Dk Mwakyembe, vigogo CCM kunguruma Jan.14
WAKATI macho na masikio ya wakazi wa Mkoa wa Iringa yakielekezwa katika kata tatu zitakazofanya uchaguzi mdogo wa udiwani Februari 9, mwaka huu, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitafanya mkutano mjini Iringa Januari 14, mwaka huu. Mkutano huo umetajwa kulenga kujibu mapigo ya mkutano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) uliohutubiwa na Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa hivi karibuni.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-73IBBopu02c/U7QmjITEcFI/AAAAAAAABTQ/uMREJT7RrDI/s72-c/Mwakyembe.jpg)
Mwakyembe awang’oa vigogo 13 kwa rushwa
NA MOHAMMED ISSA
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe, amewatimua vigogo 13 kutoka wizara mbalimbali katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), kwa kujihusisha na vitendo vya rushwa.
Vigogo hao kutoka Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi na Afya na Ustawi wa Jamii, wamerejeshwa kwenye wizara zao kwa hatua zaidi za kinidhamu na kisheria.
![](http://3.bp.blogspot.com/-73IBBopu02c/U7QmjITEcFI/AAAAAAAABTQ/uMREJT7RrDI/s1600/Mwakyembe.jpg)
Pia ametoa onyo kali kwa watumishi wengine uwanjani hapo wenye tabia za kujihusisha na rushwa kuwa,...
10 years ago
Habarileo01 Jan
Mwakyembe afukuza kazi vigogo 6 wa Reli
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe ameagiza wafanyakazi sita wa Shirika la Reli Tanzania (TRL), wafukuzwe kazi na polisi wawakamate na kuwalaza rumande kuanzia jana kutokana na tuhuma za wizi.
11 years ago
Habarileo02 Feb
JK kunguruma miaka 37 ya CCM
MWENYEKITI wa Taifa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete leo anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika sherehe za miaka 37 ya kuzaliwa kwa chama hicho tawala nchini. Kabla ya sherehe hizo zitakazofanyika Uwanja wa Sokoine mjini hapa, ataongoza matembezi ya miguu yatakayoanzia kitongoji cha Soweto na kuishia Uwanja wa Sokoine.
10 years ago
Habarileo14 Jun
Mchakato urais CCM waendelea kunguruma
KADA mwingine wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) jana alijitokeza kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa nafasi ya urais kwa chama hicho, katika Uchaguzi Mkuu wa 2015.
10 years ago
Habarileo07 Mar
Sauti ya Kapteni John Komba kuendelea kunguruma CCM
SAUTI ya Kada wa CCM, aliyekuwa Mbunge wa Mbinga Magharibi na Kiongozi wa Kikundi cha Tanzania One Theatre (TOT), Kapteni John Komba, huenda ikaendelea kusikika katika vibao vipya ambavyo alishaviandaa.
11 years ago
TheCitizen26 Jan
CCM councillorship campaigns kick off, voting set for Jan 16
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-qLW6RoyL_Ls/VPIy1y8OJZI/AAAAAAAAXQs/Xpzf3V_2o30/s72-c/3.jpg)
CCM YAWASIMAMISHA VIGOGO
![](http://3.bp.blogspot.com/-qLW6RoyL_Ls/VPIy1y8OJZI/AAAAAAAAXQs/Xpzf3V_2o30/s1600/3.jpg)
9 years ago
Mtanzania19 Aug
Vigogo 32 CCM kumkabili Lowassa
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeteua vigogo 32 kuunda kamati ya kampeni za mgombea urais wa chama hicho, Dk. John Magufuli katika kuhakikisha kinashinda Uchaguzi Mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu.
Hatua ya kuteuliwa kwa kamati hiyo ambayo itakuwa chini ya uenyekiti wa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, inaelezwa kuwa ni njia ya kukabiliana na nguvu za mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupitia mwamvuli wa Umoja wa...
11 years ago
Mwananchi13 Feb
Adhabu kwa vigogo CCM