Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TFF yatoa adhabu kwa watovu wa nidhamu

Shirikisho la soka nchini Tanzania (TFF) limetoa adhabu kwa timu, viongozi na wachezaji kwa utovu wa nidhamu,.

Kwa mujibu wa Afisa Habari wa TFF, Baraka Kizuguto, Ruvu Shooting imepigwa faini ya sh. 300,000 (laki tatu- wastani wa dola 180) kwa kuzingatia Kanuni ya 14(9) ya Ligi Kuu kwa kutoingia kwenye vyumba vya kubadilishia nguo (changing room) katika mechi namba 149 dhidi ya Kagera Sugar iliyochezwa Uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga

Pia Ruvu Shooting imepigwa faini ya sh. 500,000 (laki...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

TFF yawaadhibu watovu wa nidhamu

Shirikisho la soka nchini Tanzania (TFF) limetoa adhabu kwa timu, viongozi na wachezaji kwa utovu wa nidhamu,.

 

10 years ago

BBCSwahili

TFF yaadhibu kwa utovu wa nidhamu

Shirikisho la soka nchini Tanzania (TFF) limetoa adhabu kwa vilabu, kocha na mchezaji kwa utovu wa nidhamu .

 

10 years ago

BBCSwahili

TFF yaadhibu tisa kwa utovu wa nidhamu

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania limetoa adhabu kwa watu tisa kwa kupatikana na hatia ya makosa ya kinidhamu.

 

10 years ago

Mwananchi

Uamuzi, adhabu TFF yajichanganya

Wakati Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB) ikimfungia kucheza mechi tatu, mshambuliaji Haruna Chanongo na kumpiga faini ya Sh500,000, baadhi ya makocha na wachezaji wamepelekwa kwenye Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa kukiuka kanuni za ligi.

 

10 years ago

Michuzi

KAMATI YA NIDHAMU TFF YAWAADHIBU JUMA NYOSO NA AGGREY MORRIS


Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imewafungia kati ya mechi tatu na nane wachezaji Juma Nyoso wa Mbeya City na Aggrey Morris wa Azam kutokana na makosa ya kinidhamu waliyoyafanya wakiwa uwanjani.

Nyoso ambaye alilalamikiwa na TFF kwa kumfanyia vitendo vya udhalilishaji mshambuliaji Elias Maguri wa Simba amefungiwa mechi nane za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL). Adhabu hiyo imetolewa kwa kuzingatia Ibara ya 57 na Ibara ya 11 (f) ya Kanuni za Nidhamu za TFF Toleo la...

 

10 years ago

Mwananchi

TFF yatoa ushauri kwa viongozi Copa Coca Cola

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetoa ushauri kwa vyama vya soka vya mikoa kuwa makini katika uteuzi wa wachezaji wa kuwakilisha timu za mikoa yao kwenye mashindano ya vijana.

 

11 years ago

Michuzi

TFF YATOA RAMBIRAMBI MSIBA WA GEORGE MPONDELA

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepokea kwa masikitiko kifo cha aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Yanga, George Mpondela kilichotokea jana (Juni 15 mwaka huu) katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa klabu ya Yanga, Marehemu Mpondela anatarajiwa kuzikwa Alhamisi (Juni 19 mwaka huu) jijini Dar es Salaam, na msiba upo Kigamboni Mnarani.
Mpondela alichaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa klabu ya Yanga katika uchaguzi uliofanyika mwaka 1994 baada ya...

 

11 years ago

Michuzi

TFF YATOA RAMBIRAMBI MSIBA WA KIONGOZI WA FAM

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepokea kwa masikitiko kifo cha Mwakilishi wa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Mara (FAM) katika Mkutano Mkuu wa TFF, William Chibura kilichotokea leo asubuhi (Juni 3 mwaka huu) katika Hospitali ya Mkoa wa Mara mjini Musoma.
Chibura aliyezaliwa mwaka 1969 alikuwa mjumbe wa Mkutano Mkuu wa TFF akiwakilisha klabu za Mkoa wa Mara kupitia FAM. Aliwahi kuichezea Musoma Shooting, na baadaye kuwa kiongozi katika klabu hiyo na ile ya Polisi Mara...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani