Mwakyembe afukuza kazi vigogo 6 wa Reli
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe ameagiza wafanyakazi sita wa Shirika la Reli Tanzania (TRL), wafukuzwe kazi na polisi wawakamate na kuwalaza rumande kuanzia jana kutokana na tuhuma za wizi.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili09 Nov
Rais wa Nigeria afukuza kazi mwingine.
11 years ago
Habarileo28 May
Mwakyembe- Reli ilikuwa ICU
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe, amesema bajeti ya wizara hiyo ya mwaka 2014/15 iliyopitishwa juzi bungeni, itaifanya reli ianze kukimbia.
10 years ago
Mwananchi07 Jan
Tumeboresha usafiri wa Reli ya Kati - Mwakyembe
11 years ago
Habarileo10 Jan
Dk Mwakyembe, vigogo CCM kunguruma Jan.14
WAKATI macho na masikio ya wakazi wa Mkoa wa Iringa yakielekezwa katika kata tatu zitakazofanya uchaguzi mdogo wa udiwani Februari 9, mwaka huu, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitafanya mkutano mjini Iringa Januari 14, mwaka huu. Mkutano huo umetajwa kulenga kujibu mapigo ya mkutano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) uliohutubiwa na Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa hivi karibuni.
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-73IBBopu02c/U7QmjITEcFI/AAAAAAAABTQ/uMREJT7RrDI/s72-c/Mwakyembe.jpg)
Mwakyembe awang’oa vigogo 13 kwa rushwa
NA MOHAMMED ISSA
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe, amewatimua vigogo 13 kutoka wizara mbalimbali katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), kwa kujihusisha na vitendo vya rushwa.
Vigogo hao kutoka Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi na Afya na Ustawi wa Jamii, wamerejeshwa kwenye wizara zao kwa hatua zaidi za kinidhamu na kisheria.
![](http://3.bp.blogspot.com/-73IBBopu02c/U7QmjITEcFI/AAAAAAAABTQ/uMREJT7RrDI/s1600/Mwakyembe.jpg)
Pia ametoa onyo kali kwa watumishi wengine uwanjani hapo wenye tabia za kujihusisha na rushwa kuwa,...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Jk550vKcogI/VIWRf-Y6ExI/AAAAAAAG2Bc/X-YCNP6Yb1M/s72-c/unnamed%2B(78).jpg)
Waziri Mwakyembe apokea mabehewa yatakayo boresha usafiri katika reli ya kati
![](http://3.bp.blogspot.com/-Jk550vKcogI/VIWRf-Y6ExI/AAAAAAAG2Bc/X-YCNP6Yb1M/s1600/unnamed%2B(78).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VFccIln3M5I/VIWRhm36ZbI/AAAAAAAG2Bk/UXjjkbXPttI/s1600/unnamed%2B(81).jpg)
9 years ago
BBCSwahili23 Dec
Magufuli amfuta kazi afisa mkuu wa reli
10 years ago
Mwananchi19 Dec
Dk Mwakyembe kuwatimua kazi wazembe
10 years ago
Habarileo09 Apr
Vigogo 3 wasitishwa kazi Rubada
KAIMU Mkurugenzi wa Mamlaka ya Ustawishaji wa Bonde la Mto Rufiji (RUBADA), Aloyce Masanja na wenzake wawili wamesimamishwa kazi kwa tuhuma za ubadhirifu wa fedha na kujilimbikizia madaraka.