Kocha wa Simba apiga ‘stop’ usajili
Kocha wa Simba, Dylan Kerr amewazuia viongozi wa timu hiyo kufanya usajili wowote hasa mshambuliaji bila ya kujiridhisha juu ya uwezo wake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yIXIyC531WATh7r6n8YU2pYXN5QOKUTude3m1PavRLBnaD3GphiMPSLzidm6V0l-eWAVWx0UBc6JpIWJ0-NVI2G/simba.gif?width=650)
Usajili wa Mamilioni Simba wapigwa Stop
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WRH9ovbTZmAqrtpoUJjvyaAZV5IBiDyiyVFWLMA8I6I8fUcTGjEHE-RhEyE7BVu9VcCM7yZdA54-qRVBTX4LIXcfesv1BPzP/KOCHA11.jpg?width=650)
Kocha Stars azuia usajili wa Kipanga Simba
10 years ago
Vijimambo17 Jan
Simba wampiga 'stop' kocha wao
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/goran-17Jan2015.jpg)
Akizungumza na NIPASHE jana, Mjumbe wa Kamati ya utendaji ya klabu hiyo, Said Tully, alisema kuwa wameamua kufanya hivyo kwa kuwa kocha huyo bado ni mgeni na ligi kuu.
Tully alisema kwa sasa kocha huyo hawezi kuzungumzia ligi kuu kwa kuwa aliwasili nchini...
10 years ago
Habarileo18 Dec
RC apiga ‘stop’ biashara ya mkaa
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe, amewapa mwezi mmoja wakuu wa wilaya sita za mkoa, wahakikishe wanakomesha kuzagaa kwa biashara ya mkaa katika maeneo yao.
10 years ago
Habarileo22 Jan
Kinana apiga ‘stop’ ziara za mikoani za Mwigulu
NAIBU Katibu Mkuu wa CCM (Tanzania Bara), Mwigulu Nchemba amekubali kuitikia wito wa kusitisha ziara zake za kichama katika mikoa na wilaya mbalimbali nchini, kama alivyoagizwa na Katibu Mkuu wa chama hicho, Abdulrahman Kinana.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-oYIvqiRh9o0/XlTRdnpjD3I/AAAAAAAAvc4/2x519DJE5wIzKxne3tt-NdwYQAxmXq2LgCLcBGAsYHQ/s72-c/Untitled-1.jpg)
WAZIRI ZUNGU APIGA STOP NGUO ZA NDANI ZA MITUMBA
![](https://1.bp.blogspot.com/-oYIvqiRh9o0/XlTRdnpjD3I/AAAAAAAAvc4/2x519DJE5wIzKxne3tt-NdwYQAxmXq2LgCLcBGAsYHQ/s640/Untitled-1.jpg)
"Nguo za mitumba ambazo haziruhusiwi ni nguo za ndani kwa sababu ya maradhi, mfano Mwanamke anavaa vazi la juu (sidiria) huwezi kujua aliyevaa kabla yako alikuwa ana magonjwa gani, huo ndio mwanzo wa kusambaa kwa magonjwa ya saratani"
“Nimefanya ziara Mto Msimbazi shughuli za Binadamu zinaharibu kingo za Mto, Kuna mazungumzo yanaendelea...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-pA1pUXby0WM/VDJ6vLK-N0I/AAAAAAAAzqk/VUlr-GeUmBU/s72-c/JUMA%2BNKAMIA.jpg)
EXCLUSIVE: WAZIRI APIGA STOP TFF KUTAKA KUCHUKUA 5% ZA VODACOM, AZAM TV
![](http://4.bp.blogspot.com/-pA1pUXby0WM/VDJ6vLK-N0I/AAAAAAAAzqk/VUlr-GeUmBU/s640/JUMA%2BNKAMIA.jpg)
11 years ago
Michuzi09 Jul
WAZIRI MKUU APIGA STOP MATUMIZI YA KUNI KIWANDA CHA 21st CENTURY
![PG4A8989](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/yRBkK4YqQVWZn8uvnkzePBEifUYbzzIHwDRm0pG4Vm7KHYL_DzDeuWswVDTe1d7svxT78Kj1Sm8XO7EYaG9BAN1nchFzmSNwAdQDUR0DlUqF_r71k4L1x20GW4k=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2013/12/PG4A8989.jpg)
9 years ago
StarTV29 Nov
Kocha Luis Enrique Asema ataongeza nguvu ya usajili Barcelona.
Kocha Luis Enrique Martinez wa FC Barcelona amesema kuwa hana shaka na kiwango bora cha timu yake msimu huu na kubainisha kuwa ana mpango wa kukiongezea nguvu zaidi katika dirisha dogo la usajili la janauri mwakani.
Kocha huyo ameweka wazi wakati akizungumza na waandishi wa habari katika maandalizi ya mechi ya ligi kuu ya La liga dhidi Real Sociedad kwenye uwanja wa Nou Camp.
Amesema hana hofu kwa kuwa siku zote anataka wachezaji wake kuwa fiti licha ya kukumbwa na majeruhi ya...