Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkaa endelevu mkombozi wa wananchi Kilosa

Tafiti zinaonyesha kuwa asilimia 90 ya Watanzania wanategemea mkaa katika matumizi mbalimbali.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mkaa endelevu kuokoa mazingira

Dar es Salaam. Serikali ya Finland kwa kushirikiana na Wizara ya Maliasili na Utalii, wameanzisha mradi wa mkaa endelevu utakaozalishwa kwa njia za kisasa wenye lengo la kupunguza uharibifu wa mazingira na kuongeza ajira.

 

10 years ago

StarTV

Serikali yaruhusu mradi wa mkaa endelevu.

Na Jackson Monela,

Morogoro.

 

Serikali imeruhusu kuendelea kutekelezwa kwa mradi wa mkaa endelevu wilayani Kilosa mkoani Morogoro licha ya baadhi ya wadau wa mazingira kupinga kwa madai kuwa umeleta athari ya kupoteza misitu mingi.

 

Awali mradi huo ulisitishwa kwa muda mara baada ya kuona ukichangia uharibifu wa mazingira kutokana na kukithiri kwa ukataji miti hatua ambayo iliilazimu Serikali kutaka mradi huo usitishwe kwa muda ili kupisha uchunguzi maalum.

 

Kwa muda mrefu nishati ya mkaa...

 

9 years ago

Michuzi

VIPINDI VYA MAMA MISITU KUHUSU UZALISHAJI WA MKAA ENDELEVU KUFANYIKA KATIKA HOTELI YA NEW AFRIKAJIJINI DAR

 Mkurugenzi wa Taasisi ya Natural Resource Forum (TNRF), Joseph Olila, akizungumza na wanahabari wakati akitoa taarifa chokozi katika uzinduzi wa mfululizo wa vipindi vipya vya runinga kuhusu uzalishaji endelevu wa mkaa vitarushwa hewani kupitia televisheni mbalimbali nchini uliofanyika Hoteli ya New Africa Dar es Salaam leo asubuhi.Mshauri wa Ufundi Weizara ya Maliasili na Utalii, Thomas Sellaine (kulia), akizungumza katika uzinduzi huo. Balozi wa Mama Misitu, Asha Salimu (kushoto),...

 

11 years ago

Mwananchi

Rongai; mkombozi wa wananchi, viwanda

Kwa takriban miaka mitano mfululizo, shamba la Rongai limekuwa likizalisha miti ya ujazo wa mita 20,000 kwa mwaka na imeiingizia Serikali mapato ya wastani wa Sh.4.2 bilioni kwa kipindi chote hicho.

 

10 years ago

Vijimambo

MTIA NIA WA UBUNGE JIMBO LA KILOSA RAJAB MSABAHA KAUZELA AENDELEA NA ZIARA ZA UFUNGUZI WA MATAWI YA CHADEMA JIMBONI KILOSA

Mwanachama wa CHADEMA akiandaa bendera tayari kwa ufunguzi wa Tawi la Chadema Jimboni KilosaMtia ni wa Ubunge Kilosa Ndugu Rajab Msabaha Kauzela akipandisha bendera kama ishara ya ufunguzi wa Tawi la Chadema katika mwendelezo wa ziara zake za ufunguzi wa matawi ili kujenga chama Jimboni KilosaWananchi waliofurika kushuhudia ufunguzi wa Tawi Jipya la Chadema moto wa gesi Jimboni KilosaNdugu Kauzela akihutubia wakazi wa Kilosa katika ufunguzi wa Tawi la CHADEMA Jimboni KilosaNdugu Kauzela...

 

10 years ago

Vijimambo

MTIA NIA WA UBUNGE JIMBO LA KILOSA KUPITIA CHADEMA NDUGU RAJAB MSABAHA KAUZELA AANZA RASMI SAFARI YAKE YA KUWAKOMBOA WANA-KILOSA

Rajab Msabaha Kauzela  mtia nia wa Ubunge Jimbo la Kilosa  ambaye pia alikuwa Katibu Mwenezi wa Tawi a CHADEMA Washington DCRajab Msabaha Kauzela (wa nne kutoka kushoto) akiwa na mnadhimu wa kambi ya upinzani ambaye pia ni mbunge wa Singida Mashariki Mh Tundu Lissu (wa tatu kutoka kushoto) pamoja na viongozi wengine wa chadema Morogoro.Rajab Msabaha Kauzela akiwahutubia wakazi wa Kilosa waliokusanyika kumsikiliza katika mkutano wa hadhara, akielezea mikakati yake endapo wana-Kilosa...

 

5 years ago

CCM Blog

MKAA MBADALA NI UKOMBOZI WA MAZINGIRA


Mbunifu wa mashine ya mkaa utokanao na vumbi la mbao pamoja na pumba za mpunga wa mkoani Singida, Joram Kishaluli akitoa mkaa uliotengenezwa kwa mashine maalumu.
Na, COSTECHTAARIFA ya Wizara ya Kilimo ya mwaka 2019 inaonesha kuwa, kwa miaka mitano iliyopita kuanzia msimu wa mwaka 2013/2014 hadi 2017/18, Tanzania imezalisha chakula kingi kuliko mahitaji yake.

Tathmini ililenga hali ya chakula, uzalishaji wa mazao ya chakula na usalama wa chakula hususani mazao muhimu yanayozingatiwa kama...

 

10 years ago

Habarileo

RC apiga ‘stop’ biashara ya mkaa

Dk Rajab RutengweMKUU wa Mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe, amewapa mwezi mmoja wakuu wa wilaya sita za mkoa, wahakikishe wanakomesha kuzagaa kwa biashara ya mkaa katika maeneo yao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani