Vigogo CUF waanguka ubunge
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
MATOKEO ya awali ya kura za maoni kwa wanachama wa Chama cha Wananchi (CUF) wanaowania Ubunge na Uwakilishi yameanza kutoka huku majina mapya yakichomoza kwa kupata ushindi dhidi ya wabunge wanaotetea nafasi zao.
Kwa mujibu wa matokeo ya awali yaliyopatikana mjini Unguja jana, Mbunge wa Gando, Khalifa Suleiman Khalifa (CUF), amebwagwa katika kura za maoni kwa kupata kura 81 dhidi ya Othman Omar Haji ambaye alipata kura 95 na Suleiman Salim Shukuru akiambulia kura...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania22 May
Kimbunga cha ubunge chawakumba vigogo CUF
Adam Mkwepu na Michael Sarungi Dar es Salaam
WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) wa wilaya za Kinondoni, Temeke na Ilala wamefanya uchaguzi wa kura za maoni na kuwapata wawakilishi wao katika uchaguzi ujao katika nafasi za ubunge wa majimbo na viti maalumu Mkoa wa Dar es Salaam.
Mmikutano hiyo ya kura za maoni imeacha vilio kwa vigogo wa chama hicho, akiwamo Naibu Mkurugenzi wa Habari na Uenezi, Abdul Kambaya aliyejikuta akibwagwa na Naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Vijana wa...
10 years ago
Vijimambo03 Aug
Vigogo waanguka
![](https://upload.wikimedia.org/wikipedia/en/7/76/Ccmtanzania.png)
Baadhi ya majimbo ya Mkoa wa Dar es Salaam, yamekuwa na upinzani mkali, ambapo aliyekuwa Mbunge wa Segerea, Dk. Makongoro Mahanga na Jimbo la Ukonga na aliyekuwa Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Slaa, wameanguka vibaya.
Katika matokeo hayo Jimbo la UKONGA: Anayeongoza ni Ramesh Patel...
10 years ago
Habarileo09 Aug
Vigogo CCM waanguka makundi maalumu
VIGOGO wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wakiwemo wabunge wanaomaliza muda wao, wameanguka vibaya huku sura mpya zikiibuka katika kura ya maoni ya ndani ya chama hicho, kupata wabunge wa Viti Maalumu kutoka makundi maalumu uliofanyika juzi.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-4A0Y8sFnLoI/VbX9JWDCy_I/AAAAAAABS04/F0iDY0TCrkM/s72-c/pr-559x520.jpg)
KYSHER, PROF JAY WAPETA KWENYE KURA ZA MAONI UBUNGE, WEMA SEPETU, WASTARA WAANGUKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-4A0Y8sFnLoI/VbX9JWDCy_I/AAAAAAABS04/F0iDY0TCrkM/s400/pr-559x520.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AL-n5SYWKfk/XtyBrBqsscI/AAAAAAALs3s/HBO-Lpfffe8L2Vei490BUtbFyosygFbsACLcBGAsYHQ/s72-c/92a9364d-a999-4636-8398-0a1c62b8edb3%25281%2529.jpg)
CCM YAVUNA VIGOGO CUF NA ACT WAZALENDO
![](https://1.bp.blogspot.com/-AL-n5SYWKfk/XtyBrBqsscI/AAAAAAALs3s/HBO-Lpfffe8L2Vei490BUtbFyosygFbsACLcBGAsYHQ/s640/92a9364d-a999-4636-8398-0a1c62b8edb3%25281%2529.jpg)
"Nikiwa na...
10 years ago
Habarileo20 Jul
Vigogo wa urais CCM wageukia ubunge
WIKI moja baada ya CCM kumteua Waziri wa Ujenzi, Dk John Pombe Magufuli kuwa mgombea wake wa urais katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu, idadi kubwa ya washindani wake wamegeukia siasa za majimbo.
10 years ago
Raia Mwema29 Jul
Vigogo waelemewa vita ya ubunge Arusha, Manyara
WAKATI kampeni za kuwania nafasi ya ubunge katika majimbo mbalimbali nchini kupitia Chama Cha Map
Paul Sarwatt
10 years ago
Habarileo11 Mar
CUF yafunga pazia la ubunge
CHAMA cha Wananchi (CUF) jana kilihitimisha zoezi la uchukuaji fomu za kuwania ubunge na udiwani.
11 years ago
Tanzania Daima11 Feb
CUF haitasimamisha mgombea ubunge Kalenga
INAWEZEKANA mnyukano wa kuwania ubunge katika Jimbo la Kalenga ukabaki kwa vyama hasimu ambavyo ni Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Chama Cha Mapinduzi (CCM), baada ya Chama cha...