Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkaa endelevu kuokoa mazingira

Dar es Salaam. Serikali ya Finland kwa kushirikiana na Wizara ya Maliasili na Utalii, wameanzisha mradi wa mkaa endelevu utakaozalishwa kwa njia za kisasa wenye lengo la kupunguza uharibifu wa mazingira na kuongeza ajira.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mkaa endelevu mkombozi wa wananchi Kilosa

Tafiti zinaonyesha kuwa asilimia 90 ya Watanzania wanategemea mkaa katika matumizi mbalimbali.

 

10 years ago

StarTV

Serikali yaruhusu mradi wa mkaa endelevu.

Na Jackson Monela,

Morogoro.

 

Serikali imeruhusu kuendelea kutekelezwa kwa mradi wa mkaa endelevu wilayani Kilosa mkoani Morogoro licha ya baadhi ya wadau wa mazingira kupinga kwa madai kuwa umeleta athari ya kupoteza misitu mingi.

 

Awali mradi huo ulisitishwa kwa muda mara baada ya kuona ukichangia uharibifu wa mazingira kutokana na kukithiri kwa ukataji miti hatua ambayo iliilazimu Serikali kutaka mradi huo usitishwe kwa muda ili kupisha uchunguzi maalum.

 

Kwa muda mrefu nishati ya mkaa...

 

9 years ago

Michuzi

VIPINDI VYA MAMA MISITU KUHUSU UZALISHAJI WA MKAA ENDELEVU KUFANYIKA KATIKA HOTELI YA NEW AFRIKAJIJINI DAR

 Mkurugenzi wa Taasisi ya Natural Resource Forum (TNRF), Joseph Olila, akizungumza na wanahabari wakati akitoa taarifa chokozi katika uzinduzi wa mfululizo wa vipindi vipya vya runinga kuhusu uzalishaji endelevu wa mkaa vitarushwa hewani kupitia televisheni mbalimbali nchini uliofanyika Hoteli ya New Africa Dar es Salaam leo asubuhi.Mshauri wa Ufundi Weizara ya Maliasili na Utalii, Thomas Sellaine (kulia), akizungumza katika uzinduzi huo. Balozi wa Mama Misitu, Asha Salimu (kushoto),...

 

5 years ago

CCM Blog

MKAA MBADALA NI UKOMBOZI WA MAZINGIRA


Mbunifu wa mashine ya mkaa utokanao na vumbi la mbao pamoja na pumba za mpunga wa mkoani Singida, Joram Kishaluli akitoa mkaa uliotengenezwa kwa mashine maalumu.
Na, COSTECHTAARIFA ya Wizara ya Kilimo ya mwaka 2019 inaonesha kuwa, kwa miaka mitano iliyopita kuanzia msimu wa mwaka 2013/2014 hadi 2017/18, Tanzania imezalisha chakula kingi kuliko mahitaji yake.

Tathmini ililenga hali ya chakula, uzalishaji wa mazao ya chakula na usalama wa chakula hususani mazao muhimu yanayozingatiwa kama...

 

5 years ago

Michuzi

UHARIBIFU WA MAZINGIRA KUKABILIWA NA MKAA MBADALA

Mbunifu wa mashine ya mkaa utokanao na vumbi la mbao pamoja na pumba za mpunga wa mkoani Singida, Joram Kishaluli akitoa mkaa uliotengenezwa kwa mashine maalumu.
Na, COSTECHTAARIFA ya Wizara ya Kilimo ya mwaka 2019 inaonesha kuwa, kwa miaka mitano iliyopita kuanzia msimu wa mwaka 2013/2014 hadi 2017/18, Tanzania imezalisha chakula kingi kuliko mahitaji yake.

Tathmini ililenga hali ya chakula, uzalishaji wa mazao ya chakula na usalama wa chakula hususani mazao muhimu yanayozingatiwa kama...

 

11 years ago

Mwananchi

Majiko kuokoa mazingira

Kampuni ya Artienergy ya jijini Dar es Salaam imegundua majiko ambayo ni mkombozi kwa familia zisizo na kipato kikubwa na pia yanasaidia kuokoa mazingira kwa kuwa hayatoi moshi mwingi kama yalivyo ya mkaa.

 

9 years ago

Mwananchi

KUTOKA LONDON : Halahala kupunguza plastiki kuokoa mazingira ulimwenguni

Jumatatu sera ya serikali ya Uingereza kupunguza uharibifu wa mazingira ilianza kwa kishindo. Sera imeanza kupunguza matumizi ya mifuko ya plastiki madukani . Zogo lilianza miaka saba iliyopita vyombo vya habari vilipomwonyesha kasa wa baharini akifadhaika baada ya kumeza mfuko mzima wa plastiki. Azma ya taswira ilikuwa kusisitiza namna viumbe mbalimbali vinavyouliwa na uchafu wa mazingira. Kama meli za mafuta zinapopinduka baharini.

 

10 years ago

GPL

CHAMA CHA VIKOBA ENDELEVU MAZINGIRA CHAZINDULIWA RASMI SINZA

Mratibu wa kikundi hicho, Doris Dulle, kulia akifafanua jambo kwa wanachama.  Kushoto ni mratibu mwenza, Rose Anthony, katikati ni Irene Mwamfupe Ndauka. Wakijadili katiba ya kikundi hicho. Wanachama wakifanya maombi kabla ya kuanza ufungunzi wa chama hicho. WANACHAMA wa kikundi cha Vikoba…

 

9 years ago

Michuzi

Zoezi la Usafi wa Mazingira Kuwa Endelevu Jijini Dar es Salaam

Na Lilian Lundo-MAELEZO
Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam, Mhe. Said Meck Sadiki amesema zoezi la usafi wa mazingira litakalofanyika siku ya Maadhimisho ya Uhuru wa Tanzania Bara tarehe 9 Desemba, litakuwa ni endelevu kwa mkoa wa Dar es Salaam hata baada ya kumalizika kwa maadhimisho hayo.

Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa Awamu ya Tano. Mhe. Dkt John Pombe Joseph Magufuli aliagiza kuwa Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Tanzania Bara mwaka huu yatumike kwa kufanya usafi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani