Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwakyembe afukuza kazi vigogo 6 wa Reli

Dk Harison Mwakyembe.WAZIRI wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe ameagiza wafanyakazi sita wa Shirika la Reli Tanzania (TRL), wafukuzwe kazi na polisi wawakamate na kuwalaza rumande kuanzia jana kutokana na tuhuma za wizi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Rais wa Nigeria afukuza kazi mwingine.

Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari amemfukuza kazi mkuu wa Taasisi ya kupambana na Rushwa nchini humo.

 

11 years ago

Habarileo

Mwakyembe- Reli ilikuwa ICU

WAZIRI wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe, amesema bajeti ya wizara hiyo ya mwaka 2014/15 iliyopitishwa juzi bungeni, itaifanya reli ianze kukimbia.

 

10 years ago

Mwananchi

Tumeboresha usafiri wa Reli ya Kati - Mwakyembe

Waziri wa Uchukuzi, Dk Harisson Mwakyembe amesema watamaliza kipindi chao utawala wa awamu ya nne kwa kuimarisha usafiri wa Reli ya Kati uliokuwa ‘umekufa’ kwa muda mrefu.

 

11 years ago

Habarileo

Dk Mwakyembe, vigogo CCM kunguruma Jan.14

WAKATI macho na masikio ya wakazi wa Mkoa wa Iringa yakielekezwa katika kata tatu zitakazofanya uchaguzi mdogo wa udiwani Februari 9, mwaka huu, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitafanya mkutano mjini Iringa Januari 14, mwaka huu. Mkutano huo umetajwa kulenga kujibu mapigo ya mkutano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) uliohutubiwa na Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa hivi karibuni.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Mwakyembe awang’oa vigogo 13 kwa rushwa


NA MOHAMMED ISSA
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe, amewatimua vigogo 13 kutoka wizara mbalimbali katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), kwa kujihusisha na vitendo vya rushwa.
Vigogo hao kutoka Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi na Afya na Ustawi wa Jamii, wamerejeshwa kwenye wizara zao kwa hatua zaidi za kinidhamu na kisheria.

Pia ametoa onyo kali kwa watumishi wengine uwanjani hapo wenye tabia za kujihusisha na rushwa kuwa,...

 

10 years ago

Michuzi

Waziri Mwakyembe apokea mabehewa yatakayo boresha usafiri katika reli ya kati

Waziri wa Uchukuzi, Dkt. Harrison Mwakyembe (mwenye miwani katikati) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa alipopokea sehemu ya mabehewa ya kisasa yatakayotumika kuboresha usafiri katika reli ya kati ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN).Waziri wa Uchukuzi, Dkt. Harrison Mwakyembe akiangalia kitu wakati wa kupokea sehemu ya mabehewa ya kisasa yatakayotumika kuboresha usafiri katika reli ya kati ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Mpango wa Matokeo...

 

9 years ago

BBCSwahili

Magufuli amfuta kazi afisa mkuu wa reli

Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli amemsimamisha kazi mkurugenzi mkuu wa kampuni ya reli Tanzania (RAHCO) Benhadard Tito.

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Mwakyembe kuwatimua kazi wazembe

Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe amesema hatosita kuwatimua kazi watendaji wabovu wa Shirika ya Reli Tanzania na Zambia (Tazara) wanaoshindwa kusimamia kikamilifu utendaji kazi wao na kuisababishia Serikali hasara ya mabilioni ya fedha kwa masilahi binafsi.

 

10 years ago

Habarileo

Vigogo 3 wasitishwa kazi Rubada

Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen WassiraKAIMU Mkurugenzi wa Mamlaka ya Ustawishaji wa Bonde la Mto Rufiji (RUBADA), Aloyce Masanja na wenzake wawili wamesimamishwa kazi kwa tuhuma za ubadhirifu wa fedha na kujilimbikizia madaraka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani