VIPINDI VYA MAMA MISITU KUHUSU UZALISHAJI WA MKAA ENDELEVU KUFANYIKA KATIKA HOTELI YA NEW AFRIKAJIJINI DAR
Mkurugenzi wa Taasisi ya Natural Resource Forum (TNRF), Joseph Olila, akizungumza na wanahabari wakati akitoa taarifa chokozi katika uzinduzi wa mfululizo wa vipindi vipya vya runinga kuhusu uzalishaji endelevu wa mkaa vitarushwa hewani kupitia televisheni mbalimbali nchini uliofanyika Hoteli ya New Africa Dar es Salaam leo asubuhi.
Mshauri wa Ufundi Weizara ya Maliasili na Utalii, Thomas Sellaine (kulia), akizungumza katika uzinduzi huo.
Balozi wa Mama Misitu, Asha Salimu (kushoto),...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboVIPINDI VYA MAMA MISITU UPANDE WA RUNINGA VYAZINDULIWA LEO JIJINI DAR
9 years ago
MichuziMKUTANO WA NNE WA BARA LA AFRIKA KUJADILI MIPANGO ENDELEVU NA MAFUNZO KUANZA KUFANYIKA KESHO HOTELI YA GIRRAFE JIJINI DAR ES SALAAM
Mkutano huo ambao utashirikisha nchi mbalimbali tisa unatarajiwa kuhudhuriwa na wageni 50 kutoka katika nchi hizo za Afrika.
Akizungumza na waaandishi wa habari kuhusu Dar es Salaam jana kuhusu mkutano huo, Meneja Mipango wa Ofisi ya Maendeleo...
11 years ago
Tanzania Daima16 Mar
Mkaa wateketeza misitu 150,000
TANZANIA inapoteza misitu 150,000 kwa mwezi kutokana na matumizi mbalimbali ikiwemo mkaa kwa ajili ya matumizi ya nyumbani. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili jana jijini Dar es Salaam, Ofisa Uenezi...
9 years ago
Mwananchi14 Sep
Mkaa endelevu kuokoa mazingira
10 years ago
StarTV15 Feb
Serikali yaruhusu mradi wa mkaa endelevu.
Na Jackson Monela,
Morogoro.
Serikali imeruhusu kuendelea kutekelezwa kwa mradi wa mkaa endelevu wilayani Kilosa mkoani Morogoro licha ya baadhi ya wadau wa mazingira kupinga kwa madai kuwa umeleta athari ya kupoteza misitu mingi.
Awali mradi huo ulisitishwa kwa muda mara baada ya kuona ukichangia uharibifu wa mazingira kutokana na kukithiri kwa ukataji miti hatua ambayo iliilazimu Serikali kutaka mradi huo usitishwe kwa muda ili kupisha uchunguzi maalum.
Kwa muda mrefu nishati ya mkaa...
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Mkaa endelevu mkombozi wa wananchi Kilosa
9 years ago
VijimamboMKUTANO WA NNE WA BARA LA AFRIKA KUJADILI MIPANGO ENDELEVU NA MAFUNZO KWA VIJANA WAFANYIKA HOTELI YA GIRRAFE JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qeZBLtHd_Dk/VOQNwNQfL6I/AAAAAAAHEO4/QWEqsxA7J1g/s72-c/IMG-20150217-WA0004.jpg)
Mkutano wa Trévo kufanyika hoteli ya Serena jijini Dar Februari 27, 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-qeZBLtHd_Dk/VOQNwNQfL6I/AAAAAAAHEO4/QWEqsxA7J1g/s1600/IMG-20150217-WA0004.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-J6LtlqHQsro/VkzUoFsO80I/AAAAAAAIGng/oIK2WtZC1bw/s72-c/20151117_164358.jpg)
UHIFADHI WA MISITU NA UZALISHAJI WA MAZAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-J6LtlqHQsro/VkzUoFsO80I/AAAAAAAIGng/oIK2WtZC1bw/s640/20151117_164358.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-N1aDXy-T39U/VkzUobist-I/AAAAAAAIGnk/cXs2da-ebS0/s640/20151118_113644.jpg)