Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk Mwakyembe, vigogo CCM kunguruma Jan.14

WAKATI macho na masikio ya wakazi wa Mkoa wa Iringa yakielekezwa katika kata tatu zitakazofanya uchaguzi mdogo wa udiwani Februari 9, mwaka huu, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitafanya mkutano mjini Iringa Januari 14, mwaka huu. Mkutano huo umetajwa kulenga kujibu mapigo ya mkutano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) uliohutubiwa na Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa hivi karibuni.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Uhuru Newspaper

Mwakyembe awang’oa vigogo 13 kwa rushwa


NA MOHAMMED ISSA
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe, amewatimua vigogo 13 kutoka wizara mbalimbali katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), kwa kujihusisha na vitendo vya rushwa.
Vigogo hao kutoka Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi na Afya na Ustawi wa Jamii, wamerejeshwa kwenye wizara zao kwa hatua zaidi za kinidhamu na kisheria.

Pia ametoa onyo kali kwa watumishi wengine uwanjani hapo wenye tabia za kujihusisha na rushwa kuwa,...

 

10 years ago

Habarileo

Mwakyembe afukuza kazi vigogo 6 wa Reli

Dk Harison Mwakyembe.WAZIRI wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe ameagiza wafanyakazi sita wa Shirika la Reli Tanzania (TRL), wafukuzwe kazi na polisi wawakamate na kuwalaza rumande kuanzia jana kutokana na tuhuma za wizi.

 

11 years ago

Habarileo

JK kunguruma miaka 37 ya CCM

MWENYEKITI wa Taifa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete leo anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika sherehe za miaka 37 ya kuzaliwa kwa chama hicho tawala nchini. Kabla ya sherehe hizo zitakazofanyika Uwanja wa Sokoine mjini hapa, ataongoza matembezi ya miguu yatakayoanzia kitongoji cha Soweto na kuishia Uwanja wa Sokoine.

 

10 years ago

Habarileo

Mchakato urais CCM waendelea kunguruma

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman KinanaKADA mwingine wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) jana alijitokeza kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa nafasi ya urais kwa chama hicho, katika Uchaguzi Mkuu wa 2015.

 

10 years ago

Habarileo

Sauti ya Kapteni John Komba kuendelea kunguruma CCM

Marehemu John Komba.SAUTI ya Kada wa CCM, aliyekuwa Mbunge wa Mbinga Magharibi na Kiongozi wa Kikundi cha Tanzania One Theatre (TOT), Kapteni John Komba, huenda ikaendelea kusikika katika vibao vipya ambavyo alishaviandaa.

 

11 years ago

TheCitizen

CCM councillorship campaigns kick off, voting set for Jan 16

The Chama Cha Mapinduzi (CCM) here has launched campaigns for the Nduli ward by-election to be held on February 9 this year.

 

10 years ago

Vijimambo

CCM YAWASIMAMISHA VIGOGO



Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam mara baada ya kumalizika kwa kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM.

 

9 years ago

Mtanzania

Vigogo 32 CCM kumkabili Lowassa

KatuniNA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeteua vigogo 32 kuunda kamati ya kampeni za mgombea urais wa chama hicho, Dk. John Magufuli katika kuhakikisha kinashinda Uchaguzi Mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu.

Hatua ya kuteuliwa kwa kamati hiyo ambayo itakuwa chini ya uenyekiti wa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, inaelezwa kuwa ni njia ya kukabiliana na nguvu za mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupitia mwamvuli wa Umoja wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Adhabu kwa vigogo CCM

Vigogo sita ambao ni makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wanaanza kuhojiwa leo, huku wakikabiliwa na adhabu kadhaa ikiwamo ya kufungiwa kugombea nafasi mbalimbali za uongozi ikiwa watapatikana na hatia ya makosa yanayowakabili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani