Serikali yatangaza mageuzi usafiri wa reli
Serikali imekamilisha taratibu za ununuzi wa vichwa vipya 13 vya treni na mabehewa 355 ambayo yataanza kuwasili nchini kati ya Julai na Desemba mwaka huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi07 Jan
Tumeboresha usafiri wa Reli ya Kati - Mwakyembe
11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
Tanzania, Canada kuboresha usafiri wa reli
WIZARA ya Uchukuzi imefikia makubaliano ya ushirikiano na Canada kwa lengo la kuiboresha sekta ya reli hiyo nchini. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Kaimu Katibu Mkuu, Monica Mwamnyange, alisema...
11 years ago
Mwananchi11 Jun
Usafiri wa Reli ya Kati wazua kizaazaa Dar
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Jk550vKcogI/VIWRf-Y6ExI/AAAAAAAG2Bc/X-YCNP6Yb1M/s72-c/unnamed%2B(78).jpg)
Waziri Mwakyembe apokea mabehewa yatakayo boresha usafiri katika reli ya kati
![](http://3.bp.blogspot.com/-Jk550vKcogI/VIWRf-Y6ExI/AAAAAAAG2Bc/X-YCNP6Yb1M/s1600/unnamed%2B(78).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VFccIln3M5I/VIWRhm36ZbI/AAAAAAAG2Bk/UXjjkbXPttI/s1600/unnamed%2B(81).jpg)
5 years ago
BBCSwahili12 Apr
Virusi vya Corona: Tanzania yatangaza marufuku mpya ya usafiri wa anga kukabiliana na virusi
10 years ago
Raia Tanzania25 Jun
Serikali iisaidie TPA kuhusu Reli
MIONGONI mwa taasisi nyeti hapa nchini ni Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA) ambayo kupitia shughuli zake, serikali hukusanya walau asilimia 40 ya mapato yake ya ndani kwa mwaka.
Hiki ni kiasi kikubwa cha mapato na kwa sababu hii kuna kila ulazima wa serikali kuhakikisha TPA inapata kila aina ya ushirikiano ili iweze kupata mapato zaidi na hivyo kutunisha mfuko wa serikali.
Kuna njia nyingi ambazo serikali inaweza kuzitumia kuboresha bandari. Mojawapo, na ya muhimu kuliko zote...
11 years ago
Mwananchi05 Jul
Serikali: NCCR Mageuzi fuateni taratibu
10 years ago
Mtanzania30 Mar
Serikali yatenga trilioni 14/- ujenzi wa reli ya kisasa
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
SERIKALI imetenga Sh trilioni 14 kwa ajili ya kujenga reli mpya yenye urefu wa kilometa 2,561 ambayo itakuwa na kiwango cha kisasa cha ‘Standard Gauge’, ambao utakuwa mradi mkubwa kutekelezwa na Serikali.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta, alisema reli hiyo mpya itakuwa tofauti na nyingine na yenye uwezo wa kimataifa kutokana na kuchukua mabehewa ya ghorofa, ambapo itaanzia Dar es Salaam hadi...