RC apiga ‘stop’ biashara ya mkaa
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe, amewapa mwezi mmoja wakuu wa wilaya sita za mkoa, wahakikishe wanakomesha kuzagaa kwa biashara ya mkaa katika maeneo yao.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili17 Oct
Al-Shabaab waendeleza biashara ya mkaa
Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa imekishutumu kikundi cha Somalia cha Al Shabaab kwa kuendelea na biahara ya mkaa.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ljcVkkk9vSE/VEzv6rOSMeI/AAAAAAAGtao/zKHVnQCe8Ps/s72-c/unnamed.jpg)
BIASHARA HARAMU YA MKAA INAPOFADHILI UGAIDI
![](http://1.bp.blogspot.com/-ljcVkkk9vSE/VEzv6rOSMeI/AAAAAAAGtao/zKHVnQCe8Ps/s1600/unnamed.jpg)
Na Mwandishi Maalum, New York
Inaweza ikawa ni taarifa za kushangaza kuwa hata mkaa ambao ni nishati inayotumiwa na jamii kubwa sehemu mbalimbali hususani Barani Afrika kwamba mapato yatokanayo na biashara hiyo yanaweza kuwa chanzo ya mapato kwa makundi ya kigaidi.
Taarifa kwamba mapato yatokanayo na mkaa yanatumika ndivyo sivyo, zimejidhirisha mwishoni mwa wiki ( Ijumaa ) pale Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa lilipopitisha kwa kura Azimio namba 2182 la mwaka 2014...
10 years ago
Mwananchi11 Aug
Kocha wa Simba apiga ‘stop’ usajili
Kocha wa Simba, Dylan Kerr amewazuia viongozi wa timu hiyo kufanya usajili wowote hasa mshambuliaji bila ya kujiridhisha juu ya uwezo wake.
10 years ago
Habarileo22 Jan
Kinana apiga ‘stop’ ziara za mikoani za Mwigulu
NAIBU Katibu Mkuu wa CCM (Tanzania Bara), Mwigulu Nchemba amekubali kuitikia wito wa kusitisha ziara zake za kichama katika mikoa na wilaya mbalimbali nchini, kama alivyoagizwa na Katibu Mkuu wa chama hicho, Abdulrahman Kinana.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-oYIvqiRh9o0/XlTRdnpjD3I/AAAAAAAAvc4/2x519DJE5wIzKxne3tt-NdwYQAxmXq2LgCLcBGAsYHQ/s72-c/Untitled-1.jpg)
WAZIRI ZUNGU APIGA STOP NGUO ZA NDANI ZA MITUMBA
![](https://1.bp.blogspot.com/-oYIvqiRh9o0/XlTRdnpjD3I/AAAAAAAAvc4/2x519DJE5wIzKxne3tt-NdwYQAxmXq2LgCLcBGAsYHQ/s640/Untitled-1.jpg)
"Nguo za mitumba ambazo haziruhusiwi ni nguo za ndani kwa sababu ya maradhi, mfano Mwanamke anavaa vazi la juu (sidiria) huwezi kujua aliyevaa kabla yako alikuwa ana magonjwa gani, huo ndio mwanzo wa kusambaa kwa magonjwa ya saratani"
“Nimefanya ziara Mto Msimbazi shughuli za Binadamu zinaharibu kingo za Mto, Kuna mazungumzo yanaendelea...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-pA1pUXby0WM/VDJ6vLK-N0I/AAAAAAAAzqk/VUlr-GeUmBU/s72-c/JUMA%2BNKAMIA.jpg)
EXCLUSIVE: WAZIRI APIGA STOP TFF KUTAKA KUCHUKUA 5% ZA VODACOM, AZAM TV
![](http://4.bp.blogspot.com/-pA1pUXby0WM/VDJ6vLK-N0I/AAAAAAAAzqk/VUlr-GeUmBU/s640/JUMA%2BNKAMIA.jpg)
11 years ago
Michuzi09 Jul
WAZIRI MKUU APIGA STOP MATUMIZI YA KUNI KIWANDA CHA 21st CENTURY
![PG4A8989](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/yRBkK4YqQVWZn8uvnkzePBEifUYbzzIHwDRm0pG4Vm7KHYL_DzDeuWswVDTe1d7svxT78Kj1Sm8XO7EYaG9BAN1nchFzmSNwAdQDUR0DlUqF_r71k4L1x20GW4k=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2013/12/PG4A8989.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-22FUJ78-rm0/XpiIiI81IQI/AAAAAAALnM4/NJ9OraBbri0etYozD0G29NhdJLNRjIJSQCLcBGAsYHQ/s72-c/26e61741-1fe8-43eb-aca4-fc9391eaf25a.jpg)
DC NDEJEMBI APIGA MARUFUKU BIASHARA ZISIZO NA VITAKASA MIKONO NDANI YA WILAYA YA KONGWA
Charles James, Michuzi TV
MKUU wa Wilaya ya Kongwa, Deo Ndejembi amepiga marufuku biashara zozote ndani ya wilaya hiyo ambazo hazina vifaa vya kujikinga na corona.
DC Ndejembi amewataka wafanyabiashara wote kuhakikisha wanaweka maji ya kunawa yanayotiririka, sabuni au vitakasa mikono ikiwa ni jitihada za kupambana na maambukizi ya ugonjwa wa homa ya mapafu maarufu Corona.
Akizungumza katika mkutano wake na watendaji wa kata zote za wilaya hiyo, DC Ndejembi pia amewataka watendaji hao...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KPucvek-SBQ/XoJDftBK65I/AAAAAAALloE/XOTv2kKRVcQz8lgeaF2sRSIsLiJlstGVACLcBGAsYHQ/s72-c/a146cae1-59a5-4c64-8e04-3ac8ab04f5fc.jpg)
MKUU WA MKOA WA KIGOMA APIGA MARUFUKU WATOTO KUUZA BIASHARA MAENEO MBALIMBALI
Na Editha Karlo-Michuzi Blog,Kigoma.
MKUU wa mkoa Kigoma Emanuel Maganga amepiga marufuku kwa wanafunzi na watoto kutumika kuuza bidhaa kwenye masoko na maeneo ya biashara na badala yake wazazi watekeleze agizo la serikali la watoto na wanafunzi hao kukaa nyumbani.
Akizungumza leo wakati akifanya Ziara kwenye masoko ya Buzebazeba Ujiji, Mwanga na Kibirizi kukagua utekelezaji wa agizo la serikali kujilinda dhidi ya virus vya Corona alisema kuwa watoto watakaokuwepo wakiuza kwenye masoko wazazi...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania