Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kocha wa Simba apiga ‘stop’ usajili

Kocha wa Simba, Dylan Kerr amewazuia viongozi wa timu hiyo kufanya usajili wowote hasa mshambuliaji bila ya kujiridhisha juu ya uwezo wake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Usajili wa Mamilioni Simba wapigwa Stop

Kikosi cha timu ya Simba SC. Na Hans Mloli
MIKAKATI mingi katika kipindi hiki cha usajili mkali na wa umakini zaidi kwa ajili ya msimu ujao inaendele na sasa Simba wamekubaliana kutofanya tena usajili wa gharama wa mamilioni ya shilingi kutokana na sababu mbalimbali. Mpaka sasa Simba haijafanya usajili wa mchezaji yeyote zaidi ya kuwatema baadhi ya wachezaji wao huku ikielezwa kuwa, lengo lao ni kufanya usajili wa siri mno na...

 

11 years ago

GPL

Kocha Stars azuia usajili wa Kipanga Simba

Aliyekuwa kocha msaidizi wa Taifa Stars, Sylvester Marsh. Na Hans Mloli
ALIYEKUWA kocha msaidizi wa Taifa Stars, Sylvester Marsh, amempa onyo na kumsihi straika wa Mbeya City, Saad Kipanga anayewaniwa kwa udi na uvumba na timu ya Simba, kuwa asiihame timu hiyo na kwenda kuchezea Simba au klabu kubwa msimu ujao kwa ajili ya faida yake binafsi. Marsh aliyekuwa msaidizi wa Kocha Mkuu, Mdenishi, Kim Poulsen kabla ya Stars...

 

10 years ago

Vijimambo

Simba wampiga 'stop' kocha wao

Wakati kikosi cha Simba leo kikishuka kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaona mjini Mtwara kuumana na Ndanda FC ya mkoani humo, Uongozi wa klabu hiyo umempiga ‘stop’ kocha wake, Goran Kopunovic kuzungumzia ligi kuu mpaka baada ya michezo mitatu.

Akizungumza na NIPASHE jana, Mjumbe wa Kamati ya utendaji ya klabu hiyo, Said Tully, alisema kuwa wameamua kufanya hivyo kwa kuwa kocha huyo bado ni mgeni na ligi kuu.

Tully alisema kwa sasa kocha huyo hawezi kuzungumzia ligi kuu kwa kuwa aliwasili nchini...

 

10 years ago

Habarileo

RC apiga ‘stop’ biashara ya mkaa

Dk Rajab RutengweMKUU wa Mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe, amewapa mwezi mmoja wakuu wa wilaya sita za mkoa, wahakikishe wanakomesha kuzagaa kwa biashara ya mkaa katika maeneo yao.

 

10 years ago

Habarileo

Kinana apiga ‘stop’ ziara za mikoani za Mwigulu

Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Tanzania Bara), Mwigulu NchembaNAIBU Katibu Mkuu wa CCM (Tanzania Bara), Mwigulu Nchemba amekubali kuitikia wito wa kusitisha ziara zake za kichama katika mikoa na wilaya mbalimbali nchini, kama alivyoagizwa na Katibu Mkuu wa chama hicho, Abdulrahman Kinana.

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI ZUNGU APIGA STOP NGUO ZA NDANI ZA MITUMBA

  Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Mussa Zungu amepiga marufuku nguo za mitumba za ndani  kwakuwa zinasababisha maradhi kwa watumiaji.
"Nguo za mitumba ambazo haziruhusiwi ni nguo za ndani kwa sababu ya maradhi, mfano Mwanamke anavaa vazi la juu (sidiria) huwezi kujua aliyevaa kabla yako alikuwa ana magonjwa gani, huo ndio mwanzo wa kusambaa kwa magonjwa ya saratani"

“Nimefanya ziara Mto Msimbazi shughuli za Binadamu zinaharibu kingo za Mto, Kuna mazungumzo yanaendelea...

 

10 years ago

Vijimambo

EXCLUSIVE: WAZIRI APIGA STOP TFF KUTAKA KUCHUKUA 5% ZA VODACOM, AZAM TV

Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia amelitaka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kusitisha uamuzi wake wa kutaka kuchukua asilimia 5 za udhamini wa klabu zinazotolewa na makampuni ya Vodacom na Azam TV.Nkamia ameiambia SALEHJEMBE leo kwamba ameitaka TFF kusitisha jambo hilo."Kweli tumekutana TFF, Bodi ya Ligi na nimeagiza suala hilo kusitishwa mara moja," alisema Nkamia.Hata hivyo, Nkamia hakuweza kufafanua zaidi kwa kuwa alikuwa akiingia kwenye...

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU APIGA STOP MATUMIZI YA KUNI KIWANDA CHA 21st CENTURY

PG4A8989Waziri Mkuu, MIzengo Pinda , Viongozi wa Baraza la Mazingiea nchini, NEMC na viongozi wa mkoa wa Morogoro wakitazama maji yenye sumu, kemikali na tindikali yaliyoekekezwa mtoni yakitoka kwenye viwanda vya 21st  Century cha nguo, Morogoro  Canvanse na kiwanda cha magunia cha Morogoro wakati alipotembela eneo Kihonda mbuyuni kukagua  athari za maji hayo.(Picha na  Ofisi ya Waziri Mkuu)……………………………………………………………………………..WAZIRI MKUU Mizengo Pinda ametoa mwezi mmoja kwa Baraza la Taifa la Mazingira...

 

9 years ago

StarTV

Kocha Luis Enrique Asema  ataongeza nguvu ya usajili Barcelona.

 

 Kocha Luis Enrique Martinez wa FC Barcelona amesema kuwa hana shaka na kiwango bora cha timu yake msimu huu  na kubainisha kuwa ana mpango wa kukiongezea nguvu zaidi katika dirisha dogo la usajili la janauri mwakani.

Kocha huyo ameweka wazi wakati akizungumza na waandishi wa habari katika maandalizi ya mechi ya ligi kuu ya La liga dhidi Real Sociedad kwenye uwanja wa Nou Camp.

Amesema hana hofu  kwa kuwa  siku zote anataka wachezaji wake kuwa fiti licha  ya kukumbwa na majeruhi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani