Vigogo serikalini, CCM Z’bar taabani
‘VIGOGO’ katika Serikali ya Muungano, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na watendaji wa CCM ni baadhi ya viongozi walioshindwa katika mchakato wa kura za maoni ndani ya chama hicho tawala.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi21 May
Nundu: Vigogo serikalini walipewa nyumba na wageni
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Kashfa ya Tegeta Escrow: Vigogo wawili Serikalini kizimbani
9 years ago
Mtanzania12 Nov
Vigogo watwishwa zigo Z’bar
*Wamo Dk. Salmin Amour, Mwinyi, Amani Karume
*Zitto amtaka Magufuli atangaze hali ya hatari
*Jumuiya ya Madola yaingilia kati
Na Waandishi Wetu, Zanzibar/Dar
JUHUDI za kusaka suluhu kwa ajili ya kutatua mgogoro wa kisiasa wa Zanzibar zinaendelea, baada ya vigogo kadhaa wa kitaifa na kimataifa kuongezwa katika timu ya mazungumzo.
Taarifa kutoka visiwani huko zinasema, katika kufanikisha mchakato huo imeundwa kamati maalumu inayowashirikisha marais wote wastaafu wa Zanzibar kwa lengo la...
10 years ago
Habarileo10 May
Nyalandu: Vigogo serikalini wako bega kwa bega na majangili
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amedai kuwa majangili wote wanaotiwa mbaroni na vikosi vya Askari wa Wanyamapori, wanadaiwa wanatumwa na watu waliopo kwenye ofisi za serikali na wengine nje ya nchi.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/pmfRDHCmruk/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-qLW6RoyL_Ls/VPIy1y8OJZI/AAAAAAAAXQs/Xpzf3V_2o30/s72-c/3.jpg)
CCM YAWASIMAMISHA VIGOGO
![](http://3.bp.blogspot.com/-qLW6RoyL_Ls/VPIy1y8OJZI/AAAAAAAAXQs/Xpzf3V_2o30/s1600/3.jpg)
11 years ago
Mwananchi13 Feb
Adhabu kwa vigogo CCM
9 years ago
Mtanzania19 Aug
Vigogo 32 CCM kumkabili Lowassa
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeteua vigogo 32 kuunda kamati ya kampeni za mgombea urais wa chama hicho, Dk. John Magufuli katika kuhakikisha kinashinda Uchaguzi Mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu.
Hatua ya kuteuliwa kwa kamati hiyo ambayo itakuwa chini ya uenyekiti wa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, inaelezwa kuwa ni njia ya kukabiliana na nguvu za mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupitia mwamvuli wa Umoja wa...
11 years ago
Habarileo10 Jan
Dk Mwakyembe, vigogo CCM kunguruma Jan.14
WAKATI macho na masikio ya wakazi wa Mkoa wa Iringa yakielekezwa katika kata tatu zitakazofanya uchaguzi mdogo wa udiwani Februari 9, mwaka huu, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitafanya mkutano mjini Iringa Januari 14, mwaka huu. Mkutano huo umetajwa kulenga kujibu mapigo ya mkutano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) uliohutubiwa na Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa hivi karibuni.