Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yatangaza mageuzi usafiri wa reli

Serikali imekamilisha taratibu za ununuzi wa vichwa vipya 13 vya treni na mabehewa 355 ambayo yataanza kuwasili nchini kati ya Julai na Desemba mwaka huu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Tumeboresha usafiri wa Reli ya Kati - Mwakyembe

Waziri wa Uchukuzi, Dk Harisson Mwakyembe amesema watamaliza kipindi chao utawala wa awamu ya nne kwa kuimarisha usafiri wa Reli ya Kati uliokuwa ‘umekufa’ kwa muda mrefu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tanzania, Canada kuboresha usafiri wa reli

WIZARA ya Uchukuzi  imefikia makubaliano ya ushirikiano na Canada kwa lengo la kuiboresha sekta ya reli hiyo nchini. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Kaimu Katibu Mkuu, Monica Mwamnyange, alisema...

 

11 years ago

Mwananchi

Usafiri wa Reli ya Kati wazua kizaazaa Dar

Zaidi ya abiria 1,500 waliotarajia kusafiri na treni ya Reli ya Kati jana, walikwama jijini Dar es Salaam baada ya kufika na kutangaziwa kupitia vipaza sauti kuwa hakuna treni na kutakiwa kupanga foleni kwa ajili ya kurudishiwa nauli.

 

10 years ago

Michuzi

Waziri Mwakyembe apokea mabehewa yatakayo boresha usafiri katika reli ya kati

Waziri wa Uchukuzi, Dkt. Harrison Mwakyembe (mwenye miwani katikati) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa alipopokea sehemu ya mabehewa ya kisasa yatakayotumika kuboresha usafiri katika reli ya kati ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN).Waziri wa Uchukuzi, Dkt. Harrison Mwakyembe akiangalia kitu wakati wa kupokea sehemu ya mabehewa ya kisasa yatakayotumika kuboresha usafiri katika reli ya kati ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Mpango wa Matokeo...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Tanzania yatangaza marufuku mpya ya usafiri wa anga kukabiliana na virusi

Ndege za mizigo pekee ndizo ambazo zitaruhusiwa kuingia nchini humo.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Serikali iisaidie TPA kuhusu Reli

MIONGONI mwa taasisi nyeti hapa nchini ni Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari  (TPA) ambayo kupitia shughuli zake, serikali hukusanya walau asilimia 40 ya mapato yake ya ndani kwa mwaka.

Hiki ni kiasi kikubwa cha mapato na kwa sababu hii kuna kila ulazima wa serikali kuhakikisha TPA inapata kila aina ya ushirikiano ili iweze kupata mapato zaidi na hivyo kutunisha mfuko wa serikali.

Kuna njia nyingi ambazo serikali inaweza kuzitumia kuboresha bandari. Mojawapo, na ya muhimu kuliko zote...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali: NCCR Mageuzi fuateni taratibu

>Siku moja baada ya Chama cha NCCR-Mageuzi kuitaka serikali kumpa ulinzi Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila kutokana na vitisho anavyopata baada ya kusimama  Bungeni na kutaka suala la upotevu wa fedha Escrow lichunguzwe, Serikali imesema ni lazima chama hicho kifuate taratibu zinazotakiwa ndipo waweze kupatiwa ulinzi wanaoutaka.

 

10 years ago

Mtanzania

Serikali yatenga trilioni 14/- ujenzi wa reli ya kisasa

samuelNA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
SERIKALI imetenga Sh trilioni 14 kwa ajili ya kujenga reli mpya yenye urefu wa kilometa 2,561 ambayo itakuwa na kiwango cha kisasa cha ‘Standard Gauge’, ambao utakuwa mradi mkubwa kutekelezwa na Serikali.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta, alisema reli hiyo mpya itakuwa tofauti na nyingine na yenye uwezo wa kimataifa kutokana na kuchukua mabehewa ya ghorofa, ambapo itaanzia Dar es Salaam hadi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani