Vigogo wa urais CCM wageukia ubunge
WIKI moja baada ya CCM kumteua Waziri wa Ujenzi, Dk John Pombe Magufuli kuwa mgombea wake wa urais katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu, idadi kubwa ya washindani wake wamegeukia siasa za majimbo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi17 Jul
Makongoro, Muhongo wageukia ubunge
10 years ago
Habarileo18 Jul
Ubunge CCM kama urais
WANACHAMA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wanaowania kibali cha chama hicho ili wagombee ubunge, wamejitokeza kwa wingi katika baadhi ya majimbo na kufanya mchakato huo kuwa na mvuto wa aina yake, unaofanana na ule wa urais.
11 years ago
Mwananchi20 Dec
CCM sasa wageukia makatibu wakuu
9 years ago
Habarileo29 Oct
Ukawa waishangaza CCM kushangilia ubunge, kukataa matokeo ya urais
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kinashangazwa na malalamiko ya viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kwamba hawakubali matokeo ya urais yanayotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), lakini huku wakishangilia ushindi katika majimbo waliyoshinda ambayo uchaguzi pia ulisimamiwa na NEC.
10 years ago
Vijimambo08 Apr
Urais, ubunge kiza kinene CCM., Wagombea waendelea kuumiza vichwa.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Nape-8April2015.jpg)
Wakati wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wakiendelea kupiga `jalamba' kujiandaa kuchukua fomu za kuwania urais, ubunge na udiwani katika uchaguzi mkuu mwaka huu, chama hicho bado kimeweka usiri wa lini kitatoa ratiba rasmi ili kuwawezesha watu wanaotaka kuwania nafasi hizo kuanza kuchukua fomu.
Tofauti na miaka yote, chama hicho kikongwe kimekuwa kikitangaza ratiba mapema kuwawezesha wanachama wake kufahamu utaratibu wa...
9 years ago
MichuziMgombea Urais wa Zanzibar kwa Tiketi ya CCM Dk Shein, awatambulisha Wagombea Ubunge na Uwakilishi wa Wilaya ya Amani Unguja Kichama
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-6mH3tTDcF3Y/Vd08G9MIKiI/AAAAAAAAUQY/ItWtep7XvLs/s72-c/IMG_0264%2B%25281280x853%2529.jpg)
MGOMBEA MWENZA WA URAIS KUPITIA CHAMA CHA MAPINDUZI(CCM) SAMIA SULUHU HASSAN AWANADI WAGOMBEA UBUNGE WA MAJIMBO YA MKOA WA KILIMANJARO
![](http://4.bp.blogspot.com/-6mH3tTDcF3Y/Vd08G9MIKiI/AAAAAAAAUQY/ItWtep7XvLs/s640/IMG_0264%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZANCVhmVC3g/Vd08jFlShcI/AAAAAAAAUQw/O9ult_vnwhY/s640/IMG_0267%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jKt778Kp6wM/Vd07-tsSRPI/AAAAAAAAUQE/xg2nwFPPqeA/s640/IMG_0244%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FdXwG-pIDAQ/Vd08uL9osuI/AAAAAAAAURg/ghCMslEWA-4/s640/IMG_0305%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qs_riFON9JI/Vd08vReXbGI/AAAAAAAAURs/Q1Jj65Hy8l4/s640/IMG_0306%2B%25281280x853%2529.jpg)
10 years ago
Mtanzania18 May
Vigogo CUF waanguka ubunge
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
MATOKEO ya awali ya kura za maoni kwa wanachama wa Chama cha Wananchi (CUF) wanaowania Ubunge na Uwakilishi yameanza kutoka huku majina mapya yakichomoza kwa kupata ushindi dhidi ya wabunge wanaotetea nafasi zao.
Kwa mujibu wa matokeo ya awali yaliyopatikana mjini Unguja jana, Mbunge wa Gando, Khalifa Suleiman Khalifa (CUF), amebwagwa katika kura za maoni kwa kupata kura 81 dhidi ya Othman Omar Haji ambaye alipata kura 95 na Suleiman Salim Shukuru akiambulia kura...
10 years ago
Raia Mwema29 Jul
Vigogo waelemewa vita ya ubunge Arusha, Manyara
WAKATI kampeni za kuwania nafasi ya ubunge katika majimbo mbalimbali nchini kupitia Chama Cha Map
Paul Sarwatt