Tumeboresha usafiri wa Reli ya Kati - Mwakyembe
Waziri wa Uchukuzi, Dk Harisson Mwakyembe amesema watamaliza kipindi chao utawala wa awamu ya nne kwa kuimarisha usafiri wa Reli ya Kati uliokuwa ‘umekufa’ kwa muda mrefu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Jk550vKcogI/VIWRf-Y6ExI/AAAAAAAG2Bc/X-YCNP6Yb1M/s72-c/unnamed%2B(78).jpg)
Waziri Mwakyembe apokea mabehewa yatakayo boresha usafiri katika reli ya kati
![](http://3.bp.blogspot.com/-Jk550vKcogI/VIWRf-Y6ExI/AAAAAAAG2Bc/X-YCNP6Yb1M/s1600/unnamed%2B(78).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VFccIln3M5I/VIWRhm36ZbI/AAAAAAAG2Bk/UXjjkbXPttI/s1600/unnamed%2B(81).jpg)
11 years ago
Mwananchi11 Jun
Usafiri wa Reli ya Kati wazua kizaazaa Dar
11 years ago
Habarileo28 May
Mwakyembe- Reli ilikuwa ICU
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe, amesema bajeti ya wizara hiyo ya mwaka 2014/15 iliyopitishwa juzi bungeni, itaifanya reli ianze kukimbia.
10 years ago
Habarileo01 Jan
Mwakyembe afukuza kazi vigogo 6 wa Reli
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe ameagiza wafanyakazi sita wa Shirika la Reli Tanzania (TRL), wafukuzwe kazi na polisi wawakamate na kuwalaza rumande kuanzia jana kutokana na tuhuma za wizi.
11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
Tanzania, Canada kuboresha usafiri wa reli
WIZARA ya Uchukuzi imefikia makubaliano ya ushirikiano na Canada kwa lengo la kuiboresha sekta ya reli hiyo nchini. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Kaimu Katibu Mkuu, Monica Mwamnyange, alisema...
11 years ago
Mwananchi26 May
Serikali yatangaza mageuzi usafiri wa reli
11 years ago
Tanzania Daima15 May
Dk. Mwakyembe: Usafiri wa anga umefanikiwa
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe, amesema sekta ya usafiri wa anga imefanikiwa hasa kwa miaka ya hivi karibuni, jambo linalowahamasisha wenye makampuni ya ndege kuongeza ushindani. Alisema hayo mbele...
11 years ago
Habarileo25 Jun
Reli ya kati kuimarishwa
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe, amesema Reli ya Kati itakuwa imefufuliwa ifikapo mwishoni mwa mwaka huu na kuanza kubeba mizigo itakayookoa barabara.
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Wajapani kukarabati Reli ya Kati