATIKA kuadhimisha Siku ya Vipimo Duniani, Mkurugenzi wa Wakala wa Vipimo nchini (WMA), Stella Kahwa amesema kuwa Wakala huo upo sehemu zote hapa nchini kuhakikisha Vipimo katika Malighafi na bidhaa mbalimbali vinatumika na kuzingatiwa kwa usahihi.
Stella ameyasema hayo leo, May 20, 2020 jijini Dar es Salaam katika Maadhimisho hayo yenye Kaulimbiu ya Vipimo katika Biashara ya Kimataifa. “Tanzania ni nchi ambayo inafanya Biashara kubwa nchi mbalimbali, vipimo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani