Adhabu kwa vigogo CCM
Vigogo sita ambao ni makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wanaanza kuhojiwa leo, huku wakikabiliwa na adhabu kadhaa ikiwamo ya kufungiwa kugombea nafasi mbalimbali za uongozi ikiwa watapatikana na hatia ya makosa yanayowakabili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-05ifBrNUTlQ/VEpc3x-b-AI/AAAAAAAGtK4/PZ89O9_XfSU/s72-c/PIX5...jpg)
CHIKAWE AIBOMOA NGOME YA CHADEMA NACHINGWEA,VIGOGO, WANACHAMA WAO WARUDI KWA KISHINDO CCM
![](http://1.bp.blogspot.com/-05ifBrNUTlQ/VEpc3x-b-AI/AAAAAAAGtK4/PZ89O9_XfSU/s1600/PIX5...jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-qLW6RoyL_Ls/VPIy1y8OJZI/AAAAAAAAXQs/Xpzf3V_2o30/s72-c/3.jpg)
CCM YAWASIMAMISHA VIGOGO
![](http://3.bp.blogspot.com/-qLW6RoyL_Ls/VPIy1y8OJZI/AAAAAAAAXQs/Xpzf3V_2o30/s1600/3.jpg)
9 years ago
StarTV30 Dec
Serikali kuongeza adhabu kwa wanaovunja sheria kwa kuzidisha mizigo
Serikali inatarajia kuongeza adhabu ya makosa ya uzidishaji mizigo inayosafirishwa kwenye magari kwa njia barabara kuwa kubwa kuliko thamani ya mizigo inayosafirishwa ili kukomesha vitendo vya ukiukaji wa sheria za usafirishaji ambao unasababisha uharibifu wa barabara nchini.
Naibu waziri wa ujenzi, uchukuzi na mawasiliano amesema kabla ya kufanya maamuzi hayo, watakaa na wadau wa barabara kuwashirikisha uamuzi huo ili kuzifanya barababra nchini kuwa salama.
Naibu waziri wa ujenzi, uchukuzi...
9 years ago
Mtanzania19 Aug
Vigogo 32 CCM kumkabili Lowassa
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeteua vigogo 32 kuunda kamati ya kampeni za mgombea urais wa chama hicho, Dk. John Magufuli katika kuhakikisha kinashinda Uchaguzi Mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu.
Hatua ya kuteuliwa kwa kamati hiyo ambayo itakuwa chini ya uenyekiti wa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, inaelezwa kuwa ni njia ya kukabiliana na nguvu za mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupitia mwamvuli wa Umoja wa...
11 years ago
BBCSwahili05 Jun
Adhabu kwa mke kwa kumtelekeza mume
10 years ago
Mwananchi12 Aug
CCM yatengua matokeo majimbo ya vigogo
10 years ago
Habarileo09 Aug
Vigogo CCM waanguka makundi maalumu
VIGOGO wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wakiwemo wabunge wanaomaliza muda wao, wameanguka vibaya huku sura mpya zikiibuka katika kura ya maoni ya ndani ya chama hicho, kupata wabunge wa Viti Maalumu kutoka makundi maalumu uliofanyika juzi.
10 years ago
Habarileo20 Jul
Vigogo wa urais CCM wageukia ubunge
WIKI moja baada ya CCM kumteua Waziri wa Ujenzi, Dk John Pombe Magufuli kuwa mgombea wake wa urais katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu, idadi kubwa ya washindani wake wamegeukia siasa za majimbo.
10 years ago
Habarileo03 Aug
Vigogo serikalini, CCM Z’bar taabani
‘VIGOGO’ katika Serikali ya Muungano, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na watendaji wa CCM ni baadhi ya viongozi walioshindwa katika mchakato wa kura za maoni ndani ya chama hicho tawala.